Mi nadhani tuwe tunaongea kwa kutafakari,
1:hivi kwa huku bara ni chama gani kina wabunge wengi?,
2: Je katika hayo majimbo yaliyoorodheshwa ni jimbo lipi lilikuwa chini ya Chama kingine cha upinzani zaidi ya Chadema?,
3: katika hayo majimbo hata kama yalikuwa chini ya CCM, chadema kiliperfom vipi kulinganisha na vyama vingine vya upinzani katika uchaguzi uliopita?
Making ya wapi wakati tayari kapitishwa nyoooooo!!!!Huyu Esta Bulaya alishika nafasi ya Pili huko Bunda.Wawe makini wasiudhi wapiga kura maana wanaweza kupiga Kura za Hasira.
Mkuu ushirika ni pamoja na kubebana ili muinuane. Kama ambavyo Duni katoka CUF kaja CHADEMA basi nanyi mngewasaidia wenzenu akina makaidi nao wawe na wabunge
Mambo ya ruzuku mmeishayaweka sawa? Ngoja uchaguzi uishe muone jinsi watu watakavyokuwa wanadai pesa zao!
morogoro,
mikumi joseph Haule
Kutokana na comments zako, ni kama umemueleza Profesa Lipumba alikuwa Chadema.Mkuu kuna mzozo mkubwa wa Chadema asilia na Chadema maslahi asikudanganye mtu. Wengine wa Chadema asilia walijua watapona na walishindwa kusoma alama za nyakati. Bora wakioshtukia na kukaa pembeni ka Dr Slaa na Prof Lipumba
Orodha hii ya walioteuliwa kugombea ndiyo sahihi.
CHAMA CHA DEMOKRASIA NA MAENDELEO (CHADEMA)
ORODHA YA MAJINA YA WANACHAMA WA CHADEMA WALIOTEULIWA KUGOMBEA UBUNGE
Mkoa Jimbo CHAMA MGOMBEA ALIYETEULIWA
Mara
1. Rorya CDM STEVEN J OWAWA
2. Tarime Mjini CDM ESTHER N MATIKO
3. Tarime Vijijini CDM JOHN HECHE
4. Musoma Vijijini CDM ZAKARIA MBULA CHIRAGWILE
5. Butiama CDM YUSUPH R KAZI
6. Bunda Mjini CDM ESTHER BULAYA
7. Mwibara CDM HARUN D CHIRIKO
8. Musoma Mjini CDM VINCENT J NYERERE
9. Bunda Vijijini CDM SULEIMAN DAUDI
Simiyu
1. Bariadi CDM GODWIN SIMBA
2. Maswa Magharibi CDM ABDALA PATEL
3. Maswa Mashariki CDM SYLVESTER KASULUMBAYI
4. Kisesa CDM MASANJA MANANI
5. Meatu CDM MESHACK OPULUKWA
6. Itilima CDM MARTINE MAGILE
Shinyanga
1. Msalala CDM PAULO MALAIKA
2. Kahama Mjini CDM JAMES LEMBELI
3. Kahama Vijijini (Ushetu) CDM SIMON BUKAKIYE ISAYA
4. Shinyanga Mjini CDM PATROAS PASCHAL K
5. Kishapu CDM FRED T MPENDAZOE
Mwanza
1. Ukerewe CDM JOSEPH MKUNDI
2. Magu CDM KALWINZI NGONGOSEKE
3. Nyamagana CDM EZEKIA D. WENJE
4. Buchosa CDM MARTINE KASWAHILI
5. Sengerema CDM HAMIS TABASAMU
6. Ilemela CDM HIGHNESS KIWIA
7. Misungwi CDM LEONIDAS KONDELA
Geita
1. Bukombe CDM PROF. KULIKOYELA KAHIGI
2. Busanda CDM ALPHONCE C MAWAZO
3. Nyang'wale CDM GEORGE MABULA
4. Chato CDM DR. BENEDICT LUKANIMA
5. Mbogwe CDM NICODEMUS H MAGANGA
Kagera
1 Karagwe CDM PRINCE RWAZO
2 Kyerwa CDM BENEDICT MTUNGIREHI
3 Bukoba Mjini CDM WILFRED LWAKATARE
4 Muleba Kaskazini CDM ANSBERT NGURUMO
5 Muleba Kusini CDM ALISTIDES KASHASILA
6 Biharamulo CDM DR. ANTHONY MBASSA
Mbeya
1. Lupa CDM NJELU KASAKA
2. Songwe CDM MPOKI MWANKUSYE
3. Mbeya Mjini CDM JOSEPH MBILINYI
4. Kyela CDM ABRAHAM H MWANYAMAKI
5. Rungwe CDM JOHN D MWAMBIGIJA
6. Busokelo CDM BONIPHACE A MWAMUKUSI
7. Mbozi CDM PASCHAL HAONGA
8. Momba CDM DAVID E SILINDE
9. MBARALI
10. Mbeya Vijijini CDM ADAM NZELA
11. Tunduma CDM FRANK MWAKAJOKA
12. Vwawa CDM FANUEL MKISI
Iringa
1 Ismani CDM PATRICK OLE SOSOPI
2 Kalenga CDM MUSSA L MDEDE
3 Mufindi Kaskazini CDM JUMANNE K MASONDA
4 Iringa Mjini CDM PETER MSIGWA
5 Kilolo CDM BRIAN KIKOTI
6 Mafinga Mjini CDM WILLE MUNGAI
Njombe
1 Njombe Kusini CDM EMMANUEL MASONGA
2 Lupembe (Njombe Kask) CDM EDWIN E SWALE
3 Wangingombe CDM DISMAS A LUHWAGO
4 Makete CDM JACKSON T MOGELA
5 Ludewa CDM ATHROMEO MKINGA
6 Makambako CDM ORAPH MHEMA
Rukwa
1 Nkasi Kusini CDM ALFRED DANIEL SOTOKA
2 Kwela CDM DANIEL NAFTAL NGOGO
3 Nkasi Kaskazini CDM KESSY SOUD
4 Sumbawanga Mjini CDM SADRICK MALILA
5 Kalambo CDM VICTOR MATENI
Tanga
1 Kilindi CDM JERADI K MREMA
2 Muheza CDM ERNEST MSINGWA
4 Korogwe CDM AMANI H KIMEA
5 Korogwe Vijijini CDM EMMANUEL KIMEA
Kilimanjaro
1. Rombo CDM JOSEPH SELASIN
2. Same Magharibi CDM CHRISTOPHER S MBAJO
3. Same Mashariki CDM NAGENJWA KABOYOKA
4. Moshi Mjini CDM JAFARY P MICHAEL
5. Hai CDM FREEMAN A MBOWE
6. Siha CDM DR. GODWIN MOLLEL
Arusha
1 Arumeru Mashariki CDM JOSHUA NASSARI
2 Arumeru Magharibi CDM GIBSON MESIYEKI
3 Arusha Mjini CDM GODBLESS LEMA
4 Longido CDM ONESMO OLE NANGOLE
5 Monduli CDM JULIUS KALANGA
6 Karatu CDM WILLE QAMBALO
7 Ngorongoro CDM ELIAS NGORISA
Manyara
1 Simanjiro CDM JAMES KINYASI OLE MILLYA
2 Mbulu Vijijini CDM MIKEL PETRO AWEDA
3 Hanang CDM MAGOMA RASHID DERICK
4 Babati Mjini CDM PAULINE P GEKUL
5 Babati Vijijini CDM LAURENT SURUMBU TARRA
6 Kiteto CDM KIDAWA ATHUMANI IYAVU
7 Mbulu Mjini CDM PAULO HERMAN SULLE
Dar es Salaam
1. Ubungo CDM SAED KUBENEA
2. Kawe CDM HALIMA JAMES MDEE
3. Ukonga CDM MWITA MWIKWABE WAITARA
4. Ilala CDM MUSLIM HASSANALI HEIDERALI
5. Kibamba CDM JOHN JOHN MNYIKA
Pwani
1 Chalinze CDM MATHAYO TM. TORONGEY
2 Kibaha Mjini CDM MICHAEL PAUL MTALY
3 Kibaha Vijijini CDM EDITHA BABBEIYA
Morogoro
1. Mikumi CDM JOSEPH HAULE
2. Morogoro Kusini CDM DAVID LUKAGINGIRA
3. Kilombero CDM PETER E LIJUALIKALI
4. Mlimba CDM SUZAN L. KIWANGA
5. Mvomero CDM OSWALD MLAY
6. Ulanga Magharibi CDM ALPHONCE MBASSA
7. Ulanga Mashariki CDM PANCRAS KONGOLI
8. Morogoro Mjini CDM MARCOSSY ALBANIE
Dodoma
1. Kongwa CDM ESAU NGOMBEI
2. Dodoma Mjini CDM SINGO BENSON KIGAILA
3. Bahi CDM MATHIAS LYAMUNDA
4. Chilonwa CDM JOHN CHOGONGO
Singida
1 Iramba Magharibi CDM JESCA KISHOA
2 Iramba Mash(Mkalama) CDM OSCAR KAPALALE
3 Singida kaskazini CDM DAVID DJUMBE
4 Singida Mashariki CDM TUNDU A LISSU
5 Singida Magharibi CDM MARCO ALLUTE
6 Manyoni Magharibi CDM LUPAA DONALD
7 Manyoni Mashariki CDM ALLUTE EMMANUEL
Tabora
1 Nzega Mjini CDM CHARLES MABULA
2 Igunga CDM NGWIGULU KUBE
3 Urambo CDM SAMWELI NTAKAMLENGA
4 Ulyankulu CDM DEUS KITAPANDYA NGERERE
5 SIKONGE CDM SAID NKUMBA
6 Manonga CDM ALLY KHALFANI NGUZO
Katavi
1 Mpanda Mjini CDM JONAS KALINDE
2 Mpanda Vijijini CDM MUSSA MASANJA
4 Katavi CDM GEORGE SAMBWE
5 Nsimbo CDM GERALD KITABU
6 Kavuu CDM LAURENT SENGA MANGWESHI
Kigoma
1 Kigoma Kaskazini CDM DR. YARED FUBUSA
2 Kigoma Mjini CDM DANIEL LUMENYELA
Ruvuma
1 Peramiho CDM ELASMO MWINGIRA
2 Mbinga Magharibi/Nyasa CDM CUTHBERT S. NGWATA
3 Mbinga/Mbinga Vijijini CDM EDWIN B AKITANDA
4 Songea Mjini CDM JOSEPH FUIME
5 Madaba CDM EDSON MBOGORO
Orodha ya Majimbo yaliyobaki itatolewa baada ya kukamilika kwa mashauriano katika UKAWA.
Mhe. John Mnyika (MB)
Kny. Katibu Mkuu CHADEMA
18.08.2015
ANGALIZO:
Wakati wa kujaza fomu kutoka tume ya uchaguzi sehemu ya chama wabunge wanapaswa kujaza CHADEMA na siyo CDM yasitokee yale ya serikali za mitaa.
Wewe unayejiita mshabiki wa Chadema wakati fikra zako za udini udini makao yake makuu ni huko huko Lumumba kwenu.lkn nawapongeza chadema kwa iteuzi wao lkn napata shida kuhusu mlengo wa chama. taswira ya wateuliwa wote mbona asilimia 98% ni wakristo inamaana chadema haiungwi mkono na waislam. nashangaa kuona hata majimbo yalio na wananchi wengi waislam lkn mteuliwa ni mkristo. naomba viongoz wangu tuliondoe hili ili tuondoe hii dhana ya udini. kwa kufanya hivyo tutawashawishi watanzania wote kukipigia kura chama chetu hiki. vinginevyo italeta taswira mbaya kumbukeni tulimshambulia rais kwa kuteua mawazir wengi kwa kigezo cha dini na mada nyingi zilikuwa znajadiliwa hapa jamiiforums kuhusu suala hilo so sasa ni zamu yeti kuunda serikali ambayo itawaunganisha watanzania kwa kutobagua iman zao.
Kwani mkuu Junius unabishana na huyo gamba Kimbunga, kwani hujui kuwa hao ndiyo wale jamaa wa buku 7 Lumumba Sports Club?kwa mawazo kama haya ndo Afrika haiendelei, watu wanafikiria vitu vidogo vidogo, vitu vya hapo kwa hapo, mambo ya ubinafsi wa nani atapata nini, bana eee, it is all about what Tanzania will achieve!
Acha Uongo Mbulu Vijijini Amani alishika nafasi ya Pili Nyuma ya Aweda... katika hatua ya Fainal ila Hatua za Awali Kijana Mwenye Bidii ya Maisha ya Wana Mbulu Gaseri alishika nafasi ya Kwanza... ila Hii hata Mimi Nilipenda Amani angekuwa Mbunge ila Mike naye Kapigania sana Chama nadhani hata Amani atakuwa na Moyo Mweupe...