Orodha ya watu /taasisi/Viongozi wanaotakiwa kulaumiwa kwa kifo cha Aquilina hii hapa

Ketoka

JF-Expert Member
Sep 23, 2015
1,087
1,913
Baada ya Rais wa Jamhuri ya mungano wa Tanzania kusikitishwa na mauaji ya mwanafunzi huyo baada ya kupigwa risasi na polisi na kuagiza uchunguzi ufanyike mapema kwa waliohusika

Hizi lawama zitue kwa Tume ya Taifa ya uchaguzi kupitia mkurugenzi wa kinondoni,
Siku mbili kabla ya uchaguzi wa kinondoni,Wabunge wa Chadema wakiongozwa na mwenyekiti freeman Mbowe walifika ofisi ya mkurugenzi kudai wapewe viapo vya mawakala,na huku Esther Bulaya akidai viapo kwa upande wa ccm vimeishatolewa,hata hivyo hawakupata viapo hivyo
Siku moja kabla ya uchaguzi mbowe anaongoza waandamanaji kwenda kudai viapo.

Tuweke mbali maslahi ya vyama vyetu ni swali tu la kujiuliza na kuuliza Tume ya Taifa ya uchaguzi,kwa nini hawakutoa viapo kwa vyama vya upinzani mapema kama walivyofanya kwa chama cha mapinduzi? Nini kipo nyuma ya pazia?
Nani hasa wa kulaumiwa,mbowe na chadema,mkurugenzi kinondoni au jeshi la polisi?

Salamu. Naona tunazunguka sana.Mara huyu mara yule.

Hawa wafuatao ndio wamesababisha kifo cha mwanafunzi wa NIT tena kwa kupigwa risasi:-

1. Freeman Mbowe (Akamatwe na ahojiwe)

2. Askari aliyerusha risasi (Anyongwe kabisa)

3. Aliyesababisha maandamano yakawepo (Afungwe na afukuzwe kazi)

4. Aliyeruhusu risasi za moto zitumike (Afungwe maisha)

5. Trafiki walioshindwa kuthibiti maandamano (wafukuzwe kazi mara moja).

Shit!
 
Baada ya Rais wa Jamhuri ya mungano wa Tanzania kusikitishwa na mauaji ya mwanafunzi huyo baada ya kupigwa risasi na polisi na kuagiza uchunguzi ufanyike mapema kwa waliohusika

Hizi lawama zitue kwa Tume ya Taifa ya uchaguzi kupitia mkurugenzi wa kinondoni,
Siku mbili kabla ya uchaguzi wa kinondoni,Wabunge wa Chadema wakiongozwa na mwenyekiti freeman Mbowe walifika ofisi ya mkurugenzi kudai wapewe viapo vya mawakala,na huku Esther Bulaya akidai viapo kwa upande wa ccm vimeishatolewa,hata hivyo hawakupata viapo hivyo
Siku moja kabla ya uchaguzi mbowe anaongoza waandamanaji kwenda kudai viapo.

Tuweke mbali maslahi ya vyama vyetu ni swali tu la kujiuliza na kuuliza Tume ya Taifa ya uchaguzi,kwa nini hawakutoa viapo kwa vyama vya upinzani mapema kama walivyofanya kwa chama cha mapinduzi? Nini kipo nyuma ya pazia?
Nani hasa wa kulaumiwa,mbowe na chadema,mkurugenzi kinondoni au jeshi la polisi?
? Mfike pahala muache siasa za kuchafuaana ,maandamano myaanzishe nyie,polisi muwashambulie kwa mawe kwani Sheria hamzijui kulikuwa na uharaka gani hadi muandamane maandamano haramu???
 
062725d2eb58ab32880f3a27b78ea239.jpg
 
Baada ya Rais wa Jamhuri ya mungano wa Tanzania kusikitishwa na mauaji ya mwanafunzi huyo baada ya kupigwa risasi na polisi na kuagiza uchunguzi ufanyike mapema kwa waliohusika

Hizi lawama zitue kwa Tume ya Taifa ya uchaguzi kupitia mkurugenzi wa kinondoni,
Siku mbili kabla ya uchaguzi wa kinondoni,Wabunge wa Chadema wakiongozwa na mwenyekiti freeman Mbowe walifika ofisi ya mkurugenzi kudai wapewe viapo vya mawakala,na huku Esther Bulaya akidai viapo kwa upande wa ccm vimeishatolewa,hata hivyo hawakupata viapo hivyo
Siku moja kabla ya uchaguzi mbowe anaongoza waandamanaji kwenda kudai viapo.

Tuweke mbali maslahi ya vyama vyetu ni swali tu la kujiuliza na kuuliza Tume ya Taifa ya uchaguzi,kwa nini hawakutoa viapo kwa vyama vya upinzani mapema kama walivyofanya kwa chama cha mapinduzi? Nini kipo nyuma ya pazia?
Nani hasa wa kulaumiwa,mbowe na chadema,mkurugenzi kinondoni au jeshi la polisi?
Selikali ya CCM
 
Unamavi Matakoni ivi wewe unaelewa kweli? Mfike pahala muache siasa za kuchafuaana ,maandamano myaanzishe nyie,polisi muwashambulie kwa mawe kwani Sheria hamzijui kulikuwa na uharaka gani hadi muandamane maandamano haramu???
Mara zote ukiona mtu badala apinge kwa hoja kama ilivyo desturi ya waungwana na wastaarabu anakimbilia lugha ya matusi unapaswa ujiulize sana. Kuna kitu hakiko sawa.

Hivi rafiki unahisi wewe ndio unajua matusi kuliko wenzako wote humu JF?
 
Mkugenzi ,NEC ,Waziri wa mambo ya ndani ,IGP,RPC ....,ALiyetoa order polisi watumie risasi za moto kisha ndio afuate huyo mbwa aliyevuta trigger
 
Baada ya Rais wa Jamhuri ya mungano wa Tanzania kusikitishwa na mauaji ya mwanafunzi huyo baada ya kupigwa risasi na polisi na kuagiza uchunguzi ufanyike mapema kwa waliohusika

Hizi lawama zitue kwa Tume ya Taifa ya uchaguzi kupitia mkurugenzi wa kinondoni,
Siku mbili kabla ya uchaguzi wa kinondoni,Wabunge wa Chadema wakiongozwa na mwenyekiti freeman Mbowe walifika ofisi ya mkurugenzi kudai wapewe viapo vya mawakala,na huku Esther Bulaya akidai viapo kwa upande wa ccm vimeishatolewa,hata hivyo hawakupata viapo hivyo
Siku moja kabla ya uchaguzi mbowe anaongoza waandamanaji kwenda kudai viapo.

Tuweke mbali maslahi ya vyama vyetu ni swali tu la kujiuliza na kuuliza Tume ya Taifa ya uchaguzi,kwa nini hawakutoa viapo kwa vyama vya upinzani mapema kama walivyofanya kwa chama cha mapinduzi? Nini kipo nyuma ya pazia?
Nani hasa wa kulaumiwa,mbowe na chadema,mkurugenzi kinondoni au jeshi la polisi?
Tume ni namba moja
Polisi ni namba mbili. Hii taasisi imeacha wajibu wake na kuwa chombo cha Ccm
Waziri na IGP wanatakiwa wajiuzulu. Rpc kinondoni na wa kanda maalum wanatakiwa waachishwe kazi na kufunguliwa kesi ya mauaji.
 
Mkuu huyu Chakubanga Pori pori ni mtekelezaji tu, muasisi wa hii sera MUFILISI ya kununua wachumia tumbo ni DU na yeye ndiye aliyechota hazina billions ili kutimiza hii sera MUFILISI.

Bila kumsahau Mtulia na Humphrey Poripori.Bila ya biashara ya nunua wabunge na madiwani wa upinzani haya yasingetokea.
 
Na huyo katibu wa chadema aliyeuawa na kutupwa cocobeach mbona hamsemi mnjikosha kwa mwanafunzi. Vifo vyote vimesababishwa na mifumo ya kiusalama.
 
Unamavi Matakoni ivi wewe unaelewa kweli? Mfike pahala muache siasa za kuchafuaana ,maandamano myaanzishe nyie,polisi muwashambulie kwa mawe kwani Sheria hamzijui kulikuwa na uharaka gani hadi muandamane maandamano haramu???

Maandamano halali ni yapi hayo?
 
Nani aliyeamrisha watu waandamane?
Nani aliyesababisha watu waandamane?

Ulidhani waandamanaji walichukua maamuzi kiwendawazimu?

Kama hujui chanzo au kama umeamua kujitoa akili juu ya haya mauaji, kaa kimya huwezi kupoteza chochote.
 
Nani aliyesababisha watu waandamane?

Ulidhani waandamanaji walichukua maamuzi kiwendawazimu?

Kama hujui chanzo au kama umeamua kujitoa akili juu ya haya mauaji, kaa kimya huwezi kupoteza chochote.
Uchunguzi utasema kosa ni la dereva alipita njia ya risasi.
 
Baada ya Rais wa Jamhuri ya mungano wa Tanzania kusikitishwa na mauaji ya mwanafunzi huyo baada ya kupigwa risasi na polisi na kuagiza uchunguzi ufanyike mapema kwa waliohusika

Hizi lawama zitue kwa Tume ya Taifa ya uchaguzi kupitia mkurugenzi wa kinondoni,
Siku mbili kabla ya uchaguzi wa kinondoni,Wabunge wa Chadema wakiongozwa na mwenyekiti freeman Mbowe walifika ofisi ya mkurugenzi kudai wapewe viapo vya mawakala,na huku Esther Bulaya akidai viapo kwa upande wa ccm vimeishatolewa,hata hivyo hawakupata viapo hivyo
Siku moja kabla ya uchaguzi mbowe anaongoza waandamanaji kwenda kudai viapo.

Tuweke mbali maslahi ya vyama vyetu ni swali tu la kujiuliza na kuuliza Tume ya Taifa ya uchaguzi,kwa nini hawakutoa viapo kwa vyama vya upinzani mapema kama walivyofanya kwa chama cha mapinduzi? Nini kipo nyuma ya pazia?
Nani hasa wa kulaumiwa,mbowe na chadema,mkurugenzi kinondoni au jeshi la polisi?
'UCHUNGUZI' hili neno likitumiwa vizuri, litazaa matunda.
Maana yake hapo itaundwa tume.
Uzuri wa tume, lazima ipekenyue ndanindani kabisa, chanzo cha tatizo, kisababishi cha kifo, nani muuaji?, alipewa na nani amri ya kuua?, kwenye maandamano ya kutuliza ghasia kwanini zitumike risasi za moto badala ya mabomu ya machozi, virungu na ngao? Kwanini Mkurugenzi acheze double standard katika kutoa hayo makaratasi, nani alimpa maelekezo ya kuwanyima na kuwacheleweshea Chadema?, kwanini Mbowe alianzisha maandamano bila ya kibali nk nk.
Baada ya utitiri wa maswali ambayo yatajibiwa kwa muongozo wa hadidu za rejea, mwishoni kutakuwa na mapendekezo ambayo tume itayatoa juu ya hatua za kuchukua na nani wa kulaumiwa katika sakata hilo.
Balaa la tume za uchunguzi huwa haziachi makandokando yakielea hewani, kila sehemu itaguswa katika sakata zima la kifo cha huyo mwanafunzi.
Mtu yeyote kuanzia mkurugenzi ama ngazi ya juu yake, police commander wa eneo husika, polisi aliyerusha risasi ya moto kimo cha mbuzi kizembe, pamoja na Mbowe ni watu watakaokumbana na usumbufu wa maswali ya tume.
Na yeyote atakayekuwa hakutimiza wajibu wake kikamilifu ama kwa mazoea ataumbuka.
 
Kwa kuwa na Wakurugenzi wa CCM ushindi kwa upinzani ni ndoto hivyo vijamaa ni vikada na vimekula kiapo cha kuhakikisha chama chao kinaashinda
 
Mara zote ukiona mtu badala apinge kwa hoja kama ilivyo desturi ya waungwana na wastaarabu anakimbilia lugha ya matusi unapaswa ujiulize sana. Kuna kitu hakiko sawa.

Hivi rafiki unahisi wewe ndio unajua matusi kuliko wenzako wote humu JF?
Achananae mkuu, hatakuwa mdogo wa nabii Tito uyo
 
Back
Top Bottom