Hii nimekutana nayo mtaani kwetu jana jioni wakati narudi toka kibaruani. Jamaa alikuwa anawasimulia wenzake namna paka alivyomtamu na namna anavyoandaliwa...............
"yaani yule unachemsha maji katika sufuria then unafunika, yakishachemka unamtumbukiza mzima mzima bila kumchinja kisha unafunika sufuria likiwa bado motoni, kwa sababu kumchinja ni kazi ngumu. Na pia tumboni mwake kuna sumu, kwa hiyo anapolalamika maji yataingia mdomoni kwenda kusafisha ile sumu...."
Ilibidi niondoke ili nisisikie ukatili zaidi anaofanyiwa paka. Watetezi wa wanyama wana kazi aisee!!!!
"yaani yule unachemsha maji katika sufuria then unafunika, yakishachemka unamtumbukiza mzima mzima bila kumchinja kisha unafunika sufuria likiwa bado motoni, kwa sababu kumchinja ni kazi ngumu. Na pia tumboni mwake kuna sumu, kwa hiyo anapolalamika maji yataingia mdomoni kwenda kusafisha ile sumu...."
Ilibidi niondoke ili nisisikie ukatili zaidi anaofanyiwa paka. Watetezi wa wanyama wana kazi aisee!!!!