Oyo wenyewe mpo??

Oyo wenyewe mpo??

Ningepata hii ningesahau stress kidogo maana zinazidi.......
Unahishi wapi ambapo hizo hazipo?
Hata hivo nahisi hii ni sigara ya kawaida tu, zile za kuroll mwenyewe.
Si unaona the stuff filled in ilivo brown na sio greenish?
 
kituuu cha ulikokolaa kwa bibi fisi....''THEY CALL IT KING OF FOREST BABYLONS THEY DON LIKE IT..."
 
Kitu maneno Udachini hicho si unacheki filter ilivyo na mixer lilivyochanganywa,paff mbili tu kama kichwa panzi huamki mpaka kesho.
 
Back
Top Bottom