omarion5
JF-Expert Member
- Oct 14, 2017
- 5,206
- 17,677
Kauli za makahaba ndivyo zilivyo kila kitu wanaforce aisee.Hahah yaani alivokua anadai io Pizza ni kama kuna hela alinipa ndo nafaa nimpee NKT
Kauli za makahaba ndivyo zilivyo kila kitu wanaforce aisee.Hahah yaani alivokua anadai io Pizza ni kama kuna hela alinipa ndo nafaa nimpee NKT
Dala dala fall on youJamaa anakuaga na mambo ya ufala. kuna siku alishafatilia mwanamke mpaka gongola mboto kutoka kawe kisa wamepanda daladala moja yeye badala ya kushuka morocco apande la masaki ili aingie sinza kanyoosha mpaka gomz alafu dem mwenyewe kawaida sannna
hehe saivi story imekua kubwa sana maana dem wake ambae tulikua tunangoja Harusi december amezipata habari sasa balaa ni kwamba jamaa anasema ametoa hela. Mke inamuuma kwa nini anachezea hela kizembe?hahahaaa, huyo jamaa nahisi mkasa wa fumanizi juzi kati, utampa fundisho, kama hakuitoa m3, nadhani sasa hivi atatulia
dah, sasa stori zilimfikiaje tena mchumba wake?hehe saivi story imekua kubwa sana maana dem wake ambae tulikua tunangoja Harusi december amezipata habari sasa balaa ni kwamba jamaa anasema ametoa hela. Mke inamuuma kwa nini anachezea hela kizembe?
aaah yani na sura yake ile angefanya laziada sana kumkonvinceKauli za makahaba ndivyo zilivyo kila kitu wanaforce aisee.
Ha ha haaaa... Salute kwako kiongozi.
Ila mimi hata soda wasingeonja!! Halafu siku hizi imesha kuwa style yacwanawake wa mjini, wanaweka puti usini utadhani wamekuwa magari yaliyoharibiwa na kutu.
dah, sasa stori zilimfikiaje tena mchumba wake?
hehehehhe hii nitawaletea soon nikipata mdaDala dala fall on you
Tunaingojea sana.hehehehhe hii nitawaletea soon nikipata mda
Hahahaa hatar sana aisee.aaah yani na sura yake ile angefanya laziada sana kumkonvince
hapana jamani sio roho mbaya. Mtu jiweke tuu simple sio mpka ujikandike kama Pennywise wa IT"Kweri unaloo mbaya wee kaka"
hehe ndo maana ya maisha sasa. Don't take life too serious, no one makes out of it aliveJF inanipaga raha sanaa, nikiwa na vistress nikiingia hapa vyaisha maana si kwa vituko hivi
jose ulikua mahakamanni kwa LULU nini leo maana nilikua sikusome jamvini kabisa yani."Kwani jamaa amekuja na nyoka za pori gani"?
Hapo nimecheka balaaa...nyoka za pori gani
nilikuwa busy kidogojose ulikua mahakamanni kwa LULU nini leo maana nilikua sikusome jamvini kabisa yani.