Poleni sana wafiwa,kweli dunia tupo safarini-RIPpoleni sana wafiwa and rip
Poleni sana wafiwa,kweli dunia tupo safarini-RIPpoleni sana wafiwa and rip
kuna redio moja ambayo watangazaji wake mara nyingi hawapo serious (guess ni redio gani?), wametangaza kuwa pdidy amefariki lakini bila kusema pdidy wa tanzania.
Basi mi nikajua ni sean combs wa america.
yaudaku iko moja tu
clouuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuudsss effffffffffffffffffffuuuuuuuuuuuuueeeemmmmmm
Kuna redio moja ambayo watangazaji wake mara nyingi hawapo serious (Guess ni redio gani?), wametangaza kuwa Pdidy amefariki lakini bila kusema Pdidy wa Tanzania.
Basi mi nikajua ni Sean Combs wa America.
Poleni sana wafiwa kwa msiba huo mkubwa uliowapata,Mungu amempenda zaidi kuliko nyie,muombeeni.