PostGE2025 Padri Kitima amkana Mwigulu, asema tulikuwa na mazungumzo binafsi si ya TEC

PostGE2025 Padri Kitima amkana Mwigulu, asema tulikuwa na mazungumzo binafsi si ya TEC

Conversations and stories after Tanzania's 2025 General Elections
Nyie Kitime/ TEC naona mmefika kwenye point mnataka nchi isiwe na utulivu tu,kwa hoja moja au mbili hata kama kuna ukweli fulani lkn TIMING yenu haipo sawa, bado kuna mgawanyiko mkubwa ktk jamii na nyie kwa kujua ukubwa wenu mnazidi kuchochea kuni na lengo moto usipowe na labda kiwake lkn pia mnazidi kuwaonyesha hata watu wa dini na madhehebu tofauti na hasa Waislam kwamba kuna agenda zenu za sirini ebu kitulizeni wakuu, watu wakisema kweli zao kuhusu nyie mnakuja na hoja za watetezi wenu eti mna PHDs sijui badala kujibu hoja zao

Mnafaidika vipi na bandari ya wote na ruzuku mpatazo kwa kodi za wa Tanzania wote wa imani na madhehebu yote kwa hiyo MOU yenu na serikali ? inasaidia vipi kupunguza gharama kwenye ma shule na hospitals zenu? Maana hakuna nafuu pia huko ni kama any privates institutions tu

Hii tensions ikiendelea end results zenu zipi na benefits zake??

Timing yenu ya ma waraka na ma ujumbe haipo sawa hata kama kuna a grain of truth
20251104_120304.jpg
Kuna walioleta hiyo TENSION zaidi ya hawa wahuni?

Au Kitima ndio alishika Ak-47 na kumimina risasi majumbani kama mwendawazimu?

Tulieni hivyo hivyo wananchi watalipa kisasi kazi ya jeshi ni kulinda wananchi matokeo yake wakawa wanaua wananchi sasa wananchi watajilinda wao round hii.

Risasi haikuchagua mkatoliki, muislamu, mpagani, mfupi , mrefu , mweusi wala mweupe.
 
View attachment 3510077Kuna walioleta hiyo TENSION zaidi ya hawa wahuni?

Au Kitima ndio alishika Ak-47 na kumimina risasi majumbani kama mwendawazimu?

Tulieni hivyo hivyo wananchi watalipa kisasi kazi ya jeshi ni kulinda wananchi matokeo yake wakawa wanaua wananchi sasa wananchi watajilinda wao round hii.

Risasi haikuchagua mkatoliki, muislamu, mpagani, mfupi , mrefu , mweusi wala mweupe.
Kwa mujibu wa gentamycine,huyo mwenye jezi ya yanga ana hamu na 9D
 
Ccm hata mkikaribiana kimbia hawakawii kuonyesha picha yako na kusema hata wewe ulishiriki kikao cha mauaji ya raia.

Wao wakipata picha tu wana geuza habari.
 
View attachment 3510077Kuna walioleta hiyo TENSION zaidi ya hawa wahuni?

Au Kitima ndio alishika Ak-47 na kumimina risasi majumbani kama mwendawazimu?

Tulieni hivyo hivyo wananchi watalipa kisasi kazi ya jeshi ni kulinda wananchi matokeo yake wakawa wanaua wananchi sasa wananchi watajilinda wao round hii.

Risasi haikuchagua mkatoliki, muislamu, mpagani, mfupi , mrefu , mweusi wala mweupe.
Haujakatazwa kutoka mkuu na mie sijawahi pinga maandamano hasa ya amani na yenye ujumbe ulio timilifu nakataa yale ya hila na ghiriba kwa ku push agendas ambazo zingine hata hazipo wazi

Ukitoka na mkatoka mkamwagana damu ni nyie tu mie sina upande wowote kwangu nawaona mnachangia kupoteza amani na umwagaji damu wawe hao dola au nyie mnaosema mtakinukisha wote nawawekeni kwenye kapu moja tu la watu vurugu na mnapenda damu zimwagike, piganeni, uaneni mkitaka ,
Sie wa Afrika tupo stage ya kukua hatupo full developed hata ktk ngazi ya ufahamu yaani tuna uhayawani fulani hizi ni stages za kukua pia malizaneni tu mkuu kwa kupigana wenyewe kwa wenyewe kwa sababu ziwe external au internal maana kukaa na kujadili na kuweka taratibu zetu na kuheshimiana hata kwenye tofauti zetu hatuna hizo
 
Nyie Kitime/ TEC naona mmefika kwenye point mnataka nchi isiwe na utulivu tu,kwa hoja moja au mbili hata kama kuna ukweli fulani lkn TIMING yenu haipo sawa, bado kuna mgawanyiko mkubwa ktk jamii na nyie kwa kujua ukubwa wenu mnazidi kuchochea kuni na lengo moto usipowe na labda kiwake lkn pia mnazidi kuwaonyesha hata watu wa dini na madhehebu tofauti na hasa Waislam kwamba kuna agenda zenu za sirini ebu kitulizeni wakuu, watu wakisema kweli zao kuhusu nyie mnakuja na hoja za watetezi wenu eti mna PHDs sijui badala kujibu hoja zao

Mnafaidika vipi na bandari ya wote na ruzuku mpatazo kwa kodi za wa Tanzania wote wa imani na madhehebu yote kwa hiyo MOU yenu na serikali ? inasaidia vipi kupunguza gharama kwenye ma shule na hospitals zenu? Maana hakuna nafuu pia huko ni kama any privates institutions tu

Hii tensions ikiendelea end results zenu zipi na benefits zake??

Timing yenu ya ma waraka na ma ujumbe haipo sawa hata kama kuna a grain of truth
Tulia dawa ukuingia
 
Nyie Kitime/ TEC naona mmefika kwenye point mnataka nchi isiwe na utulivu tu,kwa hoja moja au mbili hata kama kuna ukweli fulani lkn TIMING yenu haipo sawa, bado kuna mgawanyiko mkubwa ktk jamii na nyie kwa kujua ukubwa wenu mnazidi kuchochea kuni na lengo moto usipowe na labda kiwake lkn pia mnazidi kuwaonyesha hata watu wa dini na madhehebu tofauti na hasa Waislam kwamba kuna agenda zenu za sirini ebu kitulizeni wakuu, watu wakisema kweli zao kuhusu nyie mnakuja na hoja za watetezi wenu eti mna PHDs sijui badala kujibu hoja zao

Mnafaidika vipi na bandari ya wote na ruzuku mpatazo kwa kodi za wa Tanzania wote wa imani na madhehebu yote kwa hiyo MOU yenu na serikali ? inasaidia vipi kupunguza gharama kwenye ma shule na hospitals zenu? Maana hakuna nafuu pia huko ni kama any privates institutions tu

Hii tensions ikiendelea end results zenu zipi na benefits zake??

Timing yenu ya ma waraka na ma ujumbe haipo sawa hata kama kuna a grain of truth
Kwahiyo muue watu halafu kila mtu akae kimya na kuwalamba miguu?
 
Kwahiyo muue watu halafu kila mtu akae kimya na kuwalamba miguu?
Nani kaua mkuu hata sisimizi mdogo namuheshimu lkn haujakatazwa nawe kufanya unachoona ni sawa kwa kulipa kisasi au vyovyote tu mkuu, kubwa ni kuleta muafaka na amani kama watu watataka na sina upande mie ndo maana nasema dola na wapinzani na hizo TEC na hao Gwaj ni muendelezo wa hatari tu na kama hawajatosheka na damu
 
Nyie Kitime/ TEC naona mmefika kwenye point mnataka nchi isiwe na utulivu tu,kwa hoja moja au mbili hata kama kuna ukweli fulani lkn TIMING yenu haipo sawa, bado kuna mgawanyiko mkubwa ktk jamii na nyie kwa kujua ukubwa wenu mnazidi kuchochea kuni na lengo moto usipowe na labda kiwake lkn pia mnazidi kuwaonyesha hata watu wa dini na madhehebu tofauti na hasa Waislam kwamba kuna agenda zenu za sirini ebu kitulizeni wakuu, watu wakisema kweli zao kuhusu nyie mnakuja na hoja za watetezi wenu eti mna PHDs sijui badala kujibu hoja zao

Mnafaidika vipi na bandari ya wote na ruzuku mpatazo kwa kodi za wa Tanzania wote wa imani na madhehebu yote kwa hiyo MOU yenu na serikali ? inasaidia vipi kupunguza gharama kwenye ma shule na hospitals zenu? Maana hakuna nafuu pia huko ni kama any privates institutions tu

Hii tensions ikiendelea end results zenu zipi na benefits zake??

Timing yenu ya ma waraka na ma ujumbe haipo sawa hata kama kuna a grain of truth
Tuache ujinga, lini kutapoa ili uone kubwa sasa wanayo haki ya kusema?
Hizo ruzuku kwa RC inailazimisha serekali kuzitoa?. Ni miaka sasa serekali ya CCM ikiteka na kuua kwanini anayekemea ukomeshaji wa matukio hayo ndo awe mbaya?. Jamani mmerogwa na nani?
 
Tuache ujinga, lini kutapoa ili uone kubwa sasa wanayo haki ya kusema?
Hizo ruzuku kwa RC inailazimisha serekali kuzitoa?. Ni miaka sasa serekali ya CCM ikiteka na kuua kwanini anayekemea ukomeshaji wa matukio hayo ndo awe mbaya?. Jamani mmerogwa na nani?
Soma kwa kutulia wana hoja mbili tatu lkn tatizo na nina question hizo busara zao hao sijui wenye PHD ni kuhusu TIMING sahihi kwa kuja na maelezo haya na waraka ule na kwa mtu anaefikiria hata kwa kiwango kidogo tu anajua lengo ni kuleta muendelezo wa mkanganyiko na siyo amani tena, na je kuna agendas zipi kwa upande wao , kama ni kuhubiri haki tu au kuna kutumia hii fursa ya mpasuko huu kwa faida zao zilizofichikana
 
Mwigulu ni sehemu muhimu ya Tatizo la Tanzania wakati huu; huyu sasa ndiye wakala mkuu wa utetezi wa uovu, kwa sababu tu anapata fursa ya kufaidika na matokeo ya uovu huo.

Ni muhimu sana waTanzania wasihadaiwe na uigizaji unaofanywa kwa nguvu kubwa kuwasahaulisha waTanzania uovu wa watawala hawa. namawakala wao.
 
Haujakatazwa kutoka mkuu na mie sijawahi pinga maandamano hasa ya amani na yenye ujumbe ulio timilifu nakataa yale ya hila na ghiriba kwa ku push agendas ambazo zingine hata hazipo wazi

Ukitoka na mkatoka mkamwagana damu ni nyie tu mie sina upande wowote kwangu nawaona mnachangia kupoteza amani na umwagaji damu wawe hao dola au nyie mnaosema mtakinukisha wote nawawekeni kwenye kapu moja tu la watu vurugu na mnapenda damu zimwagike, piganeni, uaneni mkitaka ,
Sie wa Afrika tupo stage ya kukua hatupo full developed hata ktk ngazi ya ufahamu yaani tuna uhayawani fulani hizi ni stages za kukua pia malizaneni tu mkuu kwa kupigana wenyewe kwa wenyewe kwa sababu ziwe external au internal maana kukaa na kujadili na kuweka taratibu zetu na kuheshimiana hata kwenye tofauti zetu hatuna hizo
Maandamano ya amani yangekuwa yanaruhusiwa basi nadhani kusingekuwa na haja na maandamano ya vurugu.
 
Soma kwa kutulia wana hoja mbili tatu lkn tatizo na nina question hizo busara zao hao sijui wenye PHD ni kuhusu TIMING sahihi kwa kuja na maelezo haya na waraka ule na kwa mtu anaefikiria hata kwa kiwango kidogo tu anajua lengo ni kuleta muendelezo wa mkanganyiko na siyo amani tena, na je kuna agendas zipi kwa upande wao , kama ni kuhubiri haki tu au kuna kutumia hii fursa ya mpasuko huu kwa faida zao zilizofichikana
Kwako timing yenye busara ilitakiwa kuwa lini?.
Ni miaka sasa utekaji na mauaji vinaendelea, binafsi nitasimama na yeyote anayepaza sauti ya kukomesha uharamia huo pasipo kuzingatia factor ya muda. Sasa wewe unayesubiri muda muafaka wa kusema endelea kusubiri, na yawezekana usiupate maana huna ratiba ya mtesi wetu na pia kumbuka haangalii dini.
 
Nyie Kitime/ TEC naona mmefika kwenye point mnataka nchi isiwe na utulivu tu,kwa hoja moja au mbili hata kama kuna ukweli fulani lkn TIMING yenu haipo sawa, bado kuna mgawanyiko mkubwa ktk jamii na nyie kwa kujua ukubwa wenu mnazidi kuchochea kuni na lengo moto usipowe na labda kiwake lkn pia mnazidi kuwaonyesha hata watu wa dini na madhehebu tofauti na hasa Waislam kwamba kuna agenda zenu za sirini ebu kitulizeni wakuu, watu wakisema kweli zao kuhusu nyie mnakuja na hoja za watetezi wenu eti mna PHDs sijui badala kujibu hoja zao

Mnafaidika vipi na bandari ya wote na ruzuku mpatazo kwa kodi za wa Tanzania wote wa imani na madhehebu yote kwa hiyo MOU yenu na serikali ? inasaidia vipi kupunguza gharama kwenye ma shule na hospitals zenu? Maana hakuna nafuu pia huko ni kama any privates institutions tu

Hii tensions ikiendelea end results zenu zipi na benefits zake??

Timing yenu ya ma waraka na ma ujumbe haipo sawa hata kama kuna a grain of truth
Kajinyonge mwanakwerekwe kama umekereka
 
Soma kwa kutulia wana hoja mbili tatu lkn tatizo na nina question hizo busara zao hao sijui wenye PHD ni kuhusu TIMING sahihi kwa kuja na maelezo haya na waraka ule na kwa mtu anaefikiria hata kwa kiwango kidogo tu anajua lengo ni kuleta muendelezo wa mkanganyiko na siyo amani tena, na je kuna agendas zipi kwa upande wao , kama ni kuhubiri haki tu au kuna kutumia hii fursa ya mpasuko huu kwa faida zao zilizofichikana
Akili yako ni fupi kama ilivyo ya Samia.
Anafanya maovu yote, halafu anageuka kwenda kuwapumbaza hao waliofanyiwa maovu; hiyo ni akili ya wapi hiyo?

Sasa hapa unalaumu "waraka" gani tena uliotolewa?

Unachotaka wewe, kama anavyotaka Samia ni kuwa waTanzania wakubali uovu uliofanyika juu yao, kwa maksudi kabisa; wasizungumzie tena hilo, kwa sababu Samia sasa anataka kuponya taifa baada ya kupora ushindi usiokuwa halali!
Jinsi akili yenu inavyofanya kazi ni tofauti kabisa na binaadam wa kawaida.

Tueleze wewe, ni kitu gani kilicho zuia kuwepo na uchaguzi huru na haki?

Kwa nini waTanzania wanaendelea kutekwa/kupotezwa na kuuawa. Baada ya yote haya mliyoyafanya kwa dhamira ovu, sasa mnageuka na kuja kulazimisha watu wasiyazungumzie tena na kuyakataa?

Huu utawala mnaowalazimisha waTanzania waukubali kwa kutumia mitutu ya bunduki; huko ndiko kuponya nchi?
 
Back
Top Bottom