Eti dunia hii kuna watu wanaamini Osama ni marehemu. Duniani hakuna kikundi cha kigaidi kisichokuwa na usajili US. Hauwezi kuendesha kundi la ugaidi bila ridhaa ya wakubwa. Hata bin laden kikundi chake kilikuwa kimesajiliwa na CIA, utaendesha kundi lako kwa maelekezo yao. Sasa swali la msingi ni lini aliwasaliti mpaka wamgeuke na kumwua?