Mwanaukweli
JF-Expert Member
- May 18, 2007
- 4,786
- 1,710
Mhashamu Askofu Ludovick Minde wa Jimbo la Moshi anasikitika kuwajulisha kwamba usiku wa kuamkia leo Jumapili tarehe 7 Machi 2021, Jimbo Katoliki la Moshi limepata msiba mwingine wa kuondokewa na Padre ambaye alikuwa bado kijana, Padre Wilbald Mashauri.
Taratibu za maziko mtajulishwa!
Bwana alitoa, Bwana ametwaa, jina lake lihimidiwe!
Padre Wilbald Mashauri Apumzike kwa amani Amina.
Taratibu za maziko mtajulishwa!
Bwana alitoa, Bwana ametwaa, jina lake lihimidiwe!
Padre Wilbald Mashauri Apumzike kwa amani Amina.