johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 84,036
- 142,106
Pale Mwembeyanga ikatolewa orodha ya Mafisadi wa CCM na Uongozi mzima wa Chadema Mbowe, Dkt. Slaa, Lisu nk wakalaani vikali.
Miongoni mwa waliotajwa kama vinara ni pamoja na mzee Lowassa ambaye Mwaka 2015 Kamati kuu ya Chadema ikampigia magoti awe mgombea wao wa Urais.
Hakika Mungu ni Fundi na 2025 atawashangaza wengi!
Miongoni mwa waliotajwa kama vinara ni pamoja na mzee Lowassa ambaye Mwaka 2015 Kamati kuu ya Chadema ikampigia magoti awe mgombea wao wa Urais.
Hakika Mungu ni Fundi na 2025 atawashangaza wengi!