PAC ilivyowajaza hasira wananchi

PAC ilivyowajaza hasira wananchi

ulelema

Member
Joined
Dec 5, 2014
Posts
6
Reaction score
9
Kamati ya Bunge ya Hesabu za Serikali (PAC) iliwajaza hasira wananchi pale ilipotoa taarifa potofu bungeni kuwa fedha zilizokuwa kwenye Akaunti ya Escrow ya Tegeta zilikuwa zimechotwa. Wananchi walikuwa na haki ya kujawa na hasira kwa sababu walilishwa taarifa iliyoonyesha kuwa fedha zao (za umma) zimechotwa na wajanja wachache. Hata baada ya Mkuu wa Nchi kubainisha kuwa fedha hizo hazikuwa za umma, inashangaza kuona wanasiasa wengine, akiwemo mwenyekiti wa PAC, bado wanaendelea kuwachochea wananchi kwa kurudia kuwalisha taarifa potofu.
 
Kamati ya Bunge ya Hesabu za Serikali (PAC) iliwajaza hasira wananchi pale ilipotoa taarifa potofu bungeni kuwa fedha zilizokuwa kwenye Akaunti ya Escrow ya Tegeta zilikuwa zimechotwa. Wananchi walikuwa na haki ya kujawa na hasira kwa sababu walilishwa taarifa iliyoonyesha kuwa fedha zao (za umma) zimechotwa na wajanja wachache. Hata baada ya Mkuu wa Nchi kubainisha kuwa fedha hizo hazikuwa za umma, inashangaza kuona wanasiasa wengine, akiwemo mwenyekiti wa PAC, bado wanaendelea kuwachochea wananchi kwa kurudia kuwalisha taarifa potofu.
Umelipwa Fedha ya Escrow, sio bure wewe!
 
Kamati ya Bunge ya Hesabu za Serikali (PAC) iliwajaza hasira wananchi pale ilipotoa taarifa potofu bungeni kuwa fedha zilizokuwa kwenye Akaunti ya Escrow ya Tegeta zilikuwa zimechotwa. Wananchi walikuwa na haki ya kujawa na hasira kwa sababu walilishwa taarifa iliyoonyesha kuwa fedha zao (za umma) zimechotwa na wajanja wachache. Hata baada ya Mkuu wa Nchi kubainisha kuwa fedha hizo hazikuwa za umma, inashangaza kuona wanasiasa wengine, akiwemo mwenyekiti wa PAC, bado wanaendelea kuwachochea wananchi kwa kurudia kuwalisha taarifa potofu.

Pole sana. huyu mkuu wa nchi ni mtakatifu na mwadilifu mpaka kuona anasema ukweli???we ulipata sh ngapi???zero wewe
 
Ni wazi kwamba anachokifanya Zitto sasa ni uchochezi. Baada ya Rais kutamka wazi kwamba pesa zile kwenye Akaunti ya Escrow sio za umma, kwa nini yeye aendelee kuwatia hasira wananchi, ambao wengi wao hawaelewi undani wa suala hili? Huu ni uchochezi, tena wa hali ya juu.
 
fedha za Escrow hazikua za uma, hata hivyo kuna kodi ambayo haikulipwa"-JK.
Sasa sijui hiyo kodi ni hela ya escrow au muhongo hapo ndio sielewi
 
Last edited by a moderator:
Umelipwa Fedha ya Escrow, sio bure wewe!

Mkuu, nilipwe fedha hizo kama nani? Mimi ni mzalendo ninayezingatia ukweli. Kwa nini tunapenda kukwepa ukweli na kupakaziana mambo ya ajabu. Tukisimama kwenye ukweli tutaona kwamba wahuni wachache walikuwa wanajitafutia sifa kwa kuzusha mambo na kuitikisa nchi pasipo na sababu yoyote. Huo ndio ukweli, ambao mara nyingine unauma.
 
Ni wazi kwamba anachokifanya Zitto sasa ni uchochezi. Baada ya Rais kutamka wazi kwamba pesa zile kwenye Akaunti ya Escrow sio za umma, kwa nini yeye aendelee kuwatia hasira wananchi, ambao wengi wao hawaelewi undani wa suala hili? Huu ni uchochezi, tena wa hali ya juu.

Fedha iliyooenda kwa Lugemalira ni 30% tu ya ile unayoijua! Je fedha ya Escrow 70% ilienda kwa nani, na kwa nini ilibebwa kwenye Lumbesa, Magunia, maboksi kama kweli ni fedha halali? Na kwa nini Top management ya Stanbic Bank ilipanguliwa kama kweli 70% ya fedha ya Escrow iliyolipwa kupitia kwao ni halali, Fungua macho wewe, acha ufinyu wa fikra!
 
Baada ya kumsikiliza Zitto akiwasilisha "uchunguzi" wa PAC kuhusu suala Tegeta Escrow nikaona kuwa huyu Zitto ni bogus na muongo na anapindapinda maneno.

Nilimuona ni mnafik zaidi pale alipojidai kulia alipoulizwa kuhusu fedha alizopokea yeye. Hakujibu badala yake akajiliza na kutaka sympathy, eti mama'ke asitajwe! khaa, pesa ahongwe yeye amsingizie marehemu?

Kuna wakaati nilifikiri kuwa Zitto anamustakabali mzuri sana kisiasa katika Tanzania, wakati wa sakat hili la escrow nikamfatilia kiundani nikagunduwa bila shaka yoyote kuwa huyu ni mnafik kwelikweli na nnauhakika kishajimaliza kisiasa Tanzania hii, sasa hana pakukimbilia, ndiyo maana mara tunamsiki akisema anawamiss chadema, mara tunamuona yupo CUF mara tunasikia yupo ACT, huko ni kuishiwa na anatafuta pakutpkea lakini njia ya uongo aliyptumia haikuwa na manufaa ya muda mrefu kwake. Kwisha kazi yake.
 
Akili yako inasomea kutoka kwenye shimo la choo cha kulenga
Kamati ya Bunge ya Hesabu za Serikali (PAC) iliwajaza hasira wananchi pale ilipotoa taarifa potofu bungeni kuwa fedha zilizokuwa kwenye Akaunti ya Escrow ya Tegeta zilikuwa zimechotwa. Wananchi walikuwa na haki ya kujawa na hasira kwa sababu walilishwa taarifa iliyoonyesha kuwa fedha zao (za umma) zimechotwa na wajanja wachache. Hata baada ya Mkuu wa Nchi kubainisha kuwa fedha hizo hazikuwa za umma, inashangaza kuona wanasiasa wengine, akiwemo mwenyekiti wa PAC, bado wanaendelea kuwachochea wananchi kwa kurudia kuwalisha taarifa potofu.
 
Kamati ya Bunge ya Hesabu za Serikali (PAC) iliwajaza hasira wananchi pale ilipotoa taarifa potofu bungeni kuwa fedha zilizokuwa kwenye Akaunti ya Escrow ya Tegeta zilikuwa zimechotwa. Wananchi walikuwa na haki ya kujawa na hasira kwa sababu walilishwa taarifa iliyoonyesha kuwa fedha zao (za umma) zimechotwa na wajanja wachache. Hata baada ya Mkuu wa Nchi kubainisha kuwa fedha hizo hazikuwa za umma, inashangaza kuona wanasiasa wengine, akiwemo mwenyekiti wa PAC, bado wanaendelea kuwachochea wananchi kwa kurudia kuwalisha taarifa potofu.

nani amekwambia hiyo taarifa maana imekaa kiumbea umbe kua mkubwa acha upipette
 
Baada ya kumsikiliza Zitto akiwasilisha "uchunguzi" wa PAC kuhusu suala Tegeta Escrow nikaona kuwa huyu Zitto ni bogus na muongo na anapindapinda maneno.

Nilimuona ni mnafik zaidi pale alipojidai kulia alipoulizwa kuhusu fedha alizopokea yeye. Hakujibu badala yake akajiliza na kutaka sympathy, eti mama'ke asitajwe! khaa, pesa ahongwe yeye amsingizie marehemu?

Kuna wakaati nilifikiri kuwa Zitto anamustakabali mzuri sana kisiasa katika Tanzania, wakati wa sakat hili la escrow nikamfatilia kiundani nikagunduwa bila shaka yoyote kuwa huyu ni mnafik kwelikweli na nnauhakika kishajimaliza kisiasa Tanzania hii, sasa hana pakukimbilia, ndiyo maana mara tunamsiki akisema anawamiss chadema, mara tunamuona yupo CUF mara tunasikia yupo ACT, huko ni kuishiwa na anatafuta pakutpkea lakini njia ya uongo aliyptumia haikuwa na manufaa ya muda mrefu kwake. Kwisha kazi yake.

Kwa kifupi PAC ilihongwa ili ije ipotoshe watanzania hilo tumelitambua.
 
Ni wazi kwamba anachokifanya Zitto sasa ni uchochezi. Baada ya Rais kutamka wazi kwamba pesa zile kwenye Akaunti ya Escrow sio za umma, kwa nini yeye aendelee kuwatia hasira wananchi, ambao wengi wao hawaelewi undani wa suala hili? Huu ni uchochezi, tena wa hali ya juu.

akiri za kuambiwa changanya na zako wewe kama kusoma hujui hata picha uzioni bora ukalale maana uelewi kitu hapo
 
Wewe uko biased na mambo fulani fulani ambayo sio vyema nikayasema hapa! Ashk majinuni zina taabu sana

JF is where we dare to talk openly, sema tu mradi kumbuka kanuni za JF, usitukane na usilete name calling, ukifanya hivyo utalambwa ban. Mengine sema tu.
 
Mkuu, nilipwe fedha hizo kama nani? Mimi ni mzalendo ninayezingatia ukweli. Kwa nini tunapenda kukwepa ukweli na kupakaziana mambo ya ajabu. Tukisimama kwenye ukweli tutaona kwamba wahuni wachache walikuwa wanajitafutia sifa kwa kuzusha mambo na kuitikisa nchi pasipo na sababu yoyote. Huo ndio ukweli, ambao mara nyingine unauma.

unajiita mzalendo unatetea mafisadi kweli wewe mzalendo maslahi
 
PAC haikutoa maneno Kichwani, Ilitumia Ripoti ya CAG, PCCB na taarifa za TRA kutengeneza Ripoti yake na kuisoma Bungeni! Kamati ya PAC inaundwa na takribani asilimia 75 ya Wabunge wa CCM. Sasa hapo lawama kwa Zitto na PAC zinaanzia wapi?
 
Baada ya kumsikiliza Zitto akiwasilisha "uchunguzi" wa PAC kuhusu suala Tegeta Escrow nikaona kuwa huyu Zitto ni bogus na muongo na anapindapinda maneno.Nilimuona ni mnafik zaidi pale alipojidai kulia alipoulizwa kuhusu fedha alizopokea yeye. Hakujibu badala yake akajiliza na kutaka sympathy, eti mama'ke asitajwe! khaa, pesa ahongwe yeye amsingizie marehemu?Kuna wakaati nilifikiri kuwa Zitto anamustakabali mzuri sana kisiasa katika Tanzania, wakati wa sakat hili la escrow nikamfatilia kiundani nikagunduwa bila shaka yoyote kuwa huyu ni mnafik kwelikweli na nnauhakika kishajimaliza kisiasa Tanzania hii, sasa hana pakukimbilia, ndiyo maana mara tunamsiki akisema anawamiss chadema, mara tunamuona yupo CUF mara tunasikia yupo ACT, huko ni kuishiwa na anatafuta pakutpkea lakini njia ya uongo aliyptumia haikuwa na manufaa ya muda mrefu kwake. Kwisha kazi yake.

Faiza Fox;
Fedha za umma au si za umma, swali gumu!!!

Lakini logic ikifuatwa utaona jibu; tusiaminishwe tu na PAC au Rais:

Logic:Malaysia investor (investor) na VIP Eng (local) wanasign mkataba kupata pesa za World Bank kufinance IPTL Tanzania Government Guarantees the Loan/Money.

Wartisila Supplies Equipment's PPA signed with TANESCO (PPA= Power Purchase Agreement)

Sasa swali linakuja: Hilo deni lililipwa? Maana siyo Malyasia wala VIP walitoa pesa; hizo pesa zilitolewa na THIRD party. Tanzania Government Ili-guarantee!! Nani Mdaiwa? = Mkuu wa Nchi hapo alificha. Government inadaiwa.

Facts: Which were proved = Sheikh wa Malaysia (Mechmar) alitoa USD 25,000 kwa VIP kununua Land ile ya Tegeta.

Standard Chartered Bank walinunua deni.VIP/Tanzania Government na IPTL ilibidi wahimize deni kulipwa au kugawana pesa za Escrow??

This is the biggest issue. Sasa hapo uliza wewe mwenyewe; hizo pesa za UMMA au za IPTL??

Wajinga ndiyo waliwao
 
Faiza Fox;
Fedha za umma au si za umma, swali gumu!!!

Lakini logic ikifuatwa utaona jibu; tusiaminishwe tu na PAC au Rais:

Logic:Malaysia investor (investor) na VIP Eng (local) wanasign mkataba kupata pesa za World Bank kufinance IPTL Tanzania Government Guarantees the Loan/Money.

Wartisila Supplies Equipment's PPA signed with TANESCO (PPA= Power Purchase Agreement)

Sasa swali linakuja: Hilo deni lililipwa? Maana siyo Malyasia wala VIP walitoa pesa; hizo pesa zilitolewa na THIRD party. Tanzania Government Ili-guarantee!! Nani Mdaiwa? = Mkuu wa Nchi hapo alificha. Government inadaiwa.

Facts: Which were proved = Sheikh wa Malaysia (Mechmar) alitoa USD 25,000 kwa VIP kununua Land ile ya Tegeta.

Standard Chartered Bank walinunua deni.VIP/Tanzania Government na IPTL ilibidi wahimize deni kulipwa au kugawana pesa za Escrow??

This is the biggest issue. Sasa hapo uliza wewe mwenyewe; hizo pesa za UMMA au za IPTL??

Wajinga ndiyo waliwao

1. Ukiisha waingiza SCB katika kutafuta jibu unakumbana na kizingiti kukubwa. Unapaswa kwanza kukubali kwamba SCB wamekuwa wakishindwa kuthibitisha mahakamani juu ya uhalali wa deni walilonunua. Kama huna kumbukumbu sahihi za jambo hilo, basi utashindwa kujenga hoja ya kuhalalisha jinsi unavyowaingiza SCB kwenye hili jambo.

2. Wao SCB wanaidai IPTL na bahati mbaya sana, kwa kutegemea kutumia mbinu chafu ya kuwatumia akina Zito kupitisha Azimio la kuitaifisha IPTL ndiyo wao walipwe, Azimio linaloleta Mashaka ya Zito na PAC kutumiwa na SCB, benki haikujiorodhesha kwa IPTL kama mdai.

3. Katika kutekeleza moja ya masharti ya kulipwa pesa za Tegeta Escrow Account, IPTL/PAP waliiwekea kinga Serikali kuwa watawalipa wadeni wote halali, kuhepusha Serikali kushitakiwa na mdai yeyote. Je, kama SCB ni wadai halali wa IPTL, kwa nini hawakuwasilisha madai yao?
 
PAC haikutoa maneno Kichwani, Ilitumia Ripoti ya CAG, PCCB na taarifa za TRA kutengeneza Ripoti yake na kuisoma Bungeni! Kamati ya PAC inaundwa na takribani asilimia 75 ya Wabunge wa CCM. Sasa hapo lawama kwa Zitto na PAC zinaanzia wapi?

1. Umepewa nafasi ya buree, usome Ripoti ya CAG lakini inaelekea aidha hutaki au ni mvivu wa kusoma. Umeegemea kwa uliyoyasikia kutoka kwa Zito. Kwa mshangao kabisa, hata ufafanuzi alioutoa Mh. Rais, aliitumia Ripoti ya CAG bado nao hutaki kuelewa, mradi tu wewe ulimsikia Zito.

2. Walioitikia wito wakasoma hiyo Ripoti tunasoma maoni yao wanakubali Zito na PAC walitumia mbinu zao kwa maslahi ya waliowatuma na siyo kwa maslahi mapama ya umma. Idadi ya wajumbe na vyama vyao hapa siyo kigezo tosha cha kuhalalisha Ripoti ya PAC.
 
Back
Top Bottom