Mtu wa Pwani
JF-Expert Member
- Dec 26, 2006
- 4,184
- 671
Naam kumekucha tume ya zanzibar ya uchaguzi imetangaza haya yafuatayo:-
Tume ya Uchaguzi Zanzibar (ZEC), imewaengua wagombea kumi na watano (15) kati ya hao kumi na mmoja (11) ni wa Chama Cha ACT-Wazalendo, CCM mmoja (1), CUF mmoja (1), UPDP mmoja (1) na Demokrasia Makini mmoja (1), waliokuwa wakigombea nafasi za Uwakilishi Zanzibar.
Sababu za kuondolewa ni kushindwa kufuata kanuni za uchaguzi katika kujaza fomu za uteuzi.
ACT-Wazalendo ni:-
1. Haji Ali Haji (Tumbatu).
2. Hassan Jani Masoud (Nungwi).
3. Haji Mwadini Makame (Kijini).
4. Juma Duni Haji (Mtoni).
5. Hasne Abdallah Abeid (Bububu).
6. Hamad Masoud Hamad (Ole).
7. Omar Ali Shehe (Chake Chake).
8. Khamis Rashid Khamis (Chonga).
9. Issa Said Juma (Micheweni/Konde).
10. Mmanga Mohammed Hemed (Konde/Tumbe).
11. Is-haka Ismail Shariff (Wete).
CUF ni:-
1. Juma Ali Juma (Ole).
Demokrasia Makini ni:-
1. Abbas Omar Abbas (Ole).
UPDP ni:-
1. Yussuf Said Hamad (Chake Chake).
CCM ni :-
1. Othman Ali Khamis (Mtambwe).
chanzo ni mwndishi Ally Mohammed kutoka zanzibar
Tume ya Uchaguzi Zanzibar (ZEC), imewaengua wagombea kumi na watano (15) kati ya hao kumi na mmoja (11) ni wa Chama Cha ACT-Wazalendo, CCM mmoja (1), CUF mmoja (1), UPDP mmoja (1) na Demokrasia Makini mmoja (1), waliokuwa wakigombea nafasi za Uwakilishi Zanzibar.
Sababu za kuondolewa ni kushindwa kufuata kanuni za uchaguzi katika kujaza fomu za uteuzi.
ACT-Wazalendo ni:-
1. Haji Ali Haji (Tumbatu).
2. Hassan Jani Masoud (Nungwi).
3. Haji Mwadini Makame (Kijini).
4. Juma Duni Haji (Mtoni).
5. Hasne Abdallah Abeid (Bububu).
6. Hamad Masoud Hamad (Ole).
7. Omar Ali Shehe (Chake Chake).
8. Khamis Rashid Khamis (Chonga).
9. Issa Said Juma (Micheweni/Konde).
10. Mmanga Mohammed Hemed (Konde/Tumbe).
11. Is-haka Ismail Shariff (Wete).
CUF ni:-
1. Juma Ali Juma (Ole).
Demokrasia Makini ni:-
1. Abbas Omar Abbas (Ole).
UPDP ni:-
1. Yussuf Said Hamad (Chake Chake).
CCM ni :-
1. Othman Ali Khamis (Mtambwe).
chanzo ni mwndishi Ally Mohammed kutoka zanzibar