Weka pichaLeo Kuna mtu Kala suti for the first time!!
Angalia TBCWeka picha
Majibu Kama haya unapaswa kuyapeleka Facebook.Inakuhusu nini ? Au unataka habari zao ufanye nini au mna mpango gani mnapanga baada ya kupata habari zote hizo na kuzipeleka huko mnakozipeleka ? ?
UBETI WASHAIRI
Nchi yetu ni imara, wala hamfanikiwi
Ni kulia kila mara,mnalotaka haliwi
Mkifanya masihara,mtageuka viziwi
Siraaj ng'aza siraat tuondokwe na ghururi
Asikuumize kichwa.Ni aina ya watu hata akijamba anasingizia watoto.Haamini na hataki kuelewa kuwa kujamba ni sifa/tabia ya kiumbe hai.
Na Kuna kipindi cha Mwalimu alikua na ADC toka polisi na sio JWWekeni hiyo orodha please. Nani alikua ADC wa mwalimu kwa mfano....
MkuuNa Kuna kipindi cha Mwalimu alikua na ADC toka polisi na sio JW
Na bado mtapandisha hasira mpaka 2025 sijui mtakuwa na hali gani.Majibu Kama haya unapaswa kuyapeleka Facebook.
GT unaulizwa jambo dogo unaandika uharo uharo tu.
Sasa kujua ADCs kuna tatizo gani?
Kama kumuona ADC ingekua ni mtu wa Siri mbona tunamuona kila siku kwenye TV?
Orodha ya wakuu wa usalama wa taifa inafahamika na hakuna tatizo sembuse huyo mpambe wa rais?
Kama hujui ungetulia tu
Halafu ukishajua itakusaidia nini labdaHivi sasa mpambe wa rais (ADC) ni MBARAKA MKEREMI. Naomba kujua orodha ya ma ADC waliopita na walipo sasa.
Je, ni wanajeshi kwenye sifa zipi na vyeo gani ndio hufikiriwa kupewa hiyo nafasi.
Regards...
2025 atafika na hivyo viberiti?Na bado mtapandisha hasira mpaka 2025 sijui mtakuwa na hali gani.