King Kong III
JF-Expert Member
- Oct 15, 2010
- 51,685
- 68,671
Kwahiyo kama mama yako anavaa bikini na wewe utavaa bikini kumuenzi?
Huo ni ushoga aisee..mwanaume unatoga nyusi na pua vipini kama malaya wa tabata
Kwa Bongo hasa mwanamke kuvaa kipini ni sign mbaya sana ,awali nilikuwa nasikia kwamba wanawake wanaovaa vipini wamekanyaga "grid" nikawa siamini ila kuna binti kitaani najua ameungua maana alikuwa analiwa na jamaa aliyeungua wa "Makumbusho" ,Juzi nilikutana yupo yeye na rafiki yake demu mwenzake wote wamevaa kipini nika-confirm aiseee.