Chauro
JF-Expert Member
- Aug 20, 2010
- 2,968
- 1,478
he............ nini tena Chauro??
nimeona kwenye picha na muvi za kidongo tu aisee
Hahaa Timing umenichekesha na hio msemo wa vipara kama vya tupac
he............ nini tena Chauro??
nimeona kwenye picha na muvi za kidongo tu aisee
si kweli... chumvi ni usafi na sio garden
hahahaaa!! kwa hio.. teheheeee!! miss chagga nae yuko plain? kipara kama cha ze big show?
actually ni nzuri manake wale wazee wa chumvi wanfaidika na uchimbaji bila vikwazo!
Umewaza nini?
Ras weka picha tuone jinsi bustani yako ilivyosheheni majani na maua...Mimi ni Ras imaniyangu hainiruhusu kupariria
Kupita maelezo, ndio maana nimeshindwa kuvumilia moyoni, nimeona niseme waziLakini si umeelewa?
Pana pana, mi penda sana veve miss, pana penda kondoo yakutafutiwa, takakula nyama chagua nanona kama Miss neddy
KabisaNimekuelewa
Sasa ni kuzingatia palizi tu!
mmh!!Vyote viwili ...........
Heaven on Earth kazi unayo!!Unatakiwa u- comment, please Heaven on Earth
Hebu wacha mbinu za kutaka kuninyima bana
Mbona inapatikana sana?