OTEAS: Kiunganishi kinachosumbua waombaji wa Ajira

KING DUBU

JF-Expert Member
Mar 7, 2017
919
1,239
Toka serikali ilipotangaza nafasi za ajira kwa wahitimu wa masomo mbalimbali kwa wale wenye shahada na stashahada kupitia mtandao kwa kiunganishi http://196.43.65.187, kiunganishi hiki kinawasumbua sana waombaji. Muda mwingi ukijaribu kukitumia ili uombe au uhakiki basi huwa mtandao haupatikani.
Hali hii inaathiri sana waombaji na ni vyema wataalamu wa tehama wakawa makini kuhakikisha waombaji wanafanikiwa kuomba kwa wakati.
 
Jaribu tena inafunguka ndugu
Screenshot_20180713-121256.jpg
 
Toka serikali ilipotangaza nafasi za ajira kwa wahitimu wa masomo mbalimbali kwa wale wenye shahada na stashahada kupitia mtandao kwa kiunganishi OTEAS, kiunganishi hiki kinawasumbua sana waombaji. Muda mwingi ukijaribu kukitumia ili uombe au uhakiki basi huwa mtandao haupatikani.
Hali hii inaathiri sana waombaji na ni vyema wataalamu wa tehama wakawa makini kuhakikisha waombaji wanafanikiwa kuomba kwa wakati.
Tumieni PC Acheni kutumia simu
 
Toka serikali ilipotangaza nafasi za ajira kwa wahitimu wa masomo mbalimbali kwa wale wenye shahada na stashahada kupitia mtandao kwa kiunganishi OTEAS, kiunganishi hiki kinawasumbua sana waombaji. Muda mwingi ukijaribu kukitumia ili uombe au uhakiki basi huwa mtandao haupatikani.
Hali hii inaathiri sana waombaji na ni vyema wataalamu wa tehama wakawa makini kuhakikisha waombaji wanafanikiwa kuomba kwa wakati.
Mkuu naomba unielezee kidogo kuhusu huu utaratibu mimi ni mgeni nao,je ni kwa waalimu tu au la na je hizo nafasi zilitangazwa toka lin?
 
Mkuu naomba unielezee kidogo kuhusu huu utaratibu mimi ni mgeni nao,je ni kwa waalimu tu au la na je hizo nafasi zilitangazwa toka lin?
Nafasi Zina mwezi Sasa, na mwisho Ni leo. Fungua kiunganishi hicho jisajili na uweke documents wanazotaka.
 
Kupangiwa kituo itakuwa lini?
Kibali kipo tayari, kilitolewa kibali cha ajira za walimu 6800s na tar.17 July waliajiriwa walimu 4800s.
Hivyo zimesalia nafasi 2000 ambazo wataajiriwa walimu na mafundi sanifu wa maabara waliotuma maombi kupitia mfumo wa OTEAS.
 
Kibali kipo tayari, kilitolewa kibali cha ajira za walimu 6800s na tar.17 July waliajiriwa walimu 4800s.
Hivyo zimesalia nafasi 2000 ambazo wataajiriwa walimu na mafundi sanifu wa maabara waliotuma maombi kupitia mfumo wa OTEAS.
Thanks kwa taarifa, uwezekano mwaka huu itakuwa.?
 
Kibali kipo tayari, kilitolewa kibali cha ajira za walimu 6800s na tar.17 July waliajiriwa walimu 4800s.
Hivyo zimesalia nafasi 2000 ambazo wataajiriwa walimu na mafundi sanifu wa maabara waliotuma maombi kupitia mfumo wa OTEAS.
Kwa hio wale wa history kiswahili,geograph tusugue tu gaga
 
Kibali kipo tayari, kilitolewa kibali cha ajira za walimu 6800s na tar.17 July waliajiriwa walimu 4800s.
Hivyo zimesalia nafasi 2000 ambazo wataajiriwa walimu na mafundi sanifu wa maabara waliotuma maombi kupitia mfumo wa OTEAS.
Yamekuwa kwel naona ajira 2160 utakuwa ndgu yake jafo ww ebu mniajiri na Mimi wa arts plz

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Sijakaa kuchunguza vizuri hizi ajira, nilichong'amua haraka haraka hakuna walimu wa BIOS/CHEM waliopata kwa level ya degree.
Diploma ni cheap ktk malipo.
 
Back
Top Bottom