Manukato (Perfume) nzuri kwa mwanaume

Sauvage dior chuma hiko sijajua bei yake lakn ni nzur sana
Tsh 35,000/=
IMG_20220513_220000.jpg
 
Hii bomb ni kwa wale wanaopenda harufu zenye makelele,uko hapa wa mtaa wa tatu anajua umepita...
Mnaopenda harufu tulivu achaneni nayo..
8 sprays ni siku nzima.
20220518_111209.jpg
 
Niligewa zawadi pafyum ya Dark Fever. Niliipenda hata ukifua nguo harufu haitoki, yaani ukijipulizia muda unaenda yenyewe bado ipo strong.

Sasa ilivyoisha nikaanza kutafuta madukani. Nagewa famba tu, aliyenipa zawadi aliniambia kanunua elfu 15 ila mi nishanunua mpaka ya 25 na bado napata famba.

Kumuuliza aliponunua siwezi haziivi siku hizi. Insta naona wanatangaza sana pafyum inaitwa Oud kigunia natamani nunua ila naona itakua yebo yebo kwahiyo sijielewi kwa kifupi.
 
Kumbuka perfume nzuri ni ile inayomfanya mtumiaji kujisikia vizuri, kuongeza confidence na uchangamfu, na kusaidia kuexpress haiba na mood yake. Kwa hiyo natakiwa kuchagua the best and right one.

Mimi naomba kujua ni pafyum zipi nzuri za kiume?

Msaada tafadhari
Vipi ile perfume ya Diamond Platnumz inayomfanya mtu anuke zaidi tena harufu ya makwapa ya kuoza?
 
Niligewa zawadi pafyum ya Dark Fever. Niliipenda hata ukifua nguo harufu haitoki, yaani ukijipulizia muda unaenda yenyewe bado ipo strong.

Sasa ilivyoisha nikaanza kutafuta madukani. Nagewa famba tu, aliyenipa zawadi aliniambia kanunua elfu 15 ila mi nishanunua mpaka ya 25 na bado napata famba.

Kumuuliza aliponunua siwezi haziivi siku hizi. Insta naona wanatangaza sana pafyum inaitwa Oud kigunia natamani nunua ila naona itakua yebo yebo kwahiyo sijielewi kwa kifupi.
Chukua hiyo mzee
IMG_20220329_145817.jpg
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom