Orodha ya marais 10 wavivu afrika

Orodha ya marais 10 wavivu afrika

Status
Not open for further replies.
Wana JF.., nilikuwa nahitaji kufahamu orodha ya ma-rais 10 wanaoongoza kwa uvivu afrika.., masaada wa haraka kwani nahitaji hizi data kuandaa report..

Rais wa 1. TFF, 2. RAIS WA BFT, 3. RAIS WA UDSM
 
Wana JF.., nilikuwa nahitaji kufahamu orodha ya ma-rais 10 wanaoongoza kwa uvivu afrika.., masaada wa haraka kwani nahitaji hizi data kuandaa report..

Mtani Wangu Jamal Malinzi. ( Natania Jamani Si Mnajua tena Musoma na Bukoba? AU Mara na Kagera? ) Wakora Waitu JM!
 
Wana JF.., nilikuwa nahitaji kufahamu orodha ya ma-rais 10 wanaoongoza kwa uvivu afrika.., masaada wa haraka kwani nahitaji hizi data kuandaa report..
kaka naona sasa unaanza kuwatafuta watu bila sababu za msingi!!!
 
uvivu katika kipengele kipi. unaweza ukawa mvivu wa kupokea wageni ila usiwe mvivu wa kutembelea wenzio kila siku. unaweza ukawa mvivu wa kufikiri.....................etc.
 
Wana JF.., nilikuwa nahitaji kufahamu orodha ya ma-rais 10 wanaoongoza kwa uvivu afrika.., masaada wa haraka kwani nahitaji hizi data kuandaa report..



1. KIng Mswati III (Swaziland)
2. Jakaya Kikwete (Tanzania)
3. Blaise Compaore (Burkinafaso)
4. Paul Biya (Cameroun)
5. Dennis Sessou Ngueso (Congo Brazaville)

6. Faure Eyadema (Togo)
7. Ali Bongo Ondimba (Gabon)

8. Teodoro Obiang Nguema (Equaorial Guinea)

9. Joseph Kabila (Democratic Republic of Congo)
10. Idriss Derby (Chad)


Pia wanaongoza kwa matanuzi, kulala mahoteli ya gharama, kuwa na nyumba ndogo, kunufaisha familia zao kwa kuzipa madili na mamlaka
 
1. KIng Mswati III (Swaziland)
2. Jakaya Kikwete (Tanzania)
3. Blaise Compaore (Burkinafaso)
4. Paul Biya (Cameroun)
5. Dennis Sessou Ngueso (Congo Brazaville)

6. Faure Eyadema (Togo)
7. Ali Bongo Ondimba (Gabon)

8. Teodoro Obiang Nguema (Equaorial Guinea)

9. Joseph Kabila (Democratic Republic of Congo)
10. Idriss Derby (Chad)


Pia wanaongoza kwa matanuzi, kulala mahoteli ya gharama, kuwa na nyumba ndogo, kunufaisha familia zao kwa kuzipa madili na mamlaka

duh hapo no2 umepatia kabsa
 
Wana JF.., nilikuwa nahitaji kufahamu orodha ya ma-rais 10 wanaoongoza kwa uvivu afrika.., masaada wa haraka kwani nahitaji hizi data kuandaa report..

1. Paul Biya ( Cameroun)
2. Robert Mugabe (Zimbabwe)
3. Dennis Sessou Nguesso (Congo
Brazaville)
4. Jakaya Kikwete (Tanzania)
5. Joseph Kabila (Congo Kinshasa)
6. Faure (Togo)
7. Idriss Derby (Chad)
8. Teodore Nguema Bassongo
Equatorial Guinea
Hawa ni wala starehe na kujaza ndugu na marafiki madarakani
Rushwa, kujitajirisha, safari za matanuzi na kuzungukwa na washabiki bila kuangalia maslahi ya taifa
 
Matazamo wako uko wrong! Pole sana, hicho chama wameshaanza kufukuzana na kuumizana mapema hivi halafu kipewe nchi? A died man can't drive a car! Chama hicho kikichukua nchi nizikeni nkiwa hai! Sindano inauma lakini ndiyo dawa inaingia.

Body without head

Uzikwe mara ya ngapi unafikiri kwa makalio. R.I.P CCM
 
Hizi siasa hizi. Uvivu wa rais kisa kakubali waziri mkuu ajiuzulu? Imefika wakati sasa serikali iweke mipaka ktk matumizi ya jina la mh. Rais.

Hivi kuna mh. Rais tz siku hizi? Nilishasahau asante kwa kunikumbusha Mungu anisaidie usahaulifu huu upotee.Kila la heri rais ajae
 
Rais wetu sio mvivu kwenye kuzidisha deni la nchi na kushirikiana na mafisadi. Zawadi yake viboko 12 atakapoingia gerezani na 12 atakapotoka akamuonyeshe salma
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom