Hahhahha nimecheka sana nikikumbuka hivyo vyote nadaiwaNgumu sana kumfurahisha demu mwenye rejesho, anadaiwa vicoba, anadaiwa sacoss, anadaiwa hela ya mchezo
Kuna mahala nilipita nikaona ni kama walitengana na jamaa yake sahivi kila mtu anaishi kivyake ila utetezi wake ni kwa kuwa ameoteshwa afanya huduma kwa hio kila mtu ana kanisa lake na maisha yake sasa.Huyu mlokole kanogewa penzi au ana fantasize kuwa na mwanamme....Vipi status yake?
Ewaaaaah [emoji847][emoji847][emoji847]Ili kukufurahisha hatua ya kwanza lazma alipie kote huko ndio aanze kujibebisha sasa[emoji16][emoji16][emoji16]
"And women love money as well"And it doesn't take that much to make a woman happy. Women love to be respected, cherished and understood.
Women love to be spoilt with random gifts and constant reminders that they are loved. Never get tired of telling your woman that you love her.
Kiss your woman, hug her tight and spend time with her.
A woman loved right, glows like the full moon in all its glory.
Extrovert ana mijimbinu shubabi ya kukuondolea sonona zako zote, ukaona raha kuliko za peponi😂🤣Hahhahha nimecheka sana nikikumbuka hivyo vyote nadaiwa
Kumbe wanawake mnapenda Sana hela.Ukiona uso wa furaha wa huyo dada jua kuna makubwa kafanyiwa. (Hapa mashine ni BONUS)
UPO SAHIHI Mkuu
Sasa ndo uelewe kuwa hili ni dongo bin mfinyanzi.Kuna mahala nilipita nikaona ni kama walitengana na jamaa yake sahivi kila mtu anaishi kivyake ila utetezi wake ni kwa kuwa ameoteshwa afanya huduma kwa hio kila mtu ana kanisa lake na maisha yake sasa.
I already addressed that. Women love to be pampered with random gifts. And yes we love money. While heard earned money from your own sweat tastes good, our lovers money tastes better."And women love money as well"
Long time Karucee mpaka siku moja nkakuulizia humu wakati sina kawaida hiyo hahahahaha.
🤣 🤣 🤣 🤣 🤣 dah, unaua braza wa MwanjelwaNgumu sana kumfurahisha demu mwenye rejesho, anadaiwa vicoba, anadaiwa sacoss, anadaiwa hela ya mchezo
Kiddo, you gud!I already addressed that. Women love to be pampered with random gifts. And yes we love money. While heard earned money from your own sweat tastes good, our lovers money tastes better.
We hope we don't have to push him into spending on us, but when he doesn't understand his duties oh we spend in excess to make up for the past. Lol
Miss you too. Nipo nimejaa teleee.
Love you too Darling Sis. And miss you loads.Kiddo, you gud!
Big sis love you still.
And missed you too.
msumari wa moto...Wanawake tunajuana. Huyo dada alichokisema ni sahihi lakini kupitia maneno yake kuna wanaume hawatamuelewa wanachangia tu.ukisikia mwanaume very smart ni yule anaetoa huduma bila kuombwa anajua mwanamke anataka nini.
Ukiona uso wa furaha wa huyo dada jua kuna makubwa kafanyiwa.( hapa mashine ni bonus)
Mtoto wa kiume tafuta hela na sisi tunatafuta sio kusema hela hatuna.
Mkifungua pochi na sisi tunafungua. Si mnajua wengi hatunaga mkono mgumu? Mkiwa wabahili jibu ni lile lile.
Neno " very smart " msilichukulie eti ni ule u smart wa kuchomekea na mwiko.
EeenhHaya mavikoba mnahangaikaga nayo ya kazi gani sasa.
Vicoba vinasaidia sanaa yaani sana unaweza kukwama unachukua mkopo wa zaidi ya mamilioni unajua jinsi gani utakusaidiaI
Ingependeza sana
Nakazia huu usemi wako.My first priority ni Mimi Kwanzaa kabla sijamfurahisha mwanamke lazima niwe na furaha mimi