PostGE2025 Padri Kitima amkana Mwigulu, asema tulikuwa na mazungumzo binafsi si ya TEC

PostGE2025 Padri Kitima amkana Mwigulu, asema tulikuwa na mazungumzo binafsi si ya TEC

Conversations and stories after Tanzania's 2025 General Elections

Just Pray

JF-Expert Member
Joined
Nov 7, 2023
Posts
2,142
Reaction score
4,779
Katibu Mkuu wa Baraza la Maaskofu Katoliki Tanzania (TEC), Padri Dkt. Charles Kitima, amesema kikao chake na Waziri Mkuu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Mwigulu Nchemba, kilichofanyika Novemba 20, 2025 katika Ofisi Ndogo ya Waziri Mkuu, Magogoni mkoani Dar es Salaam kilikuwa cha binafsi na si mazungumzo ya Baraza la Maaskofu.

Akizungumza na wanahabari siku ya Jumatatu Desemba 1, 2025 juu ya masuala mbalimbali yanayohusu hali ya nchi baada ya Uchaguzi Mkuu wa Oktoba 29, 2025, Padri Kitima amesema alikwenda kwa Waziri Mkuu baada ya kualikwa binafsi, na si kama mwakilishi wa TEC.

Padri Kitima amesema hakupokea barua, ajenda wala maelekezo kutoka TEC kabla ya kwenda kwenye mazungumzo hayo, jambo ambalo linaonesha kuwa hakwenda kama sehemu ya taasisi.

Ameeleza kuwa Waziri Mkuu alimuita kupitia simu yake binafsi na akamweleza kuwa angependa wazungumze “kama watu wanaofahamiana”, akibainisha kuwa wamekuwa na uhusiano mzuri kwa muda mrefu.

Katika mazungumzo yao, Padri Kitima amesema waligusia pia matukio ya baada ya uchaguzi kwa namna ya kawaida ya kibinadamu, akisisitiza kuwa hayo si mazungumzo ya kitaasisi.

Amefafanua kuwa kama kungekuwa na mazungumzo ya kitaasisi, basi angeomba kibali kwa Rais wa TEC ambaye ndiye msemaji rasmi wa TEC na mwenye mamlaka ya kutoa tamko la baraza.


 
Katibu Mkuu wa Baraza la Maaskofu Katoliki Tanzania (TEC), Padri Dkt. Charles Kitima, amesema kikao chake na Waziri Mkuu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Mwigulu Nchemba, kilichofanyika Novemba 20, 2025 katika Ofisi Ndogo ya Waziri Mkuu, Magogoni mkoani Dar es Salaam kilikuwa cha binafsi na si mazungumzo ya Baraza la Maaskofu.

Akizungumza na wanahabari siku ya Jumatatu Desemba 1, 2025 juu ya masuala mbalimbali yanayohusu hali ya nchi baada ya Uchaguzi Mkuu wa Oktoba 29, 2025, Padri Kitima amesema alikwenda kwa Waziri Mkuu baada ya kualikwa binafsi, na si kama mwakilishi wa TEC.

Padri Kitima amesema hakupokea barua, ajenda wala maelekezo kutoka TEC kabla ya kwenda kwenye mazungumzo hayo, jambo ambalo linaonesha kuwa hakwenda kama sehemu ya taasisi.

Ameeleza kuwa Waziri Mkuu alimuita kupitia simu yake binafsi na akamweleza kuwa angependa wazungumze “kama watu wanaofahamiana”, akibainisha kuwa wamekuwa na uhusiano mzuri kwa muda mrefu.

Katika mazungumzo yao, Padri Kitima amesema waligusia pia matukio ya baada ya uchaguzi kwa namna ya kawaida ya kibinadamu, akisisitiza kuwa hayo si mazungumzo ya kitaasisi.

Amefafanua kuwa kama kungekuwa na mazungumzo ya kitaasisi, basi angeomba kibali kwa Rais wa TEC ambaye ndiye msemaji rasmi wa TEC na mwenye mamlaka ya kutoa tamko la baraza.
Kanisa Katoliki kuna clear hierarchy of authority, flow of information.
1. Jumuiya ndogo ndogo ni Mwenyekiti
2. Parokia ni Paroko
3. Jimbo ni Askofu
4. TEC ni Mwenyekiti wa TEC

I stand to be corrected. Jivyo Kitima hawezi kuongea kwa niaba ya TEC bila kibali cha TEC.

Unaona jitu!liongo eti tumeongea na TEC while knowing vividly kuwa ni uongo!
 
RC wanafuata utaratibu. Lengo la Mwigulu lilikuwa kumrubuni Fr.Kitima kwakuwa ni mtu wa Singida ili awashawishi RC wafumbie macho ukweli. Na zile picha zilisambazwa kimkakati kuonyesha TEC imekubaliana na serekali.
 
Katibu Mkuu wa Baraza la Maaskofu Katoliki Tanzania (TEC), Padri Dkt. Charles Kitima, amesema kikao chake na Waziri Mkuu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Mwigulu Nchemba, kilichofanyika Novemba 20, 2025 katika Ofisi Ndogo ya Waziri Mkuu, Magogoni mkoani Dar es Salaam kilikuwa cha binafsi na si mazungumzo ya Baraza la Maaskofu.

Akizungumza na wanahabari siku ya Jumatatu Desemba 1, 2025 juu ya masuala mbalimbali yanayohusu hali ya nchi baada ya Uchaguzi Mkuu wa Oktoba 29, 2025, Padri Kitima amesema alikwenda kwa Waziri Mkuu baada ya kualikwa binafsi, na si kama mwakilishi wa TEC.

Padri Kitima amesema hakupokea barua, ajenda wala maelekezo kutoka TEC kabla ya kwenda kwenye mazungumzo hayo, jambo ambalo linaonesha kuwa hakwenda kama sehemu ya taasisi.

Ameeleza kuwa Waziri Mkuu alimuita kupitia simu yake binafsi na akamweleza kuwa angependa wazungumze “kama watu wanaofahamiana”, akibainisha kuwa wamekuwa na uhusiano mzuri kwa muda mrefu.

Katika mazungumzo yao, Padri Kitima amesema waligusia pia matukio ya baada ya uchaguzi kwa namna ya kawaida ya kibinadamu, akisisitiza kuwa hayo si mazungumzo ya kitaasisi.

Amefafanua kuwa kama kungekuwa na mazungumzo ya kitaasisi, basi angeomba kibali kwa Rais wa TEC ambaye ndiye msemaji rasmi wa TEC na mwenye mamlaka ya kutoa tamko la baraza.
Kwani Amemkana au amefafanua taarifa sahihi
 
Mwigulu alitaka tu apige picha na Padre Kitine kisha aotumie kisiasa.
1763777849741.jpg
 
Nyie Kitime/ TEC naona mmefika kwenye point mnataka nchi isiwe na utulivu tu,kwa hoja moja au mbili hata kama kuna ukweli fulani lkn TIMING yenu haipo sawa, bado kuna mgawanyiko mkubwa ktk jamii na nyie kwa kujua ukubwa wenu mnazidi kuchochea kuni na lengo moto usipowe na labda kiwake lkn pia mnazidi kuwaonyesha hata watu wa dini na madhehebu tofauti na hasa Waislam kwamba kuna agenda zenu za sirini ebu kitulizeni wakuu, watu wakisema kweli zao kuhusu nyie mnakuja na hoja za watetezi wenu eti mna PHDs sijui badala kujibu hoja zao

Mnafaidika vipi na bandari ya wote na ruzuku mpatazo kwa kodi za wa Tanzania wote wa imani na madhehebu yote kwa hiyo MOU yenu na serikali ? inasaidia vipi kupunguza gharama kwenye ma shule na hospitals zenu? Maana hakuna nafuu pia huko ni kama any privates institutions tu

Hii tensions ikiendelea end results zenu zipi na benefits zake??

Timing yenu ya ma waraka na ma ujumbe haipo sawa hata kama kuna a grain of truth
 
"Mwigulu ni rafiki mkubwa wa Kanisa Katoliki toka zamani, ni rafiki yangu mkubwa pia hata kabla hajawa Waziri Mkuu. Pia tumetoka mkoa mmoja wa Singida, hivyo nilienda kumuona baada ya yeye kuniita kama ndugu na rafiki".
 
Nyie Kitime/ TEC naona mmefika kwenye point mnataka nchi isiwe na utulivu tu,kwa hoja moja au mbili hata kama kuna ukweli fulani lkn TIMING yenu haipo sawa, bado kuna mgawanyiko mkubwa ktk jamii na nyie kwa kujua ukubwa wenu mnazidi kuchochea kuni na lengo moto usipowe na labda kiwake lkn pia mnazidi kuwaonyesha hata watu wa dini na madhehebu tofauti na hasa Waislam kwamba kuna agenda zenu za sirini ebu kitulizeni wakuu, watu wakisema kweli zao kuhusu nyie mnakuja na hoja za watetezi wenu eti mna PHDs sijui badala kujibu hoja zao

Mnafaidika vipi na bandari ya wote na ruzuku mpatazo kwa kodi za wa Tanzania wote wa imani na madhehebu yote kwa hiyo MOU yenu na serikali ? inasaidia vipi kupunguza gharama kwenye ma shule na hospitals zenu? Maana hakuna nafuu pia huko ni kama any privates institutions tu

Hii tensions ikiendelea end results zenu zipi na benefits zake??

Timing yenu ya ma waraka na ma ujumbe haipo sawa hata kama kuna a grain of truth
Sijasoma kenge wewe
 
Katibu Mkuu wa Baraza la Maaskofu Katoliki Tanzania (TEC), Padri Dkt. Charles Kitima, amesema kikao chake na Waziri Mkuu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Mwigulu Nchemba, kilichofanyika Novemba 20, 2025 katika Ofisi Ndogo ya Waziri Mkuu, Magogoni mkoani Dar es Salaam kilikuwa cha binafsi na si mazungumzo ya Baraza la Maaskofu.

Akizungumza na wanahabari siku ya Jumatatu Desemba 1, 2025 juu ya masuala mbalimbali yanayohusu hali ya nchi baada ya Uchaguzi Mkuu wa Oktoba 29, 2025, Padri Kitima amesema alikwenda kwa Waziri Mkuu baada ya kualikwa binafsi, na si kama mwakilishi wa TEC.

Padri Kitima amesema hakupokea barua, ajenda wala maelekezo kutoka TEC kabla ya kwenda kwenye mazungumzo hayo, jambo ambalo linaonesha kuwa hakwenda kama sehemu ya taasisi.

Ameeleza kuwa Waziri Mkuu alimuita kupitia simu yake binafsi na akamweleza kuwa angependa wazungumze “kama watu wanaofahamiana”, akibainisha kuwa wamekuwa na uhusiano mzuri kwa muda mrefu.

Katika mazungumzo yao, Padri Kitima amesema waligusia pia matukio ya baada ya uchaguzi kwa namna ya kawaida ya kibinadamu, akisisitiza kuwa hayo si mazungumzo ya kitaasisi.

Amefafanua kuwa kama kungekuwa na mazungumzo ya kitaasisi, basi angeomba kibali kwa Rais wa TEC ambaye ndiye msemaji rasmi wa TEC na mwenye mamlaka ya kutoa tamko la baraza.

Kama rais ndo msemaji yeye anafanya nini huyu balaziz
 
Back
Top Bottom