araway
JF-Expert Member
- Sep 26, 2007
- 534
- 144
msaada p'se for a friend of mine:
Alikuwa na mimba ikiwa imefikasha miezi 5 alisitisha tendo la ndoa, mwaka umeisha sasa kajifungua, mtoto anamiezi mitatu juzi ameshiriki tendo la ndoa baada ya kumaliza damu zikaanza kumtoka hadi kupelekea kulazwa hospitalini usiku wa jana. Naomba kujua ni tatizo gani hili na linasababishwa na nini?
nawakilisha
Alikuwa na mimba ikiwa imefikasha miezi 5 alisitisha tendo la ndoa, mwaka umeisha sasa kajifungua, mtoto anamiezi mitatu juzi ameshiriki tendo la ndoa baada ya kumaliza damu zikaanza kumtoka hadi kupelekea kulazwa hospitalini usiku wa jana. Naomba kujua ni tatizo gani hili na linasababishwa na nini?
nawakilisha