kilimasera
JF-Expert Member
- Dec 2, 2009
- 3,068
- 268
Wao wanasema eti ni waziri mkuu mstaafu!Waziri mkuu aliyejiuzulu kwa tuhuma za ufisadi Edward Lowasa.
Bingwa wa plann za kifisadi BONGO ni nani? Kama ada ya bongo swali linajibiwa kwa swali!!!!
Wao wanasema eti ni waziri mkuu mstaafu!
tuweke record sawa; kuna kustaafu, kustaafishwa na kujizulu, huyu jamaa alijiuzulu
lugha rahisi:
Kujiuzulu= Kuamua kuacha kazi kwa kukiri kuishindwa kazi hiyo kwa sababu yoyote ile
Hitimisho- kwa hiyo Edward ngoyai lowassa alijiuzulu
asanteni
NIMEFADHAIKA SANA, NIMEDHALILISHWA SANA, NIMEONEWA SANA KATIKA HILI,, there's a wish which am going to grant, TATIZO NI UWAZIRI MKUU...
ukipatia unapata soda ya bure baada ya kuchezesha draw ya washiriki wote wa shindano hili
Na kwa taarifa yenu analipwa asilimia80 ya mshahara anaolipwa waziri mkuu kila mwezi ikiwa ni malipo ya waziri mkuu mstaafu.