Pale ungo unapofeli..

weeeeee..kweli?,sikuwa nalifahamu hili!
 
Mgonjwa wa akili yupo uchi na hirizi kiunoni? Huyo ni mchawi lazima ashangae si ajali imeshatokea.....
 
Daaaah!!!!

Ilo bibi lilivyo Nona lingeangukua kwangu......
 

Yaonekana ni Bibi yako else unaye kama huyo kwenye ukoo. Wapo wengi sana wa aina hiyo kwani kwenye ofisi yenye Magrili na askari kama sita wanalinda jamaa kama huyo alikutwa ndani wakati mesenja anafungua ofisi asubuhi kwa usafi!! that is the reality
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…