basi alikuwa anakula sana,ambao hawali vizuri mpaka wanakondamtaharibu sana, maana kazi hazitaenda
Kuna dogo mmoja alipata hiyo kitu enzi zile za tambaza akaishia kukata gogo kila baada ya dakika kumi kwa siku nzima:A S 13::A S 13:
Mi nimesema from experience ya watu wa karibu yangu.We Mwali wewe nawe kumbe hawavumi lol!
kwani stimu zake zikoje?
Mambo ya Bobaaaaaannnnnnnn
K2 cha zanzbar hcho hta uvute pkt 10 mwke 2.
Inanikumbusha wakati huo nachoma kuna jamaa mmoja alikua ananiuzia sijui ni marehemu alikua anajiita BOB MAZISHI! Alikua anapatikana maeneo ya Sanawari hapa Arusha!
mkuu inawezekana we hiyo hiyo mara ya kwanza ulivuta pafu za kutosha
TOSH anakwambiaaa legalize it...bob anakwambi kayaa man...culture say marijuana..i & i call it meditation,green grass direct from GOD.MOST WANTED GRASSunagonga tu kimtindo