Taarifa ni ya zitto au PAC? Yaani wabongo sijui mnafikirije? Hovyo kabisa dada, acha upofu
1. Ungelikuwa taarifa nzuri ungelikuwa ni ya Bunge zima. Lakini kwa kuwa ina usanii mwingi inakuwa ni ya Zito.
2. Uongozi ni dhamana hiyo ndiyo maana yake. Ukiongoza unawajibika kuendesha mambo kwa umahiri mkubwa sana ili kufikia malengo kwa weledi na siyo kisanii.