P Square live in Dar - Leaders Club

P Square live in Dar - Leaders Club

Nakapanya

JF-Expert Member
Joined
May 22, 2012
Posts
2,096
Reaction score
709
leo ndio hawa jamaa kulwa na Doto wanatumbuiza mamia ya wana Dsm,kwa sisi tulio mikoani tunaikosa burudani hiyo.

Wale mnaohudhuria show hiyo tupeni UPDATES ya kinachoendela kutoka huko.

Picha za tukio;
 
Hawa jamaa waache waende zao. Muziki wao si wa kawaida. Wako juu sana na wameweza kujijengea umaarufu mkubwa dunia nzima. I hope wataendelea kutupa burudani kwa miaka mingi ijayo.

 
Last edited by a moderator:
Shetani pia ana mahema yake ambayo anawakusanya watu wake washerehekee pamoja.
 
Jamaa wamelipwa Dola laki 2 Jaydee na prof J milioni 6 Kila mmoja..... Benpoul Milioni 4 na Joh makini milioni 3.... Wasanii wa Tanzania wana kazi kubwa sana ya kuongeza thamani yao..
 
yeye yaaaaaaa
now anaperform Ben pal ndie msanii wa kwanza
 
Jamaa wamelipwa Dola laki 2 Jaydee na prof J milioni 6 Kila mmoja..... Benpoul Milioni 4 na Joh makini milioni 3.... Wasanii wa Tanzania wana kazi kubwa sana ya kuongeza thamani yao..

Ninavofahamu JD hapigi show bila milioni 10 mezani. na najiuliza kwanini diamond hakuitwa ku-perform hii show
 

ha haaa, rafiki achana na hawa jamaa.... yaani mimi wananikesheshaga hivi najiona, we acha tu...
huu wimbo namkumbuka sana mwanangu..... yaani yeye ndo nilikuwa wa kwanza kumsikia akiuimba kila siku ooo ooooh! hata sijui anaimba nini maana alikuwa na two years, ndo dada wa kazi ananiambia anaimba wimbo wa P square.... ilibidi niutafute
 
Last edited by a moderator:
  • Thanks
Reactions: BAK

Similar Discussions

Back
Top Bottom