Donnie Charlie
JF-Expert Member
- Sep 16, 2009
- 18,550
- 21,676
Watetezi wote wa hizi fedha wamejiunga humu kwa ajili hii tu, karibuni JF maana hata hodi hamjapiga. Ila msitumike sana...
Kamati ya Bunge ya Hesabu za Serikali (PAC) iliwajaza hasira wananchi pale ilipotoa taarifa potofu bungeni kuwa fedha zilizokuwa kwenye Akaunti ya Escrow ya Tegeta zilikuwa zimechotwa. Wananchi walikuwa na haki ya kujawa na hasira kwa sababu walilishwa taarifa iliyoonyesha kuwa fedha zao (za umma) zimechotwa na wajanja wachache. Hata baada ya Mkuu wa Nchi kubainisha kuwa fedha hizo hazikuwa za umma, inashangaza kuona wanasiasa wengine, akiwemo mwenyekiti wa PAC, bado wanaendelea kuwachochea wananchi kwa kurudia kuwalisha taarifa potofu.
fedha za Escrow hazikua za uma, hata hivyo kuna kodi ambayo haikulipwa"-JK.
Sasa sijui hiyo kodi ni hela ya escrow au muhongo hapo ndio sielewi
Mkuu rejea uzi wako "Hakuna atakayeachia ngazi sakata la Escrow". Unaikumbuka hii?
Haya ni mwazo na hisia zako. Sababu za AG kujiudhuru
ziliwekwa wazi. Ulizozitaja humu ndiyo kwanza tunazisikia. Wewe pia ni mzushi ndiyo maana unamuamini Zito moja kwa moja.
Ninapenda sana mchezo wa Kung Fu, maana mtu ukiwa tofauti nae (kimkanda) huruhusiwi kupigana nae. Suala la ESCROW lahitaji weledi ili kulitolea ufafanuzi maridhawa. Kusema ZZK kapotosha kisa Rais katoa ufafanuzi ni kichekesho. Dunia ya leo watu huhitaji kulinganisha mantiki. Kwani kila mtu kwa mfano akipewa asome "BOQ" ataweza kuielewa na kuitolea ufafanuzi?
Haya ni mwazo na hisia zako. Sababu za AG kujiudhuru
ziliwekwa wazi. Ulizozitaja humu ndiyo kwanza tunazisikia. Wewe pia ni mzushi ndiyo maana unamuamini Zito moja kwa moja.
Vilaza wahedi!Kamati ya Bunge ya Hesabu za Serikali (PAC) iliwajaza hasira wananchi pale ilipotoa taarifa potofu bungeni kuwa fedha zilizokuwa kwenye Akaunti ya Escrow ya Tegeta zilikuwa zimechotwa. Wananchi walikuwa na haki ya kujawa na hasira kwa sababu walilishwa taarifa iliyoonyesha kuwa fedha zao (za umma) zimechotwa na wajanja wachache. Hata baada ya Mkuu wa Nchi kubainisha kuwa fedha hizo hazikuwa za umma, inashangaza kuona wanasiasa wengine, akiwemo mwenyekiti wa PAC, bado wanaendelea kuwachochea wananchi kwa kurudia kuwalisha taarifa potofu.
Pole sana kiongozi, msingi wa hoja za PAC haukujengwa juu ya ripoti ya CAG pekee, kuna ripoti ya TAKUKURU pia. Ndio maana nasema Kung Fu ni mchezo mzuri.Kila unapojibu unaanzisha mjadala mpya. Niwezaje kumuamini ZZK? Ninaamini yaliyofanywa na CAG, PAC na Bunge la Jamhuri ya Muungano. Kama una ugomvi na individuals usiufanye kuwa ni wa taasisi. Nahisi unadhani watanzania hawawezi kutofautisha simba na mbuzi aiyevaa ngozi ya simba.
Kamati ya Bunge ya Hesabu za Serikali (PAC) iliwajaza hasira wananchi pale ilipotoa taarifa potofu bungeni kuwa fedha zilizokuwa kwenye Akaunti ya Escrow ya Tegeta zilikuwa zimechotwa. Wananchi walikuwa na haki ya kujawa na hasira kwa sababu walilishwa taarifa iliyoonyesha kuwa fedha zao (za umma) zimechotwa na wajanja wachache. Hata baada ya Mkuu wa Nchi kubainisha kuwa fedha hizo hazikuwa za umma, inashangaza kuona wanasiasa wengine, akiwemo mwenyekiti wa PAC, bado wanaendelea kuwachochea wananchi kwa kurudia kuwalisha taarifa potofu.
Amekuzaa na kukusomesha leo unamwita mwizi.
Wacheni wizi , ufisadi na rushwa.1. Unaweza kuthibitisha tuhuma zako?
2. Hii inakumbusha jana kwenye BBC Dira ya Dunia, nilisikia mwanafunzi mmoja nchini Kenya, amehukumiwa kifungu jela kwa kumdhalilisha Rais Uhuru Kenyatta.
3. Inaweza kuwa kwa kutokujua ukatenda kosa ambalo unaweza kulijutia maisha yako yote. Tusitumie vibaya Uhuru wa habari. Tuvitumie kwa kuheshimu uhuru na haki za watu wengine. Rais, asikashifiwe hovyo hovyo. Kama wewe unajiamini kwa tuhuma zako, itisha mkutano mtaani kwako uzitoe zote bila kificho na siyo kujificha hapa JF.
Ni wazi kwamba anachokifanya Zitto sasa ni uchochezi. Baada ya Rais kutamka wazi kwamba pesa zile kwenye Akaunti ya Escrow sio za umma, kwa nini yeye aendelee kuwatia hasira wananchi, ambao wengi wao hawaelewi undani wa suala hili? Huu ni uchochezi, tena wa hali ya juu.
Naam, nnakumbuka sana tena.
Umelipwa Fedha ya Escrow, sio bure wewe!
Kwahyo kama unakumbuka nani hajaachia ngazi bado??
Mtemi Chenge, hukumsikia?!Hilo swali nimejibu mara nyingi sana humu. Litafute jibu lake.
Wewe unaemjuwa ni nani aliyeachia ngazi?
Sheria ya kodi ya ongozeko la thamani VAT iko wazi kwa kuwafanya wafanyabiashara wakubwa kuwa mawakala wa kukusanya kodi kwa niaba ya TRA. IPTL alipeke invoice zake Tanesco zikiwa na VAT ndani yake na Tanesco alilipa invoice zile pamoja na VAT hivyo hii ilipeleka jukumu la kulipa VAT TRA kwa IPTL na CAG kwenye report yake ameweka wazi ni nani aliyekuwa na jukumu la kulipa kodi ile TRA. Kwangu mimi binafsi naona hapa PAC walipotosha umma sijui kwa lengo lipi na kwa faida ya nani.fedha za Escrow hazikua za uma, hata hivyo kuna kodi ambayo haikulipwa"-JK.
Sasa sijui hiyo kodi ni hela ya escrow au muhongo hapo ndio sielewi