Ciphertext
Senior Member
- Apr 21, 2012
- 160
- 33
Pole next time usichague msanii.Mbunge wangu Cheyo kagoma!? Kweli siasa ni usanii
Pole next time usichague msanii.Mbunge wangu Cheyo kagoma!? Kweli siasa ni usanii
Wapi hawa wanaojifanya wapambanaji,kumbe ni danganya toto,tunawasubiri kwenye"debe''Jana kuna taarifa zilizo kuwa zikisema wabunge wa CCM walio sign ni wa 5 ambao ni;
1.Deo Philikunjombe =Ludewa
2.Ally Keissy Mohamed=Nkasi kaskazini
3.Alhoxard Lugola=Bunda
4Murtaza Ally Mangungu na
Mbunge mmoja wa viti maalum kutoka kanda ya ziwa.
Mkosamali angekuwapo angesaini, alikuwa kwenye kesi yake ya ubunge jimboni kwake, na tunashukuru ameshindaNaona wengi ni chadema na CUF, nccr wachache kuliko nilivyotegemea!!
Wapi Lowasa bana?si anadai kuwa na uchungu na maisha ya vijana,sasa aonyesha mfano wa kuipinga serikali,hayo ndio maamuzi magumu bana,Orodha ya wabunge waliosaini:
- 2. Rashid Ali Abdallah CUF
- 3. Chiku Aflah Abwao- Chadema
- 4. Saluim Ali Mbarouk CUF
- 5. Salum Khalfam Barwany CUF
- 6. Deo Haule Filikuchombe- CCM
- 7. Pauline Philipo Gekul- Chadema
- 8. Asaa Othman Hamad- CUF
- 9. Prof.Kuliyokela Kahigi- Chadema
- 10. Naomi Mwakyoma Kaihula Chadema
- 11. Sylvester Kasulumbayi- Chadema
- 12. Raya Ibrahim Khamis - Chadema
- 13. Mkiwa Hamad Kiwanga - CUF
- 14. Susan Limbweni Kiwanga- Chadema
- 15. Grace Sindato Kiwelu Chadema
- 16. Kombo Khamis Kombo cuf
- 17. Joshua Samwel Nassari Chadema
- 18. Tundu Antiphas Lissu- Chadema
- 19. Aphaxar Kangi Lugola- CCM
- 20. Susan Anselim Lymo- Chadema
- 21. Moses Machali NCCR Mageuzi
- 22. John Shibuda Magalle Chadema
- 23. Faki Haji Makame- CUF
- 24. Esther Nicholas Matiko- Chadema
- 25. Joseph Osmund Mbilinyi- Chadema
- 26. Freman Aikaeli Mbowe- Chadema
- 27. Kurudhum Jumanne Mchuchuli Chadema
- 28. Halima James Mdee-Chadema
- 29. John John Mnyika- Chadema
- 30. Augustino Lyatonga Mrema- TLP
- 31. Maryam Salum Msabaha- Chadema
- 32. Peter Msingwa-chadema
- 33. Christowaja Gerson Mtinda- Chadema
- 34. Philipa Geofrey Mturano- Chadema
- 35. Christina Lissu Mughwai- Chadema
- 36. Joyce John Mukya Chadema
- 37. Mchungaji Israel Yohane Natse Chadema
- 38. Philemon Ndesamburo- Chadema
- 39. Ahmed Juma Ngwali- CUF
- 40. Vincent Josephat Nyerere- Chadema
- 41. Rashid Ali Omar- CUF
- 42. Meshack Jeremiah Opulukwa- Chadema
- 43. Lucy Philemon Owenya- Chadema
- 44. Rachel Mashishanga- Chadema
- 45. Mhonga Said Ruhwanya Chadema
- 46. Conchesta Rwamlaza Chadema
- 47. Moza Abedi Saidy- CUF
- 48. Joseph Roman Selasini Chadema
- 49. David Ernest Silinde- Chadema
- 50. Rose Kamili Sukum - Chadema
- 51. Cecilia Daniel Paresso- chadema
- 52. Kabwe Zuberi Zitto- Kigoma Kaskazini
- 53. Magdalena Sakaya CUF
- 54. Rebecca Mngodo- CUF
- 55. Sabreena Sungura -Chadema
- 56. Hamad Rashid Mohammed- CUF
- 57. Rukia Kassim Ahmed- CUF
- 58. Mustapha Boay Akoonay -Chadema
- 59. Abdalla Haji Ali -CUF
- 60. Khatibu Said Ali -CUF
- 61. Hamad Ali Hamad -CUF
- 62. Riziki Omar Juma -CUF
- 63. Haji Khatibu Kai -CUF
- 64. Anna Marystella John Malack -Chadema
- 65. Hamad Rashid Mohamed -CUF
- 66. Rajab Mbarouk Mohamed -CUF
- 67. Thuwayba Idrissa Muhamed -CUF
- 68. Masoud Abdallah Salum -CUF
- 69. Muhamad Ibrahim Sanya -CUF
- 70. Ali Khamis Seif -CUF
- 71. Haroub Muhammed Shamis -CUF
- 72. Amina Amour Nassoro -CUF
Wapi hawa wanaojifanya wapambanaji,kumbe ni danganya toto,tunawasubiri kwenye"debe''
1.Anna Kilango
2.Lembeli
3.Sendeka
4.Hamis Kingangwala
Pia kuna hawa wanaochonga sana
1.January Makamba
2.Erasto Zambi
3.Azzani
Unakula mboga za majani kweli wewe? Au B A N G E ?!
hapa criticism ya Erasto Zambi haina mshiko kama kweli alizuia saini kujustfy matamshi yake aliyotoa bungeni. Ccm is full cowards wanamwogopa kikwete kuliko wanavyomwogopa MUNGUkwa hiyo mr. Scales aka magamba wenyewe wameshagoma kusaini?