kama si arusha, kitakuwa cha kigoma
Au uwe na mpenzi kazini basi.......!!!hiyo kitu raha yake uwe na mpenzi sio unavuta halafu unaenda kazini
Inanikumbusha wakati huo nachoma kuna jamaa mmoja alikua ananiuzia sijui ni marehemu alikua anajiita BOB MAZISHI! Alikua anapatikana maeneo ya Sanawari hapa Arusha!
Pafu moja tu mwanamme ? unatia aibu nilikuwa na demu anavuta 2 halafu kitanda kinachangamka usipime lol!hapo ukipiga pafu moja mpaka unaona kizunguzungu
We Mwali wewe nawe kumbe hawavumi lol!Unahishi wapi ambapo hizo hazipo?
Hata hivo nahisi hii ni sigara ya kawaida tu, zile za kuroll mwenyewe.
Si unaona the stuff filled in ilivo brown na sio greenish?
Kitu cha Malawi hicho!
kama si Arusha, kitakuwa cha Kigoma
kituuu cha ulikokolaa kwa bibi fisi....''THEY CALL IT KING OF FOREST BABYLONS THEY DON LIKE IT..."
Au uwe na mpenzi kazini basi.......!!!
kwani stimu zake zikoje?Nyie "watoto" mnamaanisha bangi?
Tatizo lenu mnatumia vitu vilivyovundikwa kwenye mashimo ya choo na kutengeneza ujirani na kinyesi, ndiyo sababu mnapata madhara.
Njooni kwetu muone, sisi majani ni mboga murwa haina mfano (so nutritious and delicious) na mbegu zake kiungo kama vile karanga na mbegu za maboga. Hatupati shida. tunapanda shambani pamoja na mahindi na maharage wala serikali haifanyi lolote; inajua ni chakula murwa kwetu. Hatuvuti na kuipuliza.