Saskatchewan
Senior Member
- Oct 16, 2011
- 148
- 25
Rais wa Newcastle United!
Usijifanye mjuaji saaana, hayo ni makosa ya kawaida
kweli wewe kinda!hamaanishi kuvuta bhangi anamaanisha kuvuta mda maana umeshazoea shule hivyo unajua siku ya kwanza hamtasoma,Kama mi navuta basi wewe utakuwa unapuliza.., wewe na huyo mwenzako.., si bure..
mkuu mimi binafsi namjua mmoja tu na huyo mmoja ni kwa saabu yu mtanzania mwenzangu na ni rais wangu kwa heshima na kwa kumpenda rais wangu namuuite Mh.Rais.Jakaya M.Kikwete ni MVIVU.
reason
1.lowassa alipojiuzuru, ktk hotuba yke alidai ameonewa(hakuulizwa)we kama rais haikuwa busara kupokea barua ya lowassa na kuhafiki uamuzi aliochukua.kuanguka kwa chaguo lako lowassa kumepeleke kuanguka kwa kila waziri wako na uombe umaliza salama .awamu moja mawaziri mia mbili huu ni umbulula
Kwahiyo unasemaje?
Body without head
nimesema nilichosema .ajabu sana kuwa na rais asiye na msimamo dhabiti.ni vema ukaheshimu mawazo na fikra za watu huwezi changia mada.mccm deadfly we!
futa povu deadfly.imebaki miezi tu.ccm kitabaki historia,chama cha mashetani,majangili na wabakaji.shame on u.Slaa ndiyo atafanya vizuri?
Body without head
futa povu deadfly.imebaki miezi tu.ccm kitabaki historia,chama cha mashetani,majangili na wabakaji.shame on u.
mainzimafu
RAIS wa chama cha madaktari , RAIS wa chama cha waalimu, RAIS wa madereva wa bodaboda, HAYA WENGINE JAZIA MWENYEWE ukamilishe riport we sharobaro
Hivi rais wa watanashati ameshamaliza muda wake kikatiba?