Ndio mtu ananuka kwapa akikukumbatia pia unanukaUmeshawahi kirudi na harufu ya kwapa la mtu mwingine?
MMM! Mjanga,pafyum atie yeye kunukia unukie wewe? ebu jaribu kupanda na wewe hilo dala dala ukija uje na lipstick kwenye mfuko wa shati au kwenye flana ya ndani..........
Ndio mtu ananuka kwapa akikukumbatia pia unanuka
unachapiwa walah!
Fikiri tena au niulize nimemanisha nini..........usikurupuke.................Kweli humu kuna uelewa tofauti,pafyum ina diffusion,lipstick haina unalinganishaje?Duh?
Kweli humu kuna uelewa tofauti,pafyum ina diffusion,lipstick haina unalinganishaje?Duh?
Sasa hivi situmii pafyumu, sijui nitakuwa nanukia beberu?