hivi bro mshana inakuaje wakati nipo o level nilipenda sana kusoma advance umbwe boys na nilikua sijui hata umbwe ikoje, hata uniform nilikua sijui zinafananaje,, bt nakumbuka nikiwa o level nshawah kuota ndoto nipo kwenye kijiwe flani na nimevaa uniform za kaki nikipiga story na wanafunzi wenzangu sikupajua ni wap,, ila nilipochaguliwa advance umbwe na tukio lile lilijirudia kihalisia kabisa tulikua tumevaa uniform za kaki tumekaa kijiwen na mazingira yale yale yarijirudia..hii imekaaje kaka?Kingo hiki kinachoitwa forbidden knowledge ndio elimu adhimu inayoendesha dunia
Elimu ya ufunuo elimu yenye kupenya upeo wa kawaida wa maono ya kidunia na kibidanamu
Elimu ya kiitelejensia yenye alama ya kuhoji kwenye kila kitu bila kujali udogo au ukubwa wake...elimu isiyo na ithibati za kisayansi lakini yenye kutoa matokeo ya kushangaza
Kuna kitu kinaitwa psychic power yaani nguvu za asilia za kuzaliwa hizi hupungua kadiri unavyokuwa kutokana nahivi bro mshana inakuaje wakati nipo o level nilipenda sana kusoma advance umbwe boys na nilikua sijui hata umbwe ikoje, hata uniform nilikua sijui zinafananaje,, bt nakumbuka nikiwa o level nshawah kuota ndoto nipo kwenye kijiwe flani na nimevaa uniform za kaki nikipiga story na wanafunzi wenzangu sikupajua ni wap,, ila nilipochaguliwa advance umbwe na tukio lile lilijirudia kihalisia kabisa tulikua tumevaa uniform za kaki tumekaa kijiwen na mazingira yale yale yarijirudia..hii imekaaje kaka?
sasa ndugu mbona tunatishana ?Kuna kitu kinaitwa psychic power yaani nguvu za asilia za kuzaliwa hizi hupungua kadiri unavyokuwa kutokana na
-kutenda dhambi
-kutembea umevaa viatu
-kula nyama etc
wewe ya kwako inaaitwa ''Clairvoyance'' yaani unauwezo wa kuona yajayo na yaliyopita ,sisi wachawi tukikupata wewe tunakufanya msukule tunakuweka mbali na nyama ,dhambi,pombe etc kisha tunakutoboa macho ukiacha kuona kwa macho mawili la tatu linafunguka hapo tunapiga hela mingi na kutatua mambo mengi .ukifa baada ya miaka 20 mwili wako yeyote ataeula atapata uwezo huo kwa muda wa miaka miwili
nikitaka hii Elimu natakiwa niwe na sifa gani??Kingo hiki kinachoitwa forbidden knowledge ndio elimu adhimu inayoendesha dunia
Elimu ya ufunuo elimu yenye kupenya upeo wa kawaida wa maono ya kidunia na kibidanamu
Elimu ya kiitelejensia yenye alama ya kuhoji kwenye kila kitu bila kujali udogo au ukubwa wake...elimu isiyo na ithibati za kisayansi lakini yenye kutoa matokeo ya kushangaza
Hatutishani kwani kwanza hatujuani tunajuzana yaliyopo,hapo kinatisha nini sasa.sasa ndugu mbona tunatishana ?
kwenye misukule hapo nduguHatutishani kwani kwanza hatujuani tunajuzana yaliyopo,hapo kinatisha nini sasa.
Hatutishani kwani kwanza hatujuani tunajuzana yaliyopo,hapo kinatisha nini sasa.
but thanks ndugu umenionesha mwanga nikiwa gizani,Hatutishani kwani kwanza hatujuani tunajuzana yaliyopo,hapo kinatisha nini sasa.
Habari mkuu mshana !
Kuna sehemu kule Kigoma kuna mganga anaweza kukukutanisha na na vile vibwengo vifupi sana urefu wa dumu la lita tano mnaenda nae hadi polini pembeni ya tanganyika na zawadi pale anakiita na kinaweza kuongea nawe lugha yoyote ikiwemo kichaga safi,mganga anadai yeye hajui kuna lugha na code flani za siri ukizijua kuwasiliana nacho kinaweza kukulete mazuri lukuki yeye anajua kukiita anakikamata anakuacha muongee wawili ,nasikia zamani enzi za babu yake wajerumani walikuwa hawaishi kumfata awakutanishe nao ,aidha ukitaka ukinunue na kuondoka nacho uje na utaalamu wa kukifungia kwenye cage yeye haujui anachofanya yeye anakikamata na kukituliza hasira kwa kukipa zawadi za kiha pombe nyanya chungu chumvi etc
Alieniambia ni kijana huwa tunamtuma kwa waganga anaenda kuleta dawa za kuchimbia madini na ni muaminifu sana ,je hii imekaaje mkuu .
Duh nazichukia sana ndoto km hiziKuna kitu kinaitwa psychic power yaani nguvu za asilia za kuzaliwa hizi hupungua kadiri unavyokuwa kutokana na
-kutenda dhambi
-kutembea umevaa viatu
-kula nyama etc
wewe ya kwako inaaitwa ''Clairvoyance'' yaani unauwezo wa kuona yajayo na yaliyopita ,sisi wachawi tukikupata wewe tunakufanya msukule tunakuweka mbali na nyama ,dhambi,pombe etc kisha tunakutoboa macho ukiacha kuona kwa macho mawili la tatu linafunguka hapo tunapiga hela mingi na kutatua mambo mengi .ukifa baada ya miaka 20 mwili wako yeyote ataeula atapata uwezo huo kwa muda wa miaka miwili