Nicholas
JF-Expert Member
- Mar 7, 2006
- 25,260
- 7,217
context tena:mpo km watoto wadogo.......labda nikufungue kidogo tuu ili ujipe majibu mengine mwenyewe kabla ya kuleta humu harakaharaka...nakushauri usome Biblie kuanzia mwanzo au chapter nzima.mambo mengine ukidhani unabishana dhini ya Ukristu unakuwa unabishana hata na uislam wenyewe.3. God dwells in light
Tim 6:16
God dwells in darkness
1 Kings 8:12/ Ps 18:11/ Ps 97:2
4. God is seen and heard
Ex 33:23/ Ex 33:11/ Gen 3:9,10/ Gen 32:30/ Is 6:1/
Ex 24:9-11
God is invisible and cannot be heard
John 1:18/ John 5:37/ Ex 33:20/ 1 Tim 6:16
5. God is tired and rests
Ex 31:17
God is never tired and never rests
Is 40:28
6. God is everywhere present, sees and knows all things
Prov 15:3/ Ps 139:7-10/ Job 34:22,21
God is not everywhere present, neither sees nor knows all
things
Gen 11:5/ Gen 18:20,21/ Gen 3:8
Mungu ni invinsible by default kwa binadamu, ila kuwa visible ni yeye ana aamua.......Mungu yupo popote kwa ana access ya kila kitu...ila kuna sehemu anaweza amua kutokuwepo..mojawapo ni katik mioyo ya alqaeda, hayupo kuzimu ingawa anaweza access.....
-Dhana ya "kusikia" ama "kuona" inaweza kuwa ni kuon akm kuona yaani taswira kufikia, na kusikia inaweza kuw ani kupata mawimbi ya sauti..ila kusikia pia ni kuweka "attention".Ndio maana hata leo unasikia JK/serikali ya CCM ni Sikivu/si sikivu....
Duuuh....pole kwa uislam....