Orodha ya marais 10 wavivu afrika

Orodha ya marais 10 wavivu afrika

Status
Not open for further replies.

FRANCIS DA DON

JF-Expert Member
Joined
Sep 4, 2013
Posts
40,530
Reaction score
46,614
Wana JF.., nilikuwa nahitaji kufahamu orodha ya ma-rais 10 wanaoongoza kwa uvivu afrika.., masaada wa haraka kwani nahitaji hizi data kuandaa report..
 
mkuu mimi binafsi namjua mmoja tu na huyo mmoja ni kwa saabu yu mtanzania mwenzangu na ni rais wangu kwa heshima na kwa kumpenda rais wangu namuuite Mh.Rais.Jakaya M.Kikwete ni MVIVU.
reason
1.lowassa alipojiuzuru, ktk hotuba yke alidai ameonewa(hakuulizwa)we kama rais haikuwa busara kupokea barua ya lowassa na kuhafiki uamuzi aliochukua.kuanguka kwa chaguo lako lowassa kumepeleke kuanguka kwa kila waziri wako na uombe umaliza salama .awamu moja mawaziri mia mbili huu ni umbulula
 
Wewe unawajua wangapi kati ya hao kumi unaowataka??
 
Mmh! Mungu aijalie tanzania, iepukane na watendaji vipofu wanaohangaikia matumbo yao na wanao. Atupe viongozi makini na si wachapa usingi, wezi, mafisadi, walafi, wahujumu, wasiopenda maendeleo. Inauma sana kuona wilaya karibu asilia 80 hazina barabara ya rami japo moja hii ni kwasababu tunaongozwa na vipofu, watu walio lewa madaraka. Kitu kingine ni swala ofisi za wakuu wa wilaya: Toka kipindi cha ukoloni hadi leo makao makuu ya wilaya ya mbeya (mbeya vijijini) yapo jijini mbeya, mtwara vijijini yapo manispaa ya mtwara mikindani na wilaya nyinginezo katika mikoa, swali; hivi kwe halmashauri zimeshindwa kujenga ofisi za halmashauri zao mpaka wawe kwa wenzao? Mimi naona hapana ila wanaogopa lawama za wananchi wao, kupigwa, kurahisha uibaji wa fedha za wananchi na kutufanya tuwe watumwa wao kwani haiwezekani raisi watanzania anayewaongoza watanzania ofisi yake ya kufanyia kazi ijengwe uingereza na aishi huko. Huu ni wizi na kuwakimbia wananchi wanaowaongoza, bora kusiwe na mkuu wa wilaya maeneo hayo.
 
Umeweza kupost iyo topic, ulishindwa ku google japo kdg
Mi naona ww ni m1 wapo wa wavivu Tanzania
Kwa kufikiri na kutenda
Mtandao unao, swali unalo. Km hujui kizungu google inakubali kuulizwa kiswahili
Mbona yale mambo ya utu uzima ukiyataka huwa unatafuta bila kuuliza, acha uvivu na usifikir na ss tu wavivu km ww
 
Mmh! Mungu aijalie tanzania, iepukane na watendaji vipofu wanaohangaikia matumbo yao na wanao. Atupe viongozi makini na si wachapa usingi, wezi, mafisadi, walafi, wahujumu, wasiopenda maendeleo. Inauma sana kuona wilaya karibu asilia 80 hazina barabara ya rami japo moja hii ni kwasababu tunaongozwa na vipofu, watu walio lewa madaraka. Kitu kingine ni swala ofisi za wakuu wa wilaya: Toka kipindi cha ukoloni hadi leo makao makuu ya wilaya ya mbeya (mbeya vijijini) yapo jijini mbeya, mtwara vijijini yapo manispaa ya mtwara mikindani na wilaya nyinginezo katika mikoa, swali; hivi kwe halmashauri zimeshindwa kujenga ofisi za halmashauri zao mpaka wawe kwa wenzao? Mimi naona hapana ila wanaogopa lawama za wananchi wao, kupigwa, kurahisha uibaji wa fedha za wananchi na kutufanya tuwe watumwa wao kwani haiwezekani raisi watanzania anayewaongoza watanzania ofisi yake ya kufanyia kazi ijengwe uingereza na aishi huko. Huu ni wizi na kuwakimbia wananchi wanaowaongoza, bora kusiwe na mkuu wa wilaya maeneo hayo.
 
Mmh! Mungu aijalie tanzania, iepukane na watendaji vipofu wanaohangaikia matumbo yao na wanao. Atupe viongozi makini na si wachapa usingi, wezi, mafisadi, walafi, wahujumu, wasiopenda maendeleo. Inauma sana kuona wilaya karibu asilia 80 hazina barabara ya rami japo moja hii ni kwasababu tunaongozwa na vipofu, watu walio lewa madaraka. Kitu kingine ni swala ofisi za wakuu wa wilaya: Toka kipindi cha ukoloni hadi leo makao makuu ya wilaya ya mbeya (mbeya vijijini) yapo jijini mbeya, mtwara vijijini yapo manispaa ya mtwara mikindani na wilaya nyinginezo katika mikoa, swali; hivi kwe halmashauri zimeshindwa kujenga ofisi za halmashauri zao mpaka wawe kwa wenzao? Mimi naona hapana ila wanaogopa lawama za wananchi wao, kupigwa, kurahisha uibaji wa fedha za wananchi na kutufanya tuwe watumwa wao kwani haiwezekani raisi watanzania anayewaongoza watanzania ofisi yake ya kufanyia kazi ijengwe uingereza na aishi huko. Huu ni wizi na kuwakimbia wananchi wanaowaongoza, bora kusiwe na mkuu wa wilaya maeneo hayo.

Hapo sehemu zenye red, zitendee haki japo kidogo, cheza fair play.
 
mkuu mimi binafsi namjua mmoja tu na huyo mmoja ni kwa saabu yu mtanzania mwenzangu na ni rais wangu kwa heshima na kwa kumpenda rais wangu namuuite Mh.Rais.Jakaya M.Kikwete ni MVIVU.
reason
1.lowassa alipojiuzuru, ktk hotuba yke alidai ameonewa(hakuulizwa)we kama rais haikuwa busara kupokea barua ya lowassa na kuhafiki uamuzi aliochukua.kuanguka kwa chaguo lako lowassa kumepeleke kuanguka kwa kila waziri wako na uombe umaliza salama .awamu moja mawaziri mia mbili huu ni umbulula
Bwana Lowassa huachi haya mambo?
 
mkuu mimi binafsi namjua mmoja tu na huyo mmoja ni kwa saabu yu mtanzania mwenzangu na ni rais wangu kwa heshima na kwa kumpenda rais wangu namuuite Mh.Rais.Jakaya M.Kikwete ni MVIVU.
reason
1.lowassa alipojiuzuru, ktk hotuba yke alidai ameonewa(hakuulizwa)we kama rais haikuwa busara kupokea barua ya lowassa na kuhafiki uamuzi aliochukua.kuanguka kwa chaguo lako lowassa kumepeleke kuanguka kwa kila waziri wako na uombe umaliza salama .awamu moja mawaziri mia mbili huu ni umbulula

Alipo ulizwa kwanini nchi yako ni masikini akajibu kuonyesha uvivu wa kufikiria kwa kusema "hata mimi sijui"
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom