Paji la uso na siri ya jicho la tatu

,,, mkuu hizi nyuzi zimeshiba haswaaaahh!!! o_O
f6e63668ac1c4a88887ca94b0bd11c01.jpg


Hutaamini utakachogundua hapa kuhusu paji lako la uso...hapa ndio asili ya neno kipaji ilipatikana..hapa napo ni lango hapa ndio penye njia ya kuingilia mlango wa sita baada ya ile mitano. Hili ni jicho la ndani jicho lisioonekana.lango kuu la kiroho.

Tutaenda kwa mitazamo yote ya kidini na kiimani, kisayansi, kihisia na hata kwenye nguvu za giza.

1. Third Eye - Thalamus - Eye of Horus
c028b8f6365bdd2fb44aaf6796fdf17f.jpg


Hapa ni kwa mtazamo wa kisayansi nafikiri ni kwenye somo la anatomy kuhusu ubongo, jicho la tatu linaonekana katikati ya ubongo (zingatia katikati) vertebrate brain hapo ndio zinapozalishwa homoni za kulaza au kuamsha hisia maono usingizi nk.

2. Mathematics
22f4856d4325c03356542c3c19a96824.jpg


Katika ulimwengu wa mahesabu na hesabu, wanamahesabu kwenye ishu za ratio cos na tan watatusaidia hapa.

3. Tahjud (Meditation)
1a3f1076a0eecca2d21fb8771039a216.gif


Kwenye tahajudi wale waliosoma chakra na habari za milango nane, ukiangalia vizuri huo mchoro chakra ya sita ndio ya kuingilia mlango wa sita wa fahamu.

4. Baptism & Sijda
b23bbe047b4fed53bc8acd968bfbde9f.jpg
7581aaa5dd84dc3d74104360bf95c259.jpg


Kiimani katika ukristo, kwenye ubatizo alama ya msalaba kwenye paji la uso ndio hukamilisha tendo na kuwa Mkristo kamili sasa.. Lakini pia ukisoma kitabu cha ufunuo na habari za kutiwa Muhuri katika paji la uso utafahamu zaidi..

Kwenye Uislam tunajua nini maana na umuhimu wa swala tano na kuthibitisha uchaji wako katika swala tano ni sigida kwenye paji la uso.

5. A kiss on the Forehead
95e4888b95b1f04ef937618e752fd13d.jpg


Kwenye mahusiano busu kwenye paji la uso ni tofauti kabisa na mabusu ya sehemu nyingine yoyote.

6. FREEMASONRY
2eaa591e515e975051f9640238953750.jpg

Kwenye imani za mpinga Kristo freemason satanism nk alama yao kubwa ni jicho la tatu

7. SEVERE PUNISHMENTS (WATERBOARD)
8654ca9f3d106b3012aa7228ab664632.jpg


Kwenye adhabu na mateso mbalimbali paji la uso hutumika kuleta adha ya ajabu mwilini... Mateso ya water board ni mfano mmojawapo. Unalazwa chini unafunikwa kitambaa usoni kisha unamwagiwa maji.. Ni aina ya adhabu isiyoumiza mwili bali inayoumiza hisia.

8. Michezoni:
Kwenye mchezo wa ngumi alama za juu ni zile ambazo zinaangukia kwenye paji la uso.

Nimejaribu kwenda na picha kuokoa ufafanuzi wa maneno mengi... Tunaishi kwenye ulimwengu wa ajabu mno.. Tunashiriki kitu hicho hicho lakini kwa maana matumizi na mitizamo tofauti. Tunafundishwa kutolala chali kuepuka ndoto za mauzauza na majinamizi kumbe siri ni jicho la tatu jicho la maono.

Manabii na watenda miujiza hupenda kuwapuliza ama kuwashika watu penye paji la uso na kifuatacho hapo ni mzinga kama si kupiga kelele... Baadhi ya tiba mbadala hutumia paji la uso kama lango la uponyaji.

Wahindi na wahindu kwenye imani zao hujipaka rangi katikati ya macho kama sehemu ya ibada nk.

Jaribu kutafakari kwa hatua hiki kinachoitwa jicho la tatu, paji la uso, imani yako na maisha yako ya kila siku... Mwishowe tunaweza kujikuta tunaabudu paji la uso kwa muktadha tusiojua.
f6e63668ac1c4a88887ca94b0bd11c01.jpg


Hutaamini utakachogundua hapa kuhusu paji lako la uso...hapa ndio asili ya neno kipaji ilipatikana..hapa napo ni lango hapa ndio penye njia ya kuingilia mlango wa sita baada ya ile mitano. Hili ni jicho la ndani jicho lisioonekana.lango kuu la kiroho.

Tutaenda kwa mitazamo yote ya kidini na kiimani, kisayansi, kihisia na hata kwenye nguvu za giza.

1. Third Eye - Thalamus - Eye of Horus
c028b8f6365bdd2fb44aaf6796fdf17f.jpg


Hapa ni kwa mtazamo wa kisayansi nafikiri ni kwenye somo la anatomy kuhusu ubongo, jicho la tatu linaonekana katikati ya ubongo (zingatia katikati) vertebrate brain hapo ndio zinapozalishwa homoni za kulaza au kuamsha hisia maono usingizi nk.

2. Mathematics
22f4856d4325c03356542c3c19a96824.jpg


Katika ulimwengu wa mahesabu na hesabu, wanamahesabu kwenye ishu za ratio cos na tan watatusaidia hapa.

3. Tahjud (Meditation)
1a3f1076a0eecca2d21fb8771039a216.gif


Kwenye tahajudi wale waliosoma chakra na habari za milango nane, ukiangalia vizuri huo mchoro chakra ya sita ndio ya kuingilia mlango wa sita wa fahamu.

4. Baptism & Sijda
b23bbe047b4fed53bc8acd968bfbde9f.jpg
7581aaa5dd84dc3d74104360bf95c259.jpg


Kiimani katika ukristo, kwenye ubatizo alama ya msalaba kwenye paji la uso ndio hukamilisha tendo na kuwa Mkristo kamili sasa.. Lakini pia ukisoma kitabu cha ufunuo na habari za kutiwa Muhuri katika paji la uso utafahamu zaidi..

Kwenye Uislam tunajua nini maana na umuhimu wa swala tano na kuthibitisha uchaji wako katika swala tano ni sigida kwenye paji la uso.

5. A kiss on the Forehead
95e4888b95b1f04ef937618e752fd13d.jpg


Kwenye mahusiano busu kwenye paji la uso ni tofauti kabisa na mabusu ya sehemu nyingine yoyote.

6. FREEMASONRY
2eaa591e515e975051f9640238953750.jpg

Kwenye imani za mpinga Kristo freemason satanism nk alama yao kubwa ni jicho la tatu

7. SEVERE PUNISHMENTS (WATERBOARD)
8654ca9f3d106b3012aa7228ab664632.jpg


Kwenye adhabu na mateso mbalimbali paji la uso hutumika kuleta adha ya ajabu mwilini... Mateso ya water board ni mfano mmojawapo. Unalazwa chini unafunikwa kitambaa usoni kisha unamwagiwa maji.. Ni aina ya adhabu isiyoumiza mwili bali inayoumiza hisia.

8. Michezoni:
Kwenye mchezo wa ngumi alama za juu ni zile ambazo zinaangukia kwenye paji la uso.

Nimejaribu kwenda na picha kuokoa ufafanuzi wa maneno mengi... Tunaishi kwenye ulimwengu wa ajabu mno.. Tunashiriki kitu hicho hicho lakini kwa maana matumizi na mitizamo tofauti. Tunafundishwa kutolala chali kuepuka ndoto za mauzauza na majinamizi kumbe siri ni jicho la tatu jicho la maono.

Manabii na watenda miujiza hupenda kuwapuliza ama kuwashika watu penye paji la uso na kifuatacho hapo ni mzinga kama si kupiga kelele... Baadhi ya tiba mbadala hutumia paji la uso kama lango la uponyaji.

Wahindi na wahindu kwenye imani zao hujipaka rangi katikati ya macho kama sehemu ya ibada nk.

Jaribu kutafakari kwa hatua hiki kinachoitwa jicho la tatu, paji la uso, imani yako na maisha yako ya kila siku... Mwishowe tunaweza kujikuta tunaabudu paji la uso kwa muktadha tusiojua.
 
Tunajaribu kuumiza vichwa ila mungu ndio mjuzi zaidi amenifurahisha kwenye kifo tu mana hapa watu wameshindwa tambua kabisa siri zake.
 
Swali nje ya topic Mshana Jr. ... unawezaje kujua kama umefanyiwa chuma ulete kwenye chakula au hela?

Unajinasuaje kwenye chuma ulete?

Back to the topic: hii jicho la tatu linahusiana na maono? Hisia kuwa huyu mtu si mzuri au huyu mtu ni mwema? Au zinahusiana na utambuzi wa mambo?

Kuna kipindi huwa inanitokea niko ndotoni napambana na nguvu ambayo nimeitambua kuwa ni nguvu mbaya au za giza. Jinsi ninvyopambana ile nguvu ya upande wa pili inakuwa inanizidi nguvu kwa kupigana inakuwa ni vuta nikuvute kama mieleka au kukabana.

Mara inanijia sauti anza kusali anza kusali na ukemee usipigane hizo nguvu zitakimbia.....

Naanza kusali na kusali nakemea na kukemea zile nguvu zinakuwa kama zinaishiwa nguvu na zinaanza kujiondoa kwangu na kuweka gap kati yetu. Ila mara zinarudi na kunionesha kuwa haziogopi maombi na kama inakuwa inanishiria niachane na hayo maombi maana hayatasaidia mimi kutoka kwenye zile nguvu za giza.

Ila sauti nyingine hainiombei bali inaniambia sali kwanguvu usimsikilize wala usimuangalie wee sali tuu. Nikiendelea kusali woga unaniisha na najiwa na nguvu zaidi na naendelea kusali.

Sasa ishanitokea mara kwa mara nakuwa nasali kwenye ndoto hadi nastuka nakuwa macho na najikuta niko katikati ya sala na nakuwa sina mamlaka au utashi wa kunyamaza. Naendelea kusali hadi ile nguvu iniishe kisha aidha usingizi utakata kabisa au utanipitia baadae.

Waweza nisaidia hapo kuna lolote ambalo nafunuliwa ila sijalitambua. ..... jicho la rohoni linahusika hapo?
Mtu anasehemu tatu ana mwili..(physical body) and Moyo (hapa sio moyo wa damu rather akili-subconcious mind) na roho(spirit-ambayo ni presence of God)

Roho ipo kutukumbusha kutembea katika njia ya Mungu. Hii inatusukuma kwa kutukumbusha ubaya au wema Wa vitu kabla hatujavifanya au tunapoendelea kufanya au tunapomaliza kuvifanya.. Ubaya haikulazimishi usifanye ila inatoa angalizo tu na hasa ukidevelop tabia ya kuiheshimu sauti hiyo ambayo huja kwa mfumo Wa self doubt..

Subconscious mind ndio sehemu nyingi tunaitumia km moyo. Katika dini tunasema itunze sheria ya Mungu moyoni, Au mtaani unasiki huyu mwana ana moyo wa kipekee au anampenda kwa moyo.. Moyo hauna yote hayo... Kinacho yafanya yote haya ni akili... Subconscious mind sio rahisi kuicontrol ila kwa hakika inacontrol action zetu..

Mfano akili yetu ya kawaida inatufanya tufanye routine things kwa ufasaha .. Ila tunapochukua muda kumeditate juu ya routine things tunaanza kuconcive ideas za incident ambazo hazijatokea bado na kuja solution ,..kwa wakati zinaweza kuwa minor nazikawa suppressed usikumbuke tena... Ila kwenye incident umekubwa na live scenario ya kitu kile unajikuta umereact same way km ulivo conceive..

Hii inaweza kuelezewa na mfano Wa mtu ambaye ni muoga wa kuruka sehemu ndefu ktk purukshani za kujiokoa kutoka sudden threat ..anaruka vizuri sehemu amby anabaki anajiuliza... Au mtu anayewahi na kumuokoa mtt aliyesimama ktk reli wakt train inakuja .. Au mess anayefanya move uwanjani akiulizwa anasema ht yy hajui ilikuwaje.. Wote wanaongozwa na subconscious mind.. Japo ni wachache sana wenye uwezo Wa kuimunipulate,..

Katika mfano wako wa maombi .. Inabidi vyote vitatu mwili..Moyo na roho viwe in harmony. Unaposali kwa Mungu wako na ukawa una mashaka ya kimwili hakuna kitu.. Ikiwa Subconsciously unakubaliana na Roho(yeye ndio hutoa signal za ubaya wote) na ukazifikiria kwa kina katika misingi ya imani yako... (Hapa muda na concentration ni muhimu) naturally subconsciously utakuwa unaepuka ubaya kwa kuutenda au kukutana na watu wabaya bila kutumia nguvu ...(instinct) kwa maana mwili wako sasa kupitia kuona kuhisi kuonja nk utakuwa na uwezo wa kung'amua in secs.

Ktk hali ya kawaida mtu anayetumia muda wake kusoma na kumeditate katika maswala Fulani..mfano biashara ataziona fursa kwa hrk kuliko asiyefanya hivyo..au kuliko aliyeanza muda mfupi tu.. Maana ni kupitia kujifunza katika mwili na kujitoa kwa moyo kufikiria tuliyojifunza tunafungua nguvu iliyoko ndani yetu kufikiria zaidi katika hali isiyokuwa limited(mwili) kuona mambo katika muktadha usiokuwa na mwisho (moyo-subconcious realm)
 
Ufafanuzi kidogo itapendeza, nimejaribu sana ili kuepuka nightmares lkn imebidi nizoee tu
Kabla sijaenda Buddhist college nilikuwa nalala hovyo lakini tukafundishwa kulala mshazari ni ngumu mwanzoni lakini inahitaji kujizoeza
 
Kabla sijaenda Buddhist college nilikuwa nalala hovyo lakini tukafundishwa kulala mshazari ni ngumu mwanzoni lakini inahitaji kujizoeza
Inakuaje baadhi ya mambo ya ndotoni baada ya muda kupita yanatokea yani parts za matukio ya ile ndoto, km de javu flani hivi
 
Back
Top Bottom