Orodha ya watu walio pona LOLIONDO HII HAPA

Kuna mtu donda ndugu la kansa limemkauka....imani itakuponya...si kikombe cha babu, au babu mwenyewe, ni imani yako, huyu mama alikuwa na donda ndugu amepiga kikombe na limekauka...
 
Kuna mtu donda ndugu la kansa limemkauka....imani itakuponya...si kikombe cha babu, au babu mwenyewe, ni imani yako, huyu mama alikuwa na donda ndugu amepiga kikombe na limekauka...
sa apo kuna haja gani watu kumsfia babu na kupiga vikombe? kuna haja gani yawatu kudhalilika kwa kujisaidia ovyo porini kama fungo huku wakilala pasipostahihi? je kwanini babu asije mjini alipo na huduma? Je Mungu hana huruma? Je Mungu anapenda watu wake wafe kwa magonjwa ya mlipuko?
 
kumbuka wanaoenda ni wale walioona watu waliopona , mimi nimewashtukia mnataka kwenda lakini mnataka uhakika kama mtapona? Nendeni mkiwa pale mkiona wanavyopona nanyi imani menu itaongezeka
 
Mkuu wa wilaya wa mbinga amesema tangia amekunywa kikombe hari yake inazidi kuimalika. Anasumbuliwa na kisukari, kila cku alikuwa anachoma sindano ya insulin, ila tangia apate kikombe hajachoma tena sindano:
Source tbc
 
sa apo kuna haja gani watu kumsfia babu na kupiga vikombe? kuna haja gani yawatu kudhalilika kwa kujisaidia ovyo porini kama fungo huku wakilala pasipostahihi? je kwanini babu asije mjini alipo na huduma? Je Mungu hana huruma? Je Mungu anapenda watu wake wafe kwa magonjwa ya mlipuko?
I meant kanywa kikombe na hilo donda ndugu limepona, ndio maana hata DC anasema ni IMANI...imani ni kuwa na hakika na mambo .....Mz Judith thou u aint Babu's protegee malizia abt Imani
 
Mkuu wa wilaya wa mbinga amesema tangia amekunywa kikombe hari yake inazidi kuimalika. Anasumbuliwa na kisukari, kila cku alikuwa anachoma sindano ya insulin, ila tangia apate kikombe hajachoma tena sindano:
Source tbc

Ahsante DC wakina maggid na timu yake sasa watakosa la kuongea
 
hata mimi nimesikia nimemuona!tusubiri ushuhuda wa mgonjwa wa kansa maana wa ukimwi tayari
 
Ubishi ni kitu kibaya sana, Labada Magid na timu yake wanataka JK aseme hadharani ndio aamini. Angalia Jk mng'aro wake unaanza kurudi hata confo limeongezeka tangu taarifa za kupata kikombe zilipovuja! Binafsi ninaye brother wangu alikuwa anasumbuliwa na Anthritis rhumatism, yaani ni maumivu makali ya misuli ya mwili na mifupa, kapata kikombe siku moja na mzee wa kilalacha Lyatonga Mrema. Mpaka leo hii hajatumia zile dawa zake alizopewa Muhimbili, na maumivu yanapungua kila kukicha....Babu hatariiiii.
 
'If you are HIV positive... Na ukinywa dawa ya babu... Utapata instant relief... Lakini utatest positive for some days... After atleast three months ndo utatest negative... ' mwisho wa kunukuu kutoka kwa mdau aliyekua loliondo.
 
Ndugu wa Rostam Aziz waliokwenda Loliondo hakuna aliyepona na mmoja wapo alifariki.

Hii imekaaje au kwa vile ni fisadi papa?
 
Bado huyo dada kanikata maini etí kapona lakini bado hajapima ila anahc kama kapona vle. Atokee mtu aliyethibitishwa na vpmo kwamba hana Hiv, Diabates, Cancer na mengineyo ili watu tumiminike kupata kikombe cha babu huko Loliondo..!?

khaaaa! Watu sijui tueleweje!
 
'If you are HIV positive... Na ukinywa dawa ya babu... Utapata instant relief... Lakini utatest positive for some days... After atleast three months ndo utatest negative... ' mwisho wa kunukuu kutoka kwa mdau aliyekua loliondo.

khaaaa! Kwahiyo wagonjwa wa ukimwi wote vipimo havijabadilika! Huduma ya babu haijafika hiyo miezi mitatu tangu watu waanze kuipata.
 
kama ni mpango wa Mungu kuwapeleka wagojwa kwa Babu, najiuliza kwa nini kuna wanaokufa katika foleni kabla ya kupata kikombe?
 
Kuna mtu donda ndugu la kansa limemkauka....imani itakuponya...si kikombe cha babu, au babu mwenyewe, ni imani yako, huyu mama alikuwa na donda ndugu amepiga kikombe na limekauka...

Hilo donda umeshuhudia limepona au umehadithiwa. Kama umeliona hukupata picha?

Hadithi za kupona ni nyingi, nadhani wengi wao wamesahau kutofautisha kupona na kupata nafuu.

Kupata nafuu hata mgonjwa anayetumia dawa za hospitali hupata nae hupata nafuu.

Fundisho kubwa hapa ni jinsi ambavyo watu wamekata tamaa ya kupona maradhi, which implies kuwa huduma za afya ni duni mno. Alternative yeyote mgonjwa atakayokutana nayo anaichukua, na serikali kama custodian wa afya zetu, haina explanation zaidi ya kukataza, kuruhusu na kukataza. Kiufupi inacheza au haijali afya za wananchi wake ndio maana mtu yeyote atakayejitolea kutibu ana tibu bila kuwa na kibali!

Je hakuna baraza la madtari Tanzania? Limefanya nini?
 
Back
Top Bottom