Tafadhali wekeni orodha ya watu walio pona Loliondo kama ushaidi kwa dawa ya Babu.
Mrema wa TLP
Kwa jinsi heading ilivyo na ulichokiandika hapa inaonekana Hata wewe hujapona vizuri bado kwa hiyo tunasubiri uwe wa kwanza au kaongeze kikombe cha pili.Tafadhali wekeni orodha ya watu walio pona Loliondo kama ushaidi kwa dawa ya Babu.
Kwa jinsi heading ilivyo na ulichokiandika hapa inaonekana Hata wewe hujapona vizuri bado kwa hiyo tunasubiri uwe wa kwanza au kaongeze kikombe cha pili.
hakuna hata m1. Wote ambao nmejarb kuwaulza walchopata baada ya kpata kkombe ni nafuu 2. Hakuna ambae mpk ss anawza kujtokeza na kuprove hadharan kuwa kapona ki kwel kwel.
Ushauri wa bure kwa Mods:
Jaribuni kupunguza uwingi wa hizi posts za Babu na Loliondo,
Ni hilo tu.
CCM imepona kwa dawa za babu maana mambo ya DOWANS, MAANDAMANO na nini sijui.... yamepungua.
Ttb wameanza kumeanza kutangazia dunia sembuse localsWatapunguzaje wakati ndio burning issue kwa sasa Tz
Orodha iko wapi mbona siiöni? Au nimesoma vibaya heading? Ngoja nirudie kufungua labda.
Tafadhali wekeni orodha ya watu walio pona Loliondo kama ushaidi kwa dawa ya Babu.
Tafadhali wekeni orodha ya watu walio pona Loliondo kama ushaidi kwa dawa ya Babu.
Tafadhali wekeni orodha ya watu walio pona Loliondo kama ushaidi kwa dawa ya Babu.
CCM imepona kwa dawa za babu maana mambo ya DOWANS, MAANDAMANO na nini sijui.... yamepungua.