TZ-1
JF-Expert Member
- Sep 28, 2020
- 4,761
- 8,405
Ikiwa kila kitu kwenye ubungo kipo normal lakin kuna kasoro hiyo.
SUBDURAL HAEMATOMA 0.9CM
(Mgonjw alipata ajar 25 March akaanz ubwa kichwa 15/April na kupma 20 april na mamumi yaakanz kushuka tarehe 21 April, ameambiwa panawez pona bila operation)
Hello wale walio wakumbana hii changamoto pekee ndani ya ubungo walimeza kuimaliza bila operation, walizingatia vtu gani au walipewa muongozo katika hospital gani kwa hapa Jiji Dar es salaam
Naomba majibu ya watu waliokuwa karbu na mgonjw, sio alie kwambia nae kaambiwa thanks kwa ushirikiano
SUBDURAL HAEMATOMA 0.9CM
(Mgonjw alipata ajar 25 March akaanz ubwa kichwa 15/April na kupma 20 april na mamumi yaakanz kushuka tarehe 21 April, ameambiwa panawez pona bila operation)
Hello wale walio wakumbana hii changamoto pekee ndani ya ubungo walimeza kuimaliza bila operation, walizingatia vtu gani au walipewa muongozo katika hospital gani kwa hapa Jiji Dar es salaam
Naomba majibu ya watu waliokuwa karbu na mgonjw, sio alie kwambia nae kaambiwa thanks kwa ushirikiano