Wana JF.., nilikuwa nahitaji kufahamu orodha ya ma-rais 10 wanaoongoza kwa uvivu afrika.., masaada wa haraka kwani nahitaji hizi data kuandaa report..
jakaya mrisho kikwete
mkuu mimi binafsi namjua mmoja tu na huyo mmoja ni kwa saabu yu mtanzania mwenzangu na ni rais wangu kwa heshima na kwa kumpenda rais wangu namuuite Mh.Rais.Jakaya M.Kikwete ni MVIVU.
reason
1.lowassa alipojiuzuru, ktk hotuba yke alidai ameonewa(hakuulizwa)we kama rais haikuwa busara kupokea barua ya lowassa na kuhafiki uamuzi aliochukua.kuanguka kwa chaguo lako lowassa kumepeleke kuanguka kwa kila waziri wako na uombe umaliza salama .awamu moja mawaziri mia mbili huu ni umbulula
Matazamo wako uko wrong! Pole sana, hicho chama wameshaanza kufukuzana na kuumizana mapema hivi halafu kipewe nchi? A died man can't drive a car! Chama hicho kikichukua nchi nizikeni nkiwa hai! Sindano inauma lakini ndiyo dawa inaingia.
Body without head
Hizi siasa hizi. Uvivu wa rais kisa kakubali waziri mkuu ajiuzulu? Imefika wakati sasa serikali iweke mipaka ktk matumizi ya jina la mh. Rais.
jakaya mrisho kikwete
1.Diamond Platnumz
2.Madee
3.Alberto Msando