Pale ulipojamba

Pale ulipojamba

2k Genius

Member
Joined
Feb 27, 2011
Posts
88
Reaction score
9
Ticha mmoja alikuwa anapigisha pindi skul flan hivi,akiwa katikat ya kipindi tumbo likamshika ghafla akajamba ushuz,kwa aibu ya kutoa ushuz mbele za madenti akasepa clas.
Baada ya mwez hivi kupita,akaingia tena katika lile darasa
MWALIMU;ndio wanafunzi,tuliishia wapi??
MWANAFUNZI;tuliishia pale pale ulipojamba
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom