P Square live in Dar - Leaders Club

Acha upu..uzi we ke..nge... wa jangwani.
unajua dhambi wewe?


Mnasikiliza miziki ya shetani inayowafanya watu wengi wamtumikie kwa kutenda dhambi... miziki inayochochea ngono, starehe na kutenda dhambi... kueni macho wengi hamta uona ufalme wa Mungu kwa ajili ya hii miziki ya kidunia
 
Mnasikiliza miziki ya shetani inayowafanya watu wengi wamtumikie kwa kutenda dhambi... miziki inayochochea ngono, starehe na kutenda dhambi... kueni macho wengi hamta uona ufalme wa Mungu kwa ajili ya hii miziki ya kidunia

fanya yako utuache na sie tufanye yetu...........
 
Mtumikie shetani na siku ya mwisho utaishia ziwa la moto

Mshahara wa dhambi ni mauti

Hao p squire hawakupeleki popote zaid ya kukuchochea kutenda dhambi
 
Wewe nitukane biblia imesema watukanao hawatouona ufalme wa Mungu... tubu mapema
 
Diamond hakualikwa kwenye ile harusi. Aliingia kwa kutumia kadi ya Davido ambayo ilikuwa double.mavazi yake tu yalionesha ni jinsi gani hakustahili kuwepo eneo lile.

Shukrani kwa kichekesho ndugu yangu
 
Mtumikie shetani na siku ya mwisho utaishia ziwa la moto

Mshahara wa dhambi ni mauti

Hao p squire hawakupeleki popote zaid ya kukuchochea kutenda dhambi

kwa hiyo ni wivu wa pesa walizolipa kuingia au?

sasa wewe kama kanisa lenu halina wateja basi badili biashara, maana inonekanna nguvu za giza za kudanganya watu nazo hamzijui au mlitapeliwa.

umasikini utakuua acha wivu
 
Mnasikiliza miziki ya shetani inayowafanya watu wengi wamtumikie kwa kutenda dhambi... miziki inayochochea ngono, starehe na kutenda dhambi... kueni macho wengi hamta uona ufalme wa Mungu kwa ajili ya hii miziki ya kidunia

ulijuaje kama inachochea ngono na dhambi kama wewe pia huangalii/kusikiliza?.
 
 
Wewe nitukane biblia imesema watukanao hawatouona ufalme wa Mungu... tubu mapema
unataka kufungua kanisa jf.ndio shida ya walokole vipi utulazimishe mbinguni wakati sisi hatutaki.-------
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…