PAC ilivyowajaza hasira wananchi

PAC ilivyowajaza hasira wananchi

​hii ndo shida ya kupiga viroba asubuhi, zinakuja thread za mazingaombwe kama hizi
 
Wewe uko biased na mambo fulani fulani ambayo sio vyema nikayasema hapa! Ashk majinuni zina taabu sana

1. Unapokuwa na mashaka ambayo huwezi kuyathibitisha alafu ukajielekeza kwenye kutumia lugha isiyo na staha, unajidhihirisha kuwa huna hoja bali hisia.

2.Jenga hoja watu wakuelewe ili wakubaliane na wewe au waichane. Vinginevyo ukikaa kimya ukasoma wenye hoja itakusaidia na kukujenga. Elimu ni popote siyo mpaka uwe darasani.
 
Kamati ya Bunge ya Hesabu za Serikali (PAC) iliwajaza hasira wananchi pale ilipotoa taarifa potofu bungeni kuwa fedha zilizokuwa kwenye Akaunti ya Escrow ya Tegeta zilikuwa zimechotwa. Wananchi walikuwa na haki ya kujawa na hasira kwa sababu walilishwa taarifa iliyoonyesha kuwa fedha zao (za umma) zimechotwa na wajanja wachache. Hata baada ya Mkuu wa Nchi kubainisha kuwa fedha hizo hazikuwa za umma, inashangaza kuona wanasiasa wengine, akiwemo mwenyekiti wa PAC, bado wanaendelea kuwachochea wananchi kwa kurudia kuwalisha taarifa potofu.

If so mbona misaada hatujapewa bado, awambie wazungu yale yale aliowaambia wazee wa dar ili misaada ije basi.
 
Hakika PAC walikuwa na malengo machafu! Zito ni wazi anatumiwa na SCB kupelekea kulipwa asichostahili. Kama SCB anadai angejitokeza na kudhibitisha deni lake. Hata sasa akidhibitisha atalipwa na IPTL. IPTL ni solvent company. Kuwa Creditor hakumfanyi kumilki IPTL., SCB waaache hizo kuwatumia kina Zito, haifai tena tumeshawagundua!
Uma tumzomee Zito kwa uongo wake na usaliti wake kwa nchi. Anatumiwa huyo!Hafai!
 
Ni wazi kwamba
anachokifanya Zitto sasa ni uchochezi. Baada ya Rais kutamka wazi kwamba
pesa zile kwenye Akaunti ya Escrow sio za umma, kwa nini yeye aendelee
kuwatia hasira wananchi, ambao wengi wao hawaelewi undani wa suala hili?
Huu ni uchochezi, tena wa hali ya juu.

Siku hizi raisi ndiye mkaguzi mkuu wa serikali (CAG) na hiyo ni ripoti yake. Asante mh. prof. JK!
 
Kamati ya Bunge ya Hesabu za Serikali (PAC) iliwajaza hasira wananchi pale ilipotoa taarifa potofu bungeni kuwa fedha zilizokuwa kwenye Akaunti ya Escrow ya Tegeta zilikuwa zimechotwa. Wananchi walikuwa na haki ya kujawa na hasira kwa sababu walilishwa taarifa iliyoonyesha kuwa fedha zao (za umma) zimechotwa na wajanja wachache. Hata baada ya Mkuu wa Nchi kubainisha kuwa fedha hizo hazikuwa za umma, inashangaza kuona wanasiasa wengine, akiwemo mwenyekiti wa PAC, bado wanaendelea kuwachochea wananchi kwa kurudia kuwalisha taarifa potofu.

Najuta ni kwa nini nimefungua hii thread, nimepoteza muda wangu bila sababu za msingi.
 
Kamati ya Bunge ya Hesabu za Serikali (PAC) iliwajaza hasira wananchi pale ilipotoa taarifa potofu bungeni kuwa fedha zilizokuwa kwenye Akaunti ya Escrow ya Tegeta zilikuwa zimechotwa. Wananchi walikuwa na haki ya kujawa na hasira kwa sababu walilishwa taarifa iliyoonyesha kuwa fedha zao (za umma) zimechotwa na wajanja wachache. Hata baada ya Mkuu wa Nchi kubainisha kuwa fedha hizo hazikuwa za umma, inashangaza kuona wanasiasa wengine, akiwemo mwenyekiti wa PAC, bado wanaendelea kuwachochea wananchi kwa kurudia kuwalisha taarifa potofu.

Wewe unaona hazikuchotwa? Jiulize wewe ni nani katika jamii hii uliyeshindwa kujua hili wakati mpaka rais wako kajitahidi kutoa elimu kwa kadiri ya uelewa wake na kulazimika kukiri kuwa hata aliyekuwa mwanasheria mkuu anajua kuwa alichangia hizo pesa za umma kuchotwa ndio mana akamruhusu aishie uraiani
 
Jaman tusiwe wavivu wa kufikiri na tusijibu hoja kw ushabiki,hvi hata huyo rais yey anaweza kufafanua ripoti zote peke yake na washaur wake vizur kuliko kamati za bunge na wabunge wote?pia kwanin aseme kwenye hizo pesa kuna kodi na wamekubali kulipa baada ya kufufua huo uzembe au wizi,kwanin hawakulipa kabla hyo kodi mpaka kafulila alete hoja hyo?
 
Wewe unaona hazikuchotwa? Jiulize wewe ni nani katika jamii hii uliyeshindwa kujua hili wakati mpaka rais wako kajitahidi kutoa elimu kwa kadiri ya uelewa wake na kulazimika kukiri kuwa hata aliyekuwa mwanasheria mkuu anajua kuwa alichangia hizo pesa za umma kuchotwa ndio mana akamruhusu aishie uraiani

Haya ni mwazo na hisia zako. Sababu za AG kujiudhuru
ziliwekwa wazi. Ulizozitaja humu ndiyo kwanza tunazisikia. Wewe pia ni mzushi ndiyo maana unamuamini Zito moja kwa moja.
 
Baada ya kumsikiliza Zitto akiwasilisha "uchunguzi" wa PAC kuhusu suala Tegeta Escrow nikaona kuwa huyu Zitto ni bogus na muongo na anapindapinda maneno.

Nilimuona ni mnafik zaidi pale alipojidai kulia alipoulizwa kuhusu fedha alizopokea yeye. Hakujibu badala yake akajiliza na kutaka sympathy, eti mama'ke asitajwe! khaa, pesa ahongwe yeye amsingizie marehemu?

Kuna wakaati nilifikiri kuwa Zitto anamustakabali mzuri sana kisiasa katika Tanzania, wakati wa sakat hili la escrow nikamfatilia kiundani nikagunduwa bila shaka yoyote kuwa huyu ni mnafik kwelikweli na nnauhakika kishajimaliza kisiasa Tanzania hii, sasa hana pakukimbilia, ndiyo maana mara tunamsiki akisema anawamiss chadema, mara tunamuona yupo CUF mara tunasikia yupo ACT, huko ni kuishiwa na anatafuta pakutpkea lakini njia ya uongo aliyptumia haikuwa na manufaa ya muda mrefu kwake. Kwisha kazi yake.

Mkuu rejea uzi wako "Hakuna atakayeachia ngazi sakata la Escrow". Unaikumbuka hii?
 
Ni wazi kwamba anachokifanya Zitto sasa ni uchochezi. Baada ya Rais kutamka wazi kwamba pesa zile kwenye Akaunti ya Escrow sio za umma, kwa nini yeye aendelee kuwatia hasira wananchi, ambao wengi wao hawaelewi undani wa suala hili? Huu ni uchochezi, tena wa hali ya juu.

Rais mwenyewe mwizi , nani anamsikiliza mwizi?
 
Kamati ya Bunge ya Hesabu za Serikali (PAC) iliwajaza hasira wananchi pale ilipotoa taarifa potofu bungeni kuwa fedha zilizokuwa kwenye Akaunti ya Escrow ya Tegeta zilikuwa zimechotwa. Wananchi walikuwa na haki ya kujawa na hasira kwa sababu walilishwa taarifa iliyoonyesha kuwa fedha zao (za umma) zimechotwa na wajanja wachache. Hata baada ya Mkuu wa Nchi kubainisha kuwa fedha hizo hazikuwa za umma, inashangaza kuona wanasiasa wengine, akiwemo mwenyekiti wa PAC, bado wanaendelea kuwachochea wananchi kwa kurudia kuwalisha taarifa potofu.

kwanza kumbuka kuwa mwenyekiti wa PAC anaishi kilaghai siyo msema kweli muongo na tapeli.
 
Kwani kikwete yeye ni nani,hata anaweza kubadili ukweli kuwa uongo?
Ni wazi kwamba anachokifanya Zitto sasa ni uchochezi. Baada ya Rais kutamka wazi kwamba pesa zile kwenye Akaunti ya Escrow sio za umma, kwa nini yeye aendelee kuwatia hasira wananchi, ambao wengi wao hawaelewi undani wa suala hili? Huu ni uchochezi, tena wa hali ya juu.
 
Kamati ya Bunge ya Hesabu za Serikali (PAC) iliwajaza hasira wananchi pale ilipotoa taarifa potofu bungeni kuwa fedha zilizokuwa kwenye Akaunti ya Escrow ya Tegeta zilikuwa zimechotwa. Wananchi walikuwa na haki ya kujawa na hasira kwa sababu walilishwa taarifa iliyoonyesha kuwa fedha zao (za umma) zimechotwa na wajanja wachache. Hata baada ya Mkuu wa Nchi kubainisha kuwa fedha hizo hazikuwa za umma, inashangaza kuona wanasiasa wengine, akiwemo mwenyekiti wa PAC, bado wanaendelea kuwachochea wananchi kwa kurudia kuwalisha taarifa potofu.

inabidi wapelekwe ICC kwa uchochezi
 
Rais mwenyewe mwizi , nani anamsikiliza mwizi?

1. Unaweza kuthibitisha tuhuma zako?

2. Hii inakumbusha jana kwenye BBC Dira ya Dunia, nilisikia mwanafunzi mmoja nchini Kenya, amehukumiwa kifungu jela kwa kumdhalilisha Rais Uhuru Kenyatta.

3. Inaweza kuwa kwa kutokujua ukatenda kosa ambalo unaweza kulijutia maisha yako yote. Tusitumie vibaya Uhuru wa habari. Tuvitumie kwa kuheshimu uhuru na haki za watu wengine. Rais, asikashifiwe hovyo hovyo. Kama wewe unajiamini kwa tuhuma zako, itisha mkutano mtaani kwako uzitoe zote bila kificho na siyo kujificha hapa JF.
 
Back
Top Bottom