Orodha ya marais 10 wavivu afrika

Orodha ya marais 10 wavivu afrika

Status
Not open for further replies.
1. Madeee
2. Nyoshi El Sadat
3. Salva Kiir
4. Rais wa iaa
5. Ndama mutoto ya Ng'ome
6. Juma Nature
7. Manji
8. Bob Junior
9. Samora (rais wa wauza mbuzi vggt)
10. Jamal Malinzi
 
1. Madeee
2. Nyoshi El Sadat
3. Salva Kiir
4. Rais wa iaa
5. Ndama mutoto ya Ng'ome
6. Juma Nature
7. Manji
8. Bob Junior
9. Samora (rais wa wauza mbuzi vggt)
10. Jamal Malinzi

ok.., ndo namalizia report sasa.., thanx
 
Duh! Mimi staki kumsema vibaya rais wangu,japokuwa silipendi li ccm,I have no comment.
 
Naona wewe umewashinda wote kwa uvivu, kazi ya kuandika ripoti upewe wewe, kisha utuletee tukufanyie hapa JF?
 
hivi Rais angekuwa anafanyiwa assessment , walah labilai ningempa Vasco Da gama course work ya 5/40 manake hajielewi mara anasomewa albadil sh.t upuuzi kila siku kwenye ndege kuhudhuria kilimo cha mihogo na vitunguu saumu toka 2005-2015
 
1. Madeee
2. Nyoshi El Sadat
3. Salva Kiir
4. Rais wa iaa
5. Ndama mutoto ya Ng'ome
6. Juma Nature
7. Manji
8. Bob Junior
9. Samora (rais wa wauza mbuzi vggt)
10. Jamal Malinzi

Yaan we -------- umenifelisha aisee..!!
 
hivi Rais angekuwa anafanyiwa assessment , walah labilai ningempa Vasco Da gama course work ya 5/40 manake hajielewi mara anasomewa albadil sh.t upuuzi kila siku kwenye ndege kuhudhuria kilimo cha mihogo na vitunguu saumu toka 2005-2015
FYI kesho anaenda madagascar nasikia mtoto wa waziri mkuu wa madagascar anafanyiwa send off
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom