Sasa kama majina ya watu yanaanza na herufi ndogo, can anyone take you seriously?Mwifwa, mawakala wa chadema 613 walishaapishwa mbowe alikuwa anashinikiza mawakala wasiokuwa na vituo waliwemo wabunge na madiwani waapishwe kwa maana nyingine alitaka kutengeneza vituo bandia vya kura jambo alilokataliwa.
Mbowe alinuia kufanya fujo kwa kuleta walenga mishale aka wasonjo kutoka serengeti na walikuja kwa bus la falcon,
ukiona waliokuwa wakiandamana ndio haohao waliokuwa wakideki kule musoma wakati lowasa akipita, mbowe lazima awajibike kwa hili.