Padre amwagiwa Tindikali huko Zanzibar

Padre amwagiwa Tindikali huko Zanzibar

Status
Not open for further replies.
Hakuna dini inayofundisha maovu,ila ni tabia ya mtu,ugomvi baina ya mtu na mtu au watu.Waovu wapo dini zote,na wasiokuwa na dini pia wapo.Tendo likitwendwa na mtu wa dini fulani,isihusishwe hiyo dini.Hilo ni jambo binafsi la huyo mtu,au hao watu kwa sababu zao binafsi.Acheni mtindo wa kusakama dini fulani.Dini zote zina watu waovu.Wapo na wanaendelea kuwapo.
 
By the way huu si ukristu ni uyahudi....Wakristu wameunganisha vitabu ktk Biblia ili kujua Ukritu ulikuja vipi.....Yesu Amekuja timiliza Tourat....alikuwa toa pigana mawe, uana...muhamad kaja rudisha..
Mbona hueleweki mara ukristu mara ukritu, mara alikuwa toa pigana mawe....
hicho ni kiswahili au ki........?
 
Kwa hiyo unakubaliana na mimi kuwa quran ni copy tu na hakuna kilichotoka kwa mungu na ndiyo maana unatafuta misitari ya kuitetea kutoka katika BIBLIA.
Sijaona jibu la swali katika yote uliyoyaandika hapa Unataka kukimbia SWALI
Unaonyeshwa jinsi ndani ya biblia amri za kuwapa watu adhabu,hayo hayamo ndani Quran,yamo ndani ya Biblia.Acha kukukimbia,elewa somo.Kukwepa jambo sio ujanja,mwingine ataona na atasoma na ataelewa,si lazima uwe wewe.
 
The thirty Years' War (1618 -1648) was a series of wars principally fought in central Europe involving most of the countries of Europe.It was one of the longest and most destructive conflicts in European history and one of the longest continuous wars in modern history .
It was fought largely as a religious war between Protestants and Catholics in the Holy Roman Empire
 
Huu ni dhahiri bado uzembe wa serikali zote za muungano na Zanzibar. Watu wanaofanya haya ni Waislamu dhidi ya Wakristo na rais wao anajua haya, Jk pia anajua na wote ni waislamu. Kama wanataka kuvunja muungano kwa mgongo wa dini waseme uvunjike na pia tuwaache wajishikamanishe na waarabu kama watafaidika sana. Inaudhi na uongozi huu unanyamaza tu. Hapa Bara wasijaribu kabisa, tutachukua sheria mikononi, tutawasaka na kuwawajibisha hata kama jk hataki kujishughulisha basi anaweza kwenda naye akaishi nao huko zanzibar.
 
The thirty Years' War (1618 -1648) was a series of wars principally fought in central Europe involving most of the countries of Europe.It was one of the longest and most destructive conflicts in European history and one of the longest continuous wars in modern history .
It was fought largely as a religious war between Protestants and Catholics in the Holy Roman Empire

Huu ndio ufinyu wao wa akili kujudge mambo kwa kipindi cha maisha yao tu. bila kuangalia history sijui zama hizo 1618-1648 alieishi kipindi hicho atasema ukristo ndio unaongoza kwa kuuwana.
 
Kudangany ndio njia nyingine ya waislam kuonyesha kuwa wana chongo.......Contradictions ipi sasa......ziandike hapa..Unyama upi..YEsu kaja kuweka Maagano Mapya na Dunia....na ni maagano ya Amani...ktk ukristu hakuna kupigana Mawe kwa uzinzi, kukata mikono, kuchinjana, wala hakuna jeshi la Yesu la Kivita..Yote haya ktk uislam Yapo halafu unasema hakuna unyama?waislam wanawaua wengine kw akuukataa uislam?km vile mbabe kakataliw ana mwananke anavyofanya mauaji.......sijui m ni chongo au ndio hila za shetani....
Contradictions ipi? nikikuanikia hapa utakesha hadi kesho bado hujazimaliza.
A simple example
EXO 15:3 The LORD is a man of war: the LORD is his name.
ROM 15:33 Now the God of peace be with you all. Amen.

Sasa ni WAR OR PEACE?

God is satisfied with his works
Gen 1:31
God is dissatisfied with his works.
Gen 6:6



 
3. God dwells in light
Tim 6:16
God dwells in darkness
1 Kings 8:12/ Ps 18:11/ Ps 97:2
4. God is seen and heard
Ex 33:23/ Ex 33:11/ Gen 3:9,10/ Gen 32:30/ Is 6:1/
Ex 24:9-11
God is invisible and cannot be heard
John 1:18/ John 5:37/ Ex 33:20/ 1 Tim 6:16
5. God is tired and rests
Ex 31:17
God is never tired and never rests
Is 40:28
6. God is everywhere present, sees and knows all things
Prov 15:3/ Ps 139:7-10/ Job 34:22,21
God is not everywhere present, neither sees nor knows all
things
Gen 11:5/ Gen 18:20,21/ Gen 3:8
 
Kudangany ndio njia nyingine ya waislam kuonyesha kuwa wana chongo.......Contradictions ipi sasa......ziandike hapa..Unyama upi..YEsu kaja kuweka Maagano Mapya na Dunia....na ni maagano ya Amani...ktk ukristu hakuna kupigana Mawe kwa uzinzi, kukata mikono, kuchinjana, wala hakuna jeshi la Yesu la Kivita..Yote haya ktk uislam Yapo halafu unasema hakuna unyama?waislam wanawaua wengine kw akuukataa uislam?km vile mbabe kakataliw ana mwananke anavyofanya mauaji.......sijui m ni chongo au ndio hila za shetani....
contradiction ziko nyingi sana.

Kama yesu alifuta baadhi ya taurati ,nini sababu ya crusade?na unyama mwingine uliofanywa na kanisa enzi za zama za giza?
 
Kwani hitler alikua nani, au hivi karibuni yule BREIVIK wa norway alouwa zaidi ya 77 kule kwao. kweli watanzania tunajua kusoma magazeti ya udaku tu ndo tunayoyajua!! hihihi

HItler aliupenda uislam sana....kwani kwake yeye pamoja na waarabu kuwa na ubongo wenye uwezo duni ila uislam uliwageuza kuwa majeshi yaliyofanikiwa..Aliukebehi sana Ukristu kwa dhana yake y aukipigwa upande huu geuza huu na si kulipiza...Aliijiunga na shekhe mkuu wa Jerusalemu kuwaangamiza wayahudi.N akitabu chake na Mein Kramf kimeuzwa sana kuheshimiwa sana ktk ulimwengu wa kiislam.


Breivik alichoshwa na tabia za waislam km za akina Ponda, km mauji na acids za zenj akaamua waonyesha na kuwakumbushwa wanorway shida kubwa si magaidi ni uislam wenyewe.

Jipime ulichodhani ndicho umekosea.
 
Huu ndio ufinyu wao wa akili kujudge mambo kwa kipindi cha maisha yao tu. bila kuangalia history sijui zama hizo 1618-1648 alieishi kipindi hicho atasema ukristo ndio unaongoza kwa kuuwana.
ukichukulia tu kwa mfano crusade ilichukua miaka kama 200 wanapiganaga tu,lengo lake ilikua christian kutaka kuiteka jerusalem na falme zingine za arabia ili kuufyeka uislamu japo ilishindikana.

Hawa jamaa wanaishi kwa matukio ya leoleo.
Bado wako na ndoto za kuiteka jerusalem na kujenga hekalu pale al agsa ndo maana kuna baadhi waliunga mkono syria ipigwe na america ili unabii wa isaya 17 utimie.wakati kumbe isaya alikua anatabilia matukio ya enzi zake.
 
Mbona hueleweki mara ukristu mara ukritu, mara alikuwa toa pigana mawe....
hicho ni kiswahili au ki........?

najua hutaelewa kwa vile unajua unayo kazi kujibu km kupiga mawe, kukatana mikono , kuchinjana kwa muislam anapoachana nao, etc si uchama..


Hiyo bishara Yesu alikuja iondoa na kuweka Agano jipya kati ya Binadamu na Mungu..waislam wamerudi na version ya o ili majinn yapate damu.....kamuulize sheikh wako majinn km yanakula damu inapataika wapi?Watawa mix kila mahala ili muone uhalali wa kumwaga damu...akili zenu zinawadanganya ni makafiri na wayahdui ndio wanaowachanganya....huo ndio ufahamu wenu hadi mwisho wa dunia.
 
HItler aliupenda uislam sana....kwani kwake yeye pamoja na waarabu kuwa na ubongo wenye uwezo duni ila uislam uliwageuza kuwa majeshi yaliyofanikiwa..Aliukebehi sana Ukristu kwa dhana yake y aukipigwa upande huu geuza huu na si kulipiza...Aliijiunga na shekhe mkuu wa Jerusalemu kuwaangamiza wayahudi.N akitabu chake na Mein Kramf kimeuzwa sana kuheshimiwa sana ktk ulimwengu wa kiislam.


Breivik alichoshwa na tabia za waislam km za akina Ponda, km mauji na acids za zenj akaamua waonyesha na kuwakumbushwa wanorway shida kubwa si magaidi ni uislam wenyewe.

Jipime ulichodhani ndicho umekosea.
hitler was a catholic,joseph stalin had attended seminary.They both had received insane religious programming,they both were responsible for the killing of millions of human beings.

People like aeril shalon,netanyau have bloody in their hands.
Georg w bush,practicing christian lied the US into an illegal war that killed or damaged over a million lives.
 
Contradictions ipi? nikikuanikia hapa utakesha hadi kesho bado hujazimaliza.
A simple example
EXO 15:3 The LORD is a man of war: the LORD is his name.
ROM 15:33 Now the God of peace be with you all. Amen.

Sasa ni WAR OR PEACE?

God is satisfied with his works
Gen 1:31
God is dissatisfied with his works.
Gen 6:6



Hapa shida ni context kwako:

Man of War ni Utaalamu wa vita ni shujaa km Ataingia vitani.......

Kutaja ufundi si kutaka Vita.

............................
God is satisfied with his works
Gen 1:31
God is dissatisfied with his works.
Gen 6:6



Hii hapa nayo ni kutokuwa honest tuu n aharaka ya kusoma:
Aya moja inaongelea Mara tuu baada ya Mungu kuumba vitu vyote kwa ukamilifu......hiyo ya 6.6 Mungu naonyesha kutoridhika not because hakufanya kazi vyema,ila kwa nguvu za nje kuingia na kuharibu alichofanya kupitia kwa Mwanadamu....Yaani shetani alipomfundisha Adamu kuwa rebellion ,adamu alipodai kujitenga akiamulie mambo yake mwenyewe.

Kwa hiyo Hakuridhika na maamuzi na matendo ya adamu kwani alijiuza kabisa kwa shetani.....km wewe ulivyojiuza kwa majinn sasa dunia inashughudia unavyopenda damu kumwagika kwa kujipa sababua za kijinga.
 
Huu ndio ufinyu wao wa akili kujudge mambo kwa kipindi cha maisha yao tu. bila kuangalia history sijui zama hizo 1618-1648 alieishi kipindi hicho atasema ukristo ndio unaongoza kwa kuuwana.
Hata miaka ya leo pia,bado wacatholic na waprotestant,huko Ireland ya kaskazini,hawaivi chungu kimoja.
 
Hakuna dini inayofundisha maovu,ila ni tabia ya mtu,ugomvi baina ya mtu na mtu au watu.Waovu wapo dini zote,na wasiokuwa na dini pia wapo.Tendo likitwendwa na mtu wa dini fulani,isihusishwe hiyo dini.Hilo ni jambo binafsi la huyo mtu,au hao watu kwa sababu zao binafsi.Acheni mtindo wa kusakama dini fulani.Dini zote zina watu waovu.Wapo na wanaendelea kuwapo.
AL-MAIDA 5:51. Enyi mlio amini!
Msiwafanye Mayahudi
na Wakristo kuwa ni
marafiki. Wao ni
marafiki wao kwa wao.
Na miongoni mwenu
mwenye kufanya urafiki
nao, basi huyo ni katika
wao. Hakika Mwenyezi
Mungu hawaongoi watu
* 51. Enyi mlio amini! Si
halali kwenu
kuwachukua Mayahudi
na Wakristo mkawafanya
ndio marafiki zenu. Wao
hao ni sawa sawa katika
kukufanyieni uadui. Na
mwenye kufanya urafiki
nao, basi ni kundi moja
nao. Na hakika
Mwenyezi Mungu
hawaongoi wanao
jidhulumu nafsi zao kwa
kufanya urafiki na
makafiri.
Ustaadhi Ilunga akiwa Mwanza aliwahutubia waislam na kuwaambia kuwa "Waue mapadri, Maaskofu na Wachungaji, iwe adharani ama kwa kujificha". Baada ya maelekezo hayo, waumini wa kiislam wameitikia,
Huu sio uovu unaofundishwa na uislam.
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom