Mbona jimbo la Busega mkoani Simiyu, sioni mgombea wake?
Busega wapewa CUF na mgombea wa CHADEMA Dr David Nicas amepewa kadi ya CUF agombee kama babu duni.
Mbona jimbo la Busega mkoani Simiyu, sioni mgombea wake?
Mohamed Mtoi mbona hayupo jamani?
Sidhani kama waliofanya uteuzi ni wadini kama wewe unavyoonyesha hapa. Ni vizuri mkachunga kauli na maanfishi yenu kuliko kuchochea huo udini.lkn nawapongeza chadema kwa iteuzi wao lkn napata shida kuhusu mlengo wa chama. taswira ya wateuliwa wote mbona asilimia 98% ni wakristo inamaana chadema haiungwi mkono na waislam. nashangaa kuona hata majimbo yalio na wananchi wengi waislam lkn mteuliwa ni mkristo. nfaomba viongoz wangu tuliondoe hili ili tuondoe hii dhana ya udini. kwa kufanya hivyo tutawashawishi watanzania wote kukipigia kura chama chetu hiki. vinginevyo italeta taswira mbaya kumbukeni tulimshambulia rais kwa kuteua mawazir wengi kwa kigezo cha dini na mada nyingi zilikuwa znajadiliwa hapa jamiiforums kuhusu suala hilo so sasa ni zamu yeti kuunda serikali ambayo itawaunganisha watanzania kwa kutobagua iman zao.
Sidhani kama waliofanya uteuzi ni wadini kama wewe unavyoonyesha hapa. Ni vizuri mkachunga kauli na maanfishi yenu kuliko kuchochea huo udini.lkn nawapongeza chadema kwa iteuzi wao lkn napata shida kuhusu mlengo wa chama. taswira ya wateuliwa wote mbona asilimia 98% ni wakristo inamaana chadema haiungwi mkono na waislam. nashangaa kuona hata majimbo yalio na wananchi wengi waislam lkn mteuliwa ni mkristo. nfaomba viongoz wangu tuliondoe hili ili tuondoe hii dhana ya udini. kwa kufanya hivyo tutawashawishi watanzania wote kukipigia kura chama chetu hiki. vinginevyo italeta taswira mbaya kumbukeni tulimshambulia rais kwa kuteua mawazir wengi kwa kigezo cha dini na mada nyingi zilikuwa znajadiliwa hapa jamiiforums kuhusu suala hilo so sasa ni zamu yeti kuunda serikali ambayo itawaunganisha watanzania kwa kutobagua iman zao.
ameokoka! Shaka ondoa.said nkumba sikonge anajiita tanzania kwanza
Kumbuka hayo ni makubaliaano ya vyama vinne kwa kufuata vigezo walivyojiwekea!Majimbo karibu yote wamechukua CHADEMA! NLD, NCCR na CUF wataambulia vijimbo kiduchu tu
said nkumba SIKONGE Huyu sindio mpinga ukawa mkubwa anajiita tanzania kwanza
Nina wasiwasi na KISHAPU,hili jimbo UKAWA tunaweza kulipoteza.
Bora vigezo vingetajwa kuliko watu wanaoshinda kura za maoni alafu mwishoni wanakatwa.
Jimbo la Ngara silioni
NCCR ..........Sam Ruhuza
jimbo gani
Majimbo karibu yote wamechukua CHADEMA! NLD, NCCR na CUF wataambulia vijimbo kiduchu tu
Asante mkuu, lakin CDM inakubalika zaidi pale Ngara kuliko NCCR Mageuzi
Kazi ngumu sana hii. Mungu awasaidie waliokatwa wawe na moyo wa subira. Nimeshaona haraka haraka sehemu kadhaa ambazo zitaleta jakamoyo, nikianzia na pale Mbulu vijijini ambapo mshindi wa kura za maoni ameachwa na kuchukuliwa aliyekuwa mshindi wa pili.
tuombe heri na umoja hata hivyo.
MUNGU awatangulie.BIG UP sana kwa Esther Matiko,Esther Bulaya,Halima Mdee,Pauline Gekul,Jesca Kishoa,Suzan Kiwanga na Editha Babbeiya MUNGU awabariki katika harakati zenu za kwenda bungeni.