Robidinyo
JF-Expert Member
- Feb 20, 2016
- 3,738
- 7,688
Kinyume nyume1 million inakwendaje?
Kinyume nyume1 million inakwendaje?
Ahaa itabid uchukue ya mills 100 ukae nayo kitamboNimeuziwa kichupa cha 10 ml. shilingi 10,000. Hata mwezi haujatimia naona kinaisha
View attachment 2217006
Kwa bei gan utampatiaAhaa itabid uchukue ya mills 100 ukae nayo kitambo
Tsh 35,000/=Sauvage dior chuma hiko sijajua bei yake lakn ni nzur sana
Bei ngapi hiiHii bomb ni kwa wale wanaopenda harufu zenye makelele,uko hapa wa mtaa wa tatu anajua umepita...
Mnaopenda harufu tulivu achaneni nayo..
8 sprays ni siku nzima.View attachment 2229146
Ooooooh hapo sawaaah.Kwa sasa sijui bei zake, mdogo wangu ndio alikua anatumia muda sana,na sijui kama zipo tena,ila kama una mtu ulaya ukimuagiza anaweza kupata,zinanukia vizuri mno...
Promo on the freakyKwa sasa sijui bei zake, mdogo wangu ndio alikua anatumia muda sana,na sijui kama zipo tena,ila kama una mtu ulaya ukimuagiza anaweza kupata,zinanukia vizuri mno...
Kumuuliza aliponunua siwezi haziivi siku hizi. Insta naona wanatangaza sana pafyum inaitwa Oud kigunia natamani nunua ila naona itakua yebo yebo kwahiyo sijielewi kwa kifupi.
Yeah hii ishu. Ila naamini watu wengi wanayo na mimi sitaki kufuata mkumbo
Vipi ile perfume ya Diamond Platnumz inayomfanya mtu anuke zaidi tena harufu ya makwapa ya kuoza?Kumbuka perfume nzuri ni ile inayomfanya mtumiaji kujisikia vizuri, kuongeza confidence na uchangamfu, na kusaidia kuexpress haiba na mood yake. Kwa hiyo natakiwa kuchagua the best and right one.
Mimi naomba kujua ni pafyum zipi nzuri za kiume?
Msaada tafadhari
Promo on the freaky
Chukua hiyo mzeeNiligewa zawadi pafyum ya Dark Fever. Niliipenda hata ukifua nguo harufu haitoki, yaani ukijipulizia muda unaenda yenyewe bado ipo strong.
Sasa ilivyoisha nikaanza kutafuta madukani. Nagewa famba tu, aliyenipa zawadi aliniambia kanunua elfu 15 ila mi nishanunua mpaka ya 25 na bado napata famba.
Kumuuliza aliponunua siwezi haziivi siku hizi. Insta naona wanatangaza sana pafyum inaitwa Oud kigunia natamani nunua ila naona itakua yebo yebo kwahiyo sijielewi kwa kifupi.
Naona unaishi nayo Mousuf
Hii sh ngapi mkuu?Chukua hiyo mzeeView attachment 2232983
Elfu 25Hii sh ngapi mkuu?
Inamaintain harufu yake kwa muda ganiElfu 25