Padre wilayani Kisarawe Mkoani Wa Pwani anusurika kupigwa risasi!!! Mwenye taarifa zaidi aweke hapa vinginevyo ntarud na data.
Update:
Mtu mmoja ambae bado hajafahamika aliingia kanisani na kukaa dawat la mbele ktk misa Ya Ijumaa Kuu ya leo ktk kanisa la Kisarawe Pwani.
Baada ya muda mtu huyo alitoka nje kuongea na cm wakati anaongea na cm kamati ya ulinzi ya kanisa ilihis kitu ikawa inamfuatilia ndipo mtu huyo akatoa bastola akiwa ana I seti wakamuwahi wakamkamata na kupiga cm police.
Baada ya polisi kufika wakampiga sachi wakamkuta na bastola yenye risasi tatu ndani na risasi nyingine nne mfukoni, wakaondoka nae kwa upelelez zaidi.
Update:
Mtu mmoja ambae bado hajafahamika aliingia kanisani na kukaa dawat la mbele ktk misa Ya Ijumaa Kuu ya leo ktk kanisa la Kisarawe Pwani.
Baada ya muda mtu huyo alitoka nje kuongea na cm wakati anaongea na cm kamati ya ulinzi ya kanisa ilihis kitu ikawa inamfuatilia ndipo mtu huyo akatoa bastola akiwa ana I seti wakamuwahi wakamkamata na kupiga cm police.
Baada ya polisi kufika wakampiga sachi wakamkuta na bastola yenye risasi tatu ndani na risasi nyingine nne mfukoni, wakaondoka nae kwa upelelez zaidi.