Padri Anatoly Salawa afumaniwa akifanya ngono ndani ya gari

Status
Not open for further replies.
"People have made sex the only sin, whereas in fact it is linked to human weakness and frailty and perhaps, therefore, it is the least of all the sins"...QUOTE FROM THE PROMINENT RELIGIOUS PERSONALITY - POPE JOHN PAULII

Nimeipenda sana hii👆🏿👆🏿👆🏿
 
Si umesema alichofanya padre ndo mustakabali wa kanisa? So alichokifanya kiongoz wa chama ndo mstakabali wa chama hicho!
 
Mbona picha inaonyesha anafunga zipu na wasionyeshe picha za anakula mzigo live yupo juu ya kifua? Au ndo ule usemi wetu " ukishaona manyoya ujue kashaliwa".
 
Mbona picha inaonyesha anafunga zipu na wasionyeshe picha za anakula mzigo live yupo juu ya kifua? Au ndo ule usemi wetu " ukishaona manyoya ujue kashaliwa".

Picha za utupu wanazo,sema kimaadili hauwezi kuziweka kwenye Tovuti au Magazeti.
 
Sasa hapo kanisa limechafuka au padre amechafuka?

Kwa.hyo namimi nikifumaniwa kanisa linachafuka?? unadhan hulo mbinguni dhambi za mmoja zinaunganishwa na.wengne?? kila.mtu anavuna anachopanda

Kumbe kuna wakati mnajua kuchanganua mambo surprised!!
kweli mkosaji ni padri na sio kanisa shutuma ziende kwa muhusika hali kadhalika anapokosea muislam ama kundi flan msipende kujumuisha waislam wote sabbu hakuna kitabu cha mungu kinacho fundisha maovu.
Sipati picha angekuwa shekhe hapa au muislam yoyote!
Yu guys tujifunze kuvumiliana na kuheshimiana wote tunamapungufu.
 
Da! mambo mengine mtihan yani mtu kazaliwa na kakamilika matamanio kama kawaida halafu mwiko kuoa!! dunia yenyewe yaleo wanawake kusali nusu uchi kweli mtawaonea sana mapadri
 
Kashfa ya kanisa au kashfa ya padre?

Kanisa katoliki ni zaidi ya Kadinali, sembuse padre??

Padre kuzini ni sawa na mwanaume aliye kwenye ndoa takatifu kuzini. Wote wanakuwa wametika nje ya kiapo chao. Padre ni binadamu kama sisi.

Ni hayo tu kw a leo.

Aisee, hivi bado uko fresh! Kuna jamaa humu JF alikutabiria mabaya sana nilivyoona kimya nikadhani ile laana aliyokuombea imekupiga! Haya vipi afya yako!?
 
kanisa haliwezi kuchafuliwa na mtu mzini mmoja kama huyu lazima achukuliwa hatua kali ili iwe fundisho kwa wengine kwani upadre ni wito .
 
Padre anakuhudumia wewe

Pili huo ni mzigo wake mwenyewe hahusu kanisa....nadhiri ya upadre aliiweka mwenyewe


Kwani Padre anamhudumia nani ? Akifanya maovu kubali anachafua kanisa zima na si yeye peke yake.

Acha uongo wa vijiweni ....kusema kuwa kanisa katoliki lilianza rome kabla ya Yesu,
Hata kanisa la catholic lilianzia huko Rome na kutawanyika kabla Yesu ndo maana mafundisho yao hayaendani na ya Yesu au Kibiblia, waache umalaya mapadre sio huyo tu asilimia kubwa malaya na wengine wamekufa na ukimwi je wanaupataje ? Padre kachafua katoliki aibu usitetee
 
Kuoa siyo solution, wangapi tunaishi nao mtaani, wameoa/ wameolewa lakini lakini nado wanafumaniana tu? au nao waruhusiwe kuoa/ kuolewa wa pili au wa tatu? Kubwani malezi yanayotolewa yalenge katika kujitambua kwa hawa makleri. Bado Useja unahitajika katika Kanisa Katoliki.

Hatuwezi kuruhusu wizi uendelee eti kisa "watoto" wa jirani yetu ni wezi!!! Above all, tuelewe kuwa kila mtu ni matokeo ya jumuiya au jamii inayomzunguka.... Ukikuta mtoto mtukutu, au binti changu, au baba fisadi au mama kiruka njia, au Padre Mzinifu.... ni kwakuwa jamii iliyomzinguka ni tukutu, ni changu ni fisadi na imejaa uzinzi na uasherati. Ndo maana imewa "accommodate" hao watu.

Tuombeane tu kwani kuishi majini siyo kutakata!!!! Above all, asiye mzinzi na awe wa kwanza kuwatupia mawe hao.... Sina hakika kama huyo mwandishi ni "mtakatifu" kama halikuwa lengo la kuuza habari tu........!!!! By the way, simtetei Padre au huyo binti, walotenda ni mabaya!!!
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom