Wewe uko biased na mambo fulani fulani ambayo sio vyema nikayasema hapa! Ashk majinuni zina taabu sana
Kamati ya Bunge ya Hesabu za Serikali (PAC) iliwajaza hasira wananchi pale ilipotoa taarifa potofu bungeni kuwa fedha zilizokuwa kwenye Akaunti ya Escrow ya Tegeta zilikuwa zimechotwa. Wananchi walikuwa na haki ya kujawa na hasira kwa sababu walilishwa taarifa iliyoonyesha kuwa fedha zao (za umma) zimechotwa na wajanja wachache. Hata baada ya Mkuu wa Nchi kubainisha kuwa fedha hizo hazikuwa za umma, inashangaza kuona wanasiasa wengine, akiwemo mwenyekiti wa PAC, bado wanaendelea kuwachochea wananchi kwa kurudia kuwalisha taarifa potofu.
Ni wazi kwamba
anachokifanya Zitto sasa ni uchochezi. Baada ya Rais kutamka wazi kwamba
pesa zile kwenye Akaunti ya Escrow sio za umma, kwa nini yeye aendelee
kuwatia hasira wananchi, ambao wengi wao hawaelewi undani wa suala hili?
Huu ni uchochezi, tena wa hali ya juu.
Kamati ya Bunge ya Hesabu za Serikali (PAC) iliwajaza hasira wananchi pale ilipotoa taarifa potofu bungeni kuwa fedha zilizokuwa kwenye Akaunti ya Escrow ya Tegeta zilikuwa zimechotwa. Wananchi walikuwa na haki ya kujawa na hasira kwa sababu walilishwa taarifa iliyoonyesha kuwa fedha zao (za umma) zimechotwa na wajanja wachache. Hata baada ya Mkuu wa Nchi kubainisha kuwa fedha hizo hazikuwa za umma, inashangaza kuona wanasiasa wengine, akiwemo mwenyekiti wa PAC, bado wanaendelea kuwachochea wananchi kwa kurudia kuwalisha taarifa potofu.
Kamati ya Bunge ya Hesabu za Serikali (PAC) iliwajaza hasira wananchi pale ilipotoa taarifa potofu bungeni kuwa fedha zilizokuwa kwenye Akaunti ya Escrow ya Tegeta zilikuwa zimechotwa. Wananchi walikuwa na haki ya kujawa na hasira kwa sababu walilishwa taarifa iliyoonyesha kuwa fedha zao (za umma) zimechotwa na wajanja wachache. Hata baada ya Mkuu wa Nchi kubainisha kuwa fedha hizo hazikuwa za umma, inashangaza kuona wanasiasa wengine, akiwemo mwenyekiti wa PAC, bado wanaendelea kuwachochea wananchi kwa kurudia kuwalisha taarifa potofu.
Wewe unaona hazikuchotwa? Jiulize wewe ni nani katika jamii hii uliyeshindwa kujua hili wakati mpaka rais wako kajitahidi kutoa elimu kwa kadiri ya uelewa wake na kulazimika kukiri kuwa hata aliyekuwa mwanasheria mkuu anajua kuwa alichangia hizo pesa za umma kuchotwa ndio mana akamruhusu aishie uraiani
Baada ya kumsikiliza Zitto akiwasilisha "uchunguzi" wa PAC kuhusu suala Tegeta Escrow nikaona kuwa huyu Zitto ni bogus na muongo na anapindapinda maneno.
Nilimuona ni mnafik zaidi pale alipojidai kulia alipoulizwa kuhusu fedha alizopokea yeye. Hakujibu badala yake akajiliza na kutaka sympathy, eti mama'ke asitajwe! khaa, pesa ahongwe yeye amsingizie marehemu?
Kuna wakaati nilifikiri kuwa Zitto anamustakabali mzuri sana kisiasa katika Tanzania, wakati wa sakat hili la escrow nikamfatilia kiundani nikagunduwa bila shaka yoyote kuwa huyu ni mnafik kwelikweli na nnauhakika kishajimaliza kisiasa Tanzania hii, sasa hana pakukimbilia, ndiyo maana mara tunamsiki akisema anawamiss chadema, mara tunamuona yupo CUF mara tunasikia yupo ACT, huko ni kuishiwa na anatafuta pakutpkea lakini njia ya uongo aliyptumia haikuwa na manufaa ya muda mrefu kwake. Kwisha kazi yake.
Ni wazi kwamba anachokifanya Zitto sasa ni uchochezi. Baada ya Rais kutamka wazi kwamba pesa zile kwenye Akaunti ya Escrow sio za umma, kwa nini yeye aendelee kuwatia hasira wananchi, ambao wengi wao hawaelewi undani wa suala hili? Huu ni uchochezi, tena wa hali ya juu.
Kamati ya Bunge ya Hesabu za Serikali (PAC) iliwajaza hasira wananchi pale ilipotoa taarifa potofu bungeni kuwa fedha zilizokuwa kwenye Akaunti ya Escrow ya Tegeta zilikuwa zimechotwa. Wananchi walikuwa na haki ya kujawa na hasira kwa sababu walilishwa taarifa iliyoonyesha kuwa fedha zao (za umma) zimechotwa na wajanja wachache. Hata baada ya Mkuu wa Nchi kubainisha kuwa fedha hizo hazikuwa za umma, inashangaza kuona wanasiasa wengine, akiwemo mwenyekiti wa PAC, bado wanaendelea kuwachochea wananchi kwa kurudia kuwalisha taarifa potofu.
Rais mwenyewe mwizi , nani anamsikiliza mwizi?
Ni wazi kwamba anachokifanya Zitto sasa ni uchochezi. Baada ya Rais kutamka wazi kwamba pesa zile kwenye Akaunti ya Escrow sio za umma, kwa nini yeye aendelee kuwatia hasira wananchi, ambao wengi wao hawaelewi undani wa suala hili? Huu ni uchochezi, tena wa hali ya juu.
Kamati ya Bunge ya Hesabu za Serikali (PAC) iliwajaza hasira wananchi pale ilipotoa taarifa potofu bungeni kuwa fedha zilizokuwa kwenye Akaunti ya Escrow ya Tegeta zilikuwa zimechotwa. Wananchi walikuwa na haki ya kujawa na hasira kwa sababu walilishwa taarifa iliyoonyesha kuwa fedha zao (za umma) zimechotwa na wajanja wachache. Hata baada ya Mkuu wa Nchi kubainisha kuwa fedha hizo hazikuwa za umma, inashangaza kuona wanasiasa wengine, akiwemo mwenyekiti wa PAC, bado wanaendelea kuwachochea wananchi kwa kurudia kuwalisha taarifa potofu.
Rais mwenyewe mwizi , nani anamsikiliza mwizi?
inabidi wapelekwe ICC kwa uchochezi