Pacome, Kitima na Warioba wametembelewa

Pacome, Kitima na Warioba wametembelewa

bongo kila mtu anajifanya anapajua jikoni. Hamjui kitu, acheni kudanganyana.
Great thinkers tuliona wazi kuwa jamaa analazimishia ukaribu na jikoni....ndio maana hukuona tukimsupport humu jamvini.
 
MKANGAFFU na Dr wa Manesi mnachopeana pongezi ni nini?

Yaani Pakome kuumia kwake ni kwa nini mnadhani kuna mtu anaweza kusema ilikuwa kisiasa. Kuwaza tu wazo hilo hamuoni mnashangaza?

Sasa MKANGAFFU swali halali kabisa unalibezaje. Au hata protokali za kimadaraka kuhusu ziara huzijui?
Tumehoji hivyo kikebehi, kumkebehi mzee mmoja humu aliyesema kuwa tukio la kutembelea lilipangwa.....ndo tunahoji; na kule kuumia kwa pacome kumepangwa pia?!!!! Atujibu mzee huyo muovu.
 
Kwanini sasa na si siku zingine zote
Hawana njia nyingine yoyote ya kuwatoa kwenye mbano wa uhakika unaowasubiri.

Mfa maji haachi...

Hawa wanaowafuata, kwa nini wasiwaambie ni Lazima Tundu Lissu atoke gerezani kabla ya jambo jingine lolote?
 
MKANGAFFU na Dr wa Manesi mnachopeana pongezi ni nini?

Yaani Pakome kuumia kwake ni kwa nini mnadhani kuna mtu anaweza kusema ilikuwa kisiasa. Kuwaza tu wazo hilo hamuoni mnashangaza?

Sasa MKANGAFFU swali halali kabisa unalibezaje. Au hata protokali za kimadaraka kuhusu ziara huzijui?
Oya huyo MKANGAFFU na mwenzie ukiji-attach nao sana hao viazi utadata ni dizaini ya Makebo na Mopak viazi mviringo akili zao zimekaa hivyo km maziwa yaliyoganda

Na huyo funaku ndio yule Kichogo usisahau hilo
 
Serikali imejiweka kwenye mtego mbaya kabisa.
Maana kwa sasa maandamano yakitangazwa tu askari watasambaa kama hivi Leo.
Maana yake hata askari wenyewe wanaweza wakaanzisha matangazo ya maandamano kwenye mitandao ili wapate posho au shughuli ya kufanya.
Na Serikali lazima iweke maaskari kila matangazo ya aina hiyo yakifanyika na biashara lazima zifungwe hiyo wiki kwa kuogopa kuwa inaweza kuwa kweli wakaandamana.

Kwa hiyo,makundi yote yanayonufaika na maandamano au vitisho vyake kama vile akina Shehe Mwaipopo,Askari wa aina zote nk watakuwa wanahamasisha maandamano kila wakijisikia ili wanufaike bila kutumia gharama kubwa
 
Back
Top Bottom