Easymutant
R I P
- Jun 3, 2010
- 2,564
- 1,129
hahaaaaaaaaaaaaaaaaa huyu jamaa noma alikua na hasira sana!
Umeahidi soda! na watu wamepata sasa je umeshawapatia hizo soda mkuu?
hahaaaaaaaaaaaaaaaaa huyu jamaa noma alikua na hasira sana!
Umeahidi soda! na watu wamepata sasa je umeshawapatia hizo soda mkuu?
muulize Al-adawi atakua anamjua teh teh teh!
Ni mgombea urais mtarajiwa wa ccm 2015
Kuna watu hapa kwa kiburi chao watabisha!
Na kwa taarifa yenu analipwa asilimia80 ya mshahara anaolipwa waziri mkuu kila mwezi ikiwa ni malipo ya waziri mkuu mstaafu.
hayo maelezo ya hilo neno KUJIUZULU yanapatikana kwenye kamusi gani?maana nimependezwa nayo.lakini nina maswali machache (1)huko kustaafishwa ndio vipi? (2)Je mtu aliyejiuzulu anaitwaje? Mjiuzulu au? maana kila nikichakachua sipati picha.tuweke record sawa; kuna kustaafu, kustaafishwa na kujizulu, huyu jamaa alijiuzulu
lugha rahisi:
Kujiuzulu= Kuamua kuacha kazi kwa kukiri kuishindwa kazi hiyo kwa sababu yoyote ile
Hitimisho- kwa hiyo Edward ngoyai lowassa alijiuzulu
asanteni
ni mgombea urais wa ccm 2015
NIMEFADHAIKA SANA, NIMEDHALILISHWA SANA, NIMEONEWA SANA KATIKA HILI,, there's a wish which am going to grant, TATIZO NI UWAZIRI MKUU...
ukipatia unapata soda ya bure baada ya kuchezesha draw ya washiriki wote wa shindano hili
Ni dk Slaa na inshu ya mke wa mtu!
Teh teh teh kajamaa bana eti 'Nimedhalilishwa sana, nimeonewa sana, ....' Puuumbavuuu.
Teh teh teh kajamaa bana eti 'Nimedhalilishwa sana, nimeonewa sana, ....' Puuumbavuuu.
Nilisema hivi eeSiku mingi mnooWaziri mkuu aliyefisadiwa,kipenzi cha wtu wa monduli,shujaa wa monduli,nina mashaka na ufisadi wake.